Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Siku kama ya leo miaka 6 iliyopita ndiyo ilikuwa mara ya mwisho Arsenal kuonekana kwenye UEFA Champions League. Walitolewa baada ya kupokea kichapo heavy kutoka kwa miamba ya soka la Ujerumani, The Bavarians.

Hao ndiyo Arsenal, timu ndogo.

images.jpeg-5.jpg
 
Siku kama ya leo miaka 6 iliyopita ndiyo ilikuwa mara ya mwisho Arsenal kuonekana kwenye UEFA Champions League. Walitolewa baada ya kupokea kichapo heavy kutoka kwa miamba ya soka la Ujerumani, The Bavarians.

Hao ndiyo Arsenal timu ndogo.

View attachment 2540960
Haipunguzi maumivu ya kichapo Cha 7-0
 
BADO ARSENAL TUNA TATIZO LA UFANISI KATIKA KUTUMIA NAFASI

HATUNA TATIZO LA KUZIFUNGUA TIMU ZINAZOKAA NYUMA


ARTETA anasema

"Lazima tujitafakari, tuwe na ufanisi zaidi. Kwa uchezaji ambao tunatawala mechi, hatujazalisha magoli ya kutosha na hiyo ni chini yetu. "Msimu huu tumekabiliwa na low block kwa timu 16 na tumeshinda mechi nyingi kati ya hizo. Lakini ni kuhusu ufanisi wa magoli Wanapozuia kila kitu na mpira hauingii wavuni, ni nzuri (kwao).


View attachment 2540657
Hata mipira ya coner bado atujawa na hatari kabisaaa,,,,,,,,, angalia statistics against Bournemouth tulikua na kona nyingi ambazo hazina impacts yoyote
 
Hivi arsenal mmewai kuwa serious kweli?Yani miaka yote iyo hata uefa 1 hakuna kweli kuwa shabiki wa arsenal yapasa kuwa na moyo wa chuma kweli kweli.

Mtu hakiwakuta mnajadili mpira hapa anaweza kujua hii timu ipo serious kweli.

Hii sio kitu ya kukosa kwa timu kama arsenal.View attachment 2540211
MKUU MBONA UNAONGEA MANENO YA KUCHOMA HIVYO NA YENYE UKWELI MCHUNGU! WAONEE HURUMA HATA WAO HAWATAKI IWE HIVYO.
 
Siku kama ya leo miaka 6 iliyopita ndiyo ilikuwa mara ya mwisho Arsenal kuonekana kwenye UEFA Champions League. Walitolewa baada ya kupokea kichapo heavy kutoka kwa miamba ya soka la Ujerumani, The Bavarians.

Hao ndiyo Arsenal, timu ndogo.

View attachment 2540960
Ila Mzee wetu alikuwa anapokea vipigo heavy sana sitegemei next season kwenye champions league hali hii itajirudia from now on hatuna wachezaji lazy tena wote wanatafuta mpira mwanzo mwisho
 
Arsenal are favourites to sign inform star Victor Osimhen

“Rai Sport journalist Ciro Venerato has now suggested Arsenal are the most likely Premier League side to sign Victor Osimhen from Napoli.”

“In order to sign him, they will have to meet Napoli’s €150million (£133m asking price). The 24-year-old is due to be under contract at Stadio Diego Armando Maradona until 2025”
 
Back
Top Bottom