Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mm naona hii michuano ya Europa league tuta zifunga timu nyingi sana sababu bado hawa tujui tulivyo usione timu nyingi za EPL saivi zina paki bus na sio kupaki bus to na mabeki wa 5 hii ni dhahiri tuna tisha sasa utofauti wa timu za EPL na huku ni kwamba timu za EPL washajua solution ya kukabiliana na Arsenal hii nikupaki bus kufanya counter so naona kabisa tunaenda fainal ya hii michuano na kubeba ubingwa na timu yoyote itakayo jaribu kucheza na sisi toe toe atakutana na aibu zaidi ya manjesta oooooyaah



wazeee 🫶
IMG_20230307_144956.jpg
FB_IMG_1677783759058.jpg
 
Arsenal are favourites to sign inform star Victor Osimhen

“Rai Sport journalist Ciro Venerato has now suggested Arsenal are the most likely Premier League side to sign Victor Osimhen from Napoli.”

“In order to sign him, they will have to meet Napoli’s €150million (£133m asking price). The 24-year-old is due to be under contract at Stadio Diego Armando Maradona until 2025”
Nyie hamna hela ya kumchukua huyo mchezaji usijidanganye.huyo anaenda Chelsea au Manchester United.
 
Nyie hamna hela ya kumchukua huyo mchezaji usijidanganye.huyo anaenda Chelsea au Manchester United.
Hatuna pesa ,wewe ndiwe unakaa na akaunt za Arsenal?

Mbona hujiulizi kwanini January Arsenal walikuwa tayari kutoa £70m+ kwa Caicedo na €100m kwa Mudrky

Bila hizo deals kufeli Arsenal walikuwa willing kutumia hizo pesa

Timu yetu tunaijua sisi ilipo na inapokwenda ,


Edu alisema kwasasa tunaenda level ambayo kwa msimu tutakuwa tunasajili mchezaji mmoja au wawili

Tumeshatoka kwenye stage ya kujenga timu tunaenda stage ya kuimarisha timu
 
Epl kwenye hizi timu kubwa kila mbabe ana kibonde wake, Man Utd kibonde wake ni Arsenyani.
Haya na nyie Arsenyau tuonesheni basi kibonde wenu nani?
Mnacheka goli 7 wakati nyinyi mshasokomezwa hadi goli 10 huko Uefa na ndio imekua kama laana mpaka hii leo miaka 6 imepita bila kufanikiwa kushiriki michuano hio. View attachment 2541433View attachment 2541435
Hii haiwez kupunguza mauimivu ya kupigwa 7-0
 
Epl kwenye hizi timu kubwa kila mbabe ana kibonde wake, Man Utd kibonde wake ni Arsenyani.
Haya na nyie Arsenyau tuonesheni basi kibonde wenu nani?
Mnacheka goli 7 wakati nyinyi mshasokomezwa hadi goli 10 huko Uefa na ndio imekua kama laana mpaka hii leo miaka 6 imepita bila kufanikiwa kushiriki michuano hio. View attachment 2541433View attachment 2541435
Manchester United Ndoo Timu Iliyopigika Vipigo Vikubwa Ndani Ya Miaka 3 Iliyopita


Manjesta 1-6 Tottenham
Manjesta 2-4 Liverpool
Leicester City 4-2 Manjesta
Manjesta 0-5 Liverpool
Watford 4-1 Manjesta
Man City 4-1 Manjesta
Liverpool 4-0 Manjesta
Brighton 4-0 Manjesta
Brentford 4-0 Manjesta
Man City 6-3 Manjesta
Liverpool 7-0 Manjesta

Takwimu Hazidanganyi
 
Hatuna pesa ,wewe ndiwe unakaa na akaunt za Arsenal?

Mbona hujiulizi kwanini January Arsenal walikuwa tayari kutoa £70m+ kwa Caicedo na €100m kwa Mudrky

Bila hizo deals kufeli Arsenal walikuwa willing kutumia hizo pesa

Timu yetu tunaijua sisi ilipo na inapokwenda ,


Edu alisema kwasasa tunaenda level ambayo kwa msimu tutakuwa tunasajili mchezaji mmoja au wawili

Tumeshatoka kwenye stage ya kukenga timu tunaenda stage ya kuimarisha timu
sio suala la kua tayari, hapo kinachozungumzwa ni suala la kutoa pesa.
Arsenyo miaka yote ipo tayari kutoa hata £200m za mdomoni lakini haina uwezo wa kununua mchezaji wa zaidi ya £80m.
Ukiona mchezaji yoyote mkubwa akihusishwa na Arsenyau mwezi mmoja au miwili kabla ya dirisha la usajili jua tu hio ni janjajanja inayotumiwa na wakala wa mchezaji ili kuongeza thamani ya bidhaa yake.
 
sio suala la kua tayari, hapo kinachozungumzwa ni suala la kutoa pesa.
Arsenyo miaka yote ipo tayari kutoa hata £200m za mdomoni lakini haina uwezo wa kununua mchezaji wa zaidi ya £80m.
Ukiona mchezaji yoyote mkubwa akihusishwa na Arsenyau mwezi mmoja au miwili kabla ya dirisha usajili jua tu hio ni janjajanja inayotumiwa na wakala wa mchezaji ili kuongeza thamani ya bidhaa yake.
Mtamchukua nyie Basi tumalize hivo

Japo alisema hawezi kwenda unyumbuni
Screenshot_20230307-222902~2.jpg
 
Yaya Toure on Partey - Yeah he’s brilliant, it’s really nice to see.

“I think now every weekend when Arsenal have to play, I have to be honest, I would go just to watch him.

“He’s just unbelievable.”

(@talkSPORT )
 
Mtamchukua nyie Basi tumalize hivo

Japo alisema hawezi kwenda unyumbuni View attachment 2541470
hata kama huyo Osimhen haji unyumbuni ila hapa tunazungumzia timu yenu chini ya Kroenke's haina jeuri ya kusajili mchezaji yoyote mwenye thamani zaidi ya £80m.
Nyie uwezo wenu ni kusajili kina Mwakinyo, kina Kwiyo na dizaini ya wachezaji wa hivyo.
Ukimuona mchezaji yoyote mzuri Arsenyo basi eidha ametokea Academy au wamepewa kwa hisani kama walivyopewa Jesus, Zinchenko au ni mchezaji alietimuliwa na kocha katikati ya msimu kutokana na utovu wa nidhamu.
 
Epl kwenye hizi timu kubwa kila mbabe ana kibonde wake, Man Utd kibonde wake ni Arsenyani.
Haya na nyie Arsenyau tuonesheni basi kibonde wenu nani?
Mnacheka goli 7 wakati nyinyi mshasokomezwa hadi goli 10 huko Uefa na ndio imekua kama laana mpaka hii leo miaka 6 imepita bila kufanikiwa kushiriki michuano hio. View attachment 2541433View attachment 2541435
Mpya mpya hii hapa.. ya moto moto, imetoka juzi tu hapo jumapili😂😂😂
IMG_20230305_224349_952.jpg
 
hata kama huyo Osimhen haji unyumbuni ila hapa tunazungumzia timu yenu chini Kroenke's haina jeuri ya kusajili mchezaji yoyote mwenye thamani ya zaidi ya £80m.
Nyie uwezo wenu ni kusajili kina Mwakinyo, kina Kwiyo na dizaini ya wachezaji wa hivyo.
Ukimuona mchezaji yoyote mzuri Arsenyo basi eidha ametokea Academy au wamepewa kwa hisani kama walivyopewa Jesus, Zinchenko au ni mchezaji alietimuliwa na kocha katikati ya msimu kutokana na utovu wa nidhamu.
Mchawi sana we jamaa, hangover ya goli saba inakusumbua wewe
 
Epl kwenye hizi timu kubwa kila mbabe ana kibonde wake, Man Utd kibonde wake ni Arsenyani.
Haya na nyie Arsenyau tuonesheni basi kibonde wenu nani?
Mnacheka goli 7 wakati nyinyi mshasokomezwa hadi goli 10 huko Uefa na ndio imekua kama laana mpaka hii leo miaka 6 imepita bila kufanikiwa kushiriki michuano hio. View attachment 2541433View attachment 2541435
Weka rekodi kamili. Kuna mechi moja ya Carling Cup tulikupga 6-1. Kina Kanu waliongoza maangamizi
 
Yaya Toure
Akihojiwa Na @talkSPORT


“Kwa Sasa Napenda Kutazama Mechi Za Arsenal Jinsi Wanavyocheza Wanavutia Kuwatazama Kila Weekend.Napenda Kumuangalia Thomas Partey Anavocheza "
IMG_20230308_124532.jpg
 
Arteta mnamo 2019:

"Nataka kushambulia. Nataka kumtawala mpinzani. Nataka mpinzani acheze katika nusu yake na lazima niweze kuwaambia wachezaji kitakachotokea kabla hakijatokea."
IMG_20230307_144956.jpg
 
Mikel Arteta will decide on Wednesday (today) whether Gabriel Jessus can return from injury to play a role in the Sporting Lisbon game on Thursday. ESR could start. Both Nketiah and Trossard unlikely to feature

[Tom Allnutt The Times]
 
Hapo kwenye line up tuna double 8/10 Odegaard na Fabio Vieira

Benchi la ufundi linataka kumu introduce Smith Rowe hapo anapocheza Fabio Vieira

Left no.8/10 kwasasa tuna Xhaka na Fabio Vieira

Fabio Vieira pia anaweza kucheza Right no.8/10 anapocheza Odegaard

Je unaionaje Arsenal yenye double 8/10 yenye Odegaard na Smith Rowe?

Spidi

Ufundi

Unyumbulifu



IMG_20230304_104404.jpg
 
we jamaa unaroho ngumu sana, yakishirikina kabisa! haiwezekani mdundwe na bado unadunda,wewe ni nunda!
Tatizo watu mnasaau mpira ni burudani mnaona ni vita Kwamba mtu hakiwa timu nyingine ni adui yako ndo maana mimi napenda sana magroup ya michezo ya Kenya kuliko bongo,bongo watu utukana tu sio kutaniana.

Ukielewa ushabiki ni utani tu utasumbuliwa na chuki wala roho mbaya.
 
Mikel Arteta will decide on Wednesday (today) whether Gabriel Jessus can return from injury to play a role in the Sporting Lisbon game on Thursday. ESR could start. Both Nketiah and Trossard unlikely to feature

[Tom Allnutt The Times]
Namuona Smith Rowe akianza LW , Martinell CF ,Saka RW

Kwenye double 8 Xhaka na Odegaard

DM Gorginho Frelo


Jakub Kiwior atapewa nafasi
 
Back
Top Bottom