Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,665
- 2,556
We unadhani Niko serious🤣🤣🤣🤣Tatizo watu mnasaau mpira ni burudani mnaona ni vita Kwamba mtu hakiwa timu nyingine ni adui yako ndo maana mimi napenda sana magroup ya michezo ya Kenya kuliko bongo,bongo watu utukana tu sio kutukana.
Ukielewa ushabiki ni utani tu utasumbuliwa na chuki wala roho mbaya.