hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,312
- 26,705
Mm naona hii michuano ya Europa league tuta zifunga timu nyingi sana sababu bado hawa tujui tulivyo usione timu nyingi za EPL saivi zina paki bus na sio kupaki bus to na mabeki wa 5 hii ni dhahiri tuna tisha sasa utofauti wa timu za EPL na huku ni kwamba timu za EPL washajua solution ya kukabiliana na Arsenal hii nikupaki bus kufanya counter so naona kabisa tunaenda fainal ya hii michuano na kubeba ubingwa na timu yoyote itakayo jaribu kucheza na sisi toe toe atakutana na aibu zaidi ya manjesta oooooyaah
wazeee 🫶






wazeee 🫶







Martinelli will lead the line against Sporting CP this Thursday
“Gabriel Martinelli will therefore likely lead Arsenal's frontline on Thursday evening having played through the middle after Trossard was taken off on Saturday”