Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hatuna pesa ,wewe ndiwe unakaa na akaunt za Arsenal?

Mbona hujiulizi kwanini January Arsenal walikuwa tayari kutoa £70m+ kwa Caicedo na €100m kwa Mudrky

Bila hizo deals kufeli Arsenal walikuwa willing kutumia hizo pesa

Timu yetu tunaijua sisi ilipo na inapokwenda ,


Edu alisema kwasasa tunaenda level ambayo kwa msimu tutakuwa tunasajili mchezaji mmoja au wawili

Tumeshatoka kwenye stage ya kujenga timu tunaenda stage ya kuimarisha timu
Kwanini useme walikuwa tayari mkuu? sio walitoa zikakataliwa uoni pana tatizo hapo?
 
Arteta mnamo 2019:

"Nataka kushambulia. Nataka kumtawala mpinzani. Nataka mpinzani acheze katika nusu yake na lazima niweze kuwaambia wachezaji kitakachotokea kabla hakijatokea."View attachment 2541692
Arsenal uo mpira ungekuwa unawafaa toka enzi za Wenger mngekuwa hata na Uefa hata moja tatizo mnacheza mpira ambao mnaishi kwenda ueropa.

Hivi mmewai jiuliza kwanini timu yenu aina uefa hata moja miaka yote iyo na mmeishia kufika fainali moja tu?
 
Tatizo watu mnasaau mpira ni burudani mnaona ni vita Kwamba mtu hakiwa timu nyingine ni adui yako ndo maana mimi napenda sana magroup ya michezo ya Kenya kuliko bongo,bongo watu utukana tu sio kutukana.

Ukielewa ushabiki ni utani tu utasumbuliwa na chuki wala roho mbaya.
We unadhani Niko serious🤣🤣🤣🤣
 
Arsenal uo mpira ungekuwa unawafaa toka enzi za Wenger mngekuwa hata na Uefa hata moja tatizo mnacheza mpira ambao mnaishi kwenda ueropa.

Hivi mmewai jiuliza kwanini timu yenu aina uefa hata moja miaka yote iyo na mmeishia kufika fainali moja tu?
Tupo Arteta Era mzee baba

Mbona hujiulizi pamoja na kumwaga mapesa yote toka aondoke fergi

Manyua mmezidi kuwa na character za timu ndogo
 
Kwanini useme walikuwa tayari mkuu? sio walitoa zikakataliwa uoni pana tatizo hapo?

Nasema tulikuwa tayari maana ofa zilitumwa sio kwamba ni maneno , shida mnaishi kwa mazoea

Tatizo lilikuwa wapi ,ukielewa tatizo Basi utelewa ambition za Arsenal ni zipi

Kwa Caicedo Arsenal ilikuwa tayari kufika hata £80m , tuliishia £70m coz walisema HAUZWI

Kwa Murdky Kuna issue had za siasa humo, ndio maana mchezaji hata huko aliko Hana furaha

Uzuri Arsenal tukimkosa mchezaji tuna option ,hatuna sera ya kubembeleza mchezaji
 
Man City Premier League points tally after 26 games in last 5 seasons…

22/23 - 58
21/22 - 63
20/21 - 62
19/20 - 54
18/19 - 62

Arsenal currently sit on 63 points after 26 games - the idea that Arsenal are top because Man City are underperforming is a false narrative
 
Nasema tulikuwa tayari maana ofa zilitumwa sio kwamba ni maneno , shida mnaishi kwa mazoea

Tatizo lilikuwa wapi ,ukielewa tatizo Basi utelewa ambition za Arsenal ni zipi

Kwa Caicedo Arsenal ilikuwa tayari kufika hata £80m , tuliishia £70m coz walisema HAUZWI

Kwa Murdky Kuna issue had za siasa humo, ndio maana mchezaji hata huko aliko Hana furaha

Uzuri Arsenal tukimkosa mchezaji tuna option ,hatuna sera ya kubembeleza mchezaji
Naiyo ndo sababu Mpaka leo mmeshindwa kubeba Uefa na ligi kwa miaka 19 chaguo la kwanza ni la kwanza tu.

Ni maumivu kujificha kwenye chaguo la pili wakati la kwanza lilikuwepo.
 
Mnyama yupo mazoezini
IMG-20230308-WA0018.jpg
 
Arsenal uo mpira ungekuwa unawafaa toka enzi za Wenger mngekuwa hata na Uefa hata moja tatizo mnacheza mpira ambao mnaishi kwenda ueropa.

Hivi mmewai jiuliza kwanini timu yenu aina uefa hata moja miaka yote iyo na mmeishia kufika fainali moja tu?
We umejiuliza kwann timu lako halina golden trophy??
 
Gabriel Jesus BACK in full Arsenal training ahead of the trip to Lisbon

Arteta set to decide whether or not to include him in the matchday squad tomorrow

God it’s good to have him back, time to build back that match fitness and take us to the title!
IMG_20230308_182031.jpg
 
Arsenal would prefer to sign Martin #Zubimendi over Moises Caicedo in the upcoming summer window alongside midfielder Declan Rice.

#AFC tried to sign the Sociedad player in January before #Caicedo but he wanted to keep loyal to the Spanish club until the end of the season.
IMG_20230308_182849.jpg
 
Eddie nketiah na Trossard wataendelea kukosekana sababu ya injury


Lakini habari njema Jesus amerejea


We have luxury squad

Smith Rowe,Nelson
IMG_20230307_174920.jpg
 
Back
Top Bottom