Unaweza kunitajia wafungaji wa iyo game kijana?
Ushaanza hapa kupigwa umepigwa na juzi pia umepigwa 7🤣🤣Unaweza kunitajia wafungaji wa iyo game kijana?
Haipunguzi maumivu ya kichapo Cha 7-0Siku kama ya leo miaka 6 iliyopita ndiyo ilikuwa mara ya mwisho Arsenal kuonekana kwenye UEFA Champions League. Walitolewa baada ya kupokea kichapo heavy kutoka kwa miamba ya soka la Ujerumani, The Bavarians.
Hao ndiyo Arsenal timu ndogo.
View attachment 2540960
Hata mipira ya coner bado atujawa na hatari kabisaaa,,,,,,,,, angalia statistics against Bournemouth tulikua na kona nyingi ambazo hazina impacts yoyoteBADO ARSENAL TUNA TATIZO LA UFANISI KATIKA KUTUMIA NAFASI
HATUNA TATIZO LA KUZIFUNGUA TIMU ZINAZOKAA NYUMA
ARTETA anasema
"Lazima tujitafakari, tuwe na ufanisi zaidi. Kwa uchezaji ambao tunatawala mechi, hatujazalisha magoli ya kutosha na hiyo ni chini yetu. "Msimu huu tumekabiliwa na low block kwa timu 16 na tumeshinda mechi nyingi kati ya hizo. Lakini ni kuhusu ufanisi wa magoli Wanapozuia kila kitu na mpira hauingii wavuni, ni nzuri (kwao).
View attachment 2540657
Ndio maana tunahitaji CF mrefu like Victor OsmhenHata mipira ya coner bado atujawa na hatari kabisaaa,,,,,,,,, angalia statistics against Bournemouth tulikua na kona nyingi ambazo hazina impacts yoyote
Walinipiga wenzio sio wewe sasa acha kujivunia matokeo ya mwanaume mwenzio.Ushaanza hapa kupigwa umepigwa na juzi pia umepigwa 7![]()
Midomo yenu ndio inawaponza,Walinipiga wenzio sio wewe sasa acha kujivunia matokeo ya mwanaume mwenzio.
Ndio maana tunahitaji CF mrefu like Victor Osmhen
Kwa mbinyo tunaotoa Tunatakiwa kuwa tunashinda 4 na kuendelea
MKUU MBONA UNAONGEA MANENO YA KUCHOMA HIVYO NA YENYE UKWELI MCHUNGU! WAONEE HURUMA HATA WAO HAWATAKI IWE HIVYO.Hivi arsenal mmewai kuwa serious kweli?Yani miaka yote iyo hata uefa 1 hakuna kweli kuwa shabiki wa arsenal yapasa kuwa na moyo wa chuma kweli kweli.
Mtu hakiwakuta mnajadili mpira hapa anaweza kujua hii timu ipo serious kweli.
Hii sio kitu ya kukosa kwa timu kama arsenal.View attachment 2540211
...na Jumapili ya ule mwaka ilikuwa hivi.
Mwaka gani huo hebu tutajie?...na Jumapili ya ule mwaka ilikuwa hivi.View attachment 2541040
Na sio wakina Bruno wa kuigunga Arsenal hata 4 hamna uwezo huoWalinipiga wenzio sio wewe sasa acha kujivunia matokeo ya mwanaume mwenzio.
Ila Mzee wetu alikuwa anapokea vipigo heavy sana sitegemei next season kwenye championsSiku kama ya leo miaka 6 iliyopita ndiyo ilikuwa mara ya mwisho Arsenal kuonekana kwenye UEFA Champions League. Walitolewa baada ya kupokea kichapo heavy kutoka kwa miamba ya soka la Ujerumani, The Bavarians.
Hao ndiyo Arsenal, timu ndogo.
View attachment 2540960
league hali hii itajirudia from now on hatuna wachezaji lazy tena wote wanatafuta mpira mwanzo mwishowe jamaa unaroho ngumu sana, yakishirikina kabisa! haiwezekani mdundwe na bado unadunda,wewe ni nunda!Walinipiga wenzio sio wewe sasa acha kujivunia matokeo ya mwanaume mwenzio.
Arsenal are favourites to sign inform star Victor Osimhen
“Rai Sport journalist Ciro Venerato has now suggested Arsenal are the most likely Premier League side to sign Victor Osimhen from Napoli.”
“In order to sign him, they will have to meet Napoli’s €150million (£133m asking price). The 24-year-old is due to be under contract at Stadio Diego Armando Maradona until 2025”