allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,322
- 10,887
Kwanini useme walikuwa tayari mkuu? sio walitoa zikakataliwa uoni pana tatizo hapo?Hatuna pesa ,wewe ndiwe unakaa na akaunt za Arsenal?
Mbona hujiulizi kwanini January Arsenal walikuwa tayari kutoa £70m+ kwa Caicedo na €100m kwa Mudrky
Bila hizo deals kufeli Arsenal walikuwa willing kutumia hizo pesa
Timu yetu tunaijua sisi ilipo na inapokwenda ,
Edu alisema kwasasa tunaenda level ambayo kwa msimu tutakuwa tunasajili mchezaji mmoja au wawili
Tumeshatoka kwenye stage ya kujenga timu tunaenda stage ya kuimarisha timu
Man City Premier League points tally after 26 games in last 5 seasons…
Arsenal currently sit on 63 points after 26 games - the idea that Arsenal are top because Man City are underperforming is a false narrative
Gabriel Jesus BACK in full Arsenal training ahead of the trip to Lisbon
Arteta set to decide whether or not to include him in the matchday squad tomorrow
.