Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Siku kama ya leo miaka 6 iliyopita ndiyo ilikuwa mara ya mwisho Arsenal kuonekana kwenye UEFA Champions League. Walitolewa baada ya kupokea kichapo heavy kutoka kwa miamba ya soka la Ujerumani, The Bavarians.

Hao ndiyo Arsenal, timu ndogo.

images.jpeg-5.jpg
 
Siku kama ya leo miaka 6 iliyopita ndiyo ilikuwa mara ya mwisho Arsenal kuonekana kwenye UEFA Champions League. Walitolewa baada ya kupokea kichapo heavy kutoka kwa miamba ya soka la Ujerumani, The Bavarians.

Hao ndiyo Arsenal timu ndogo.

View attachment 2540960
Haipunguzi maumivu ya kichapo Cha 7-0
 
BADO ARSENAL TUNA TATIZO LA UFANISI KATIKA KUTUMIA NAFASI

HATUNA TATIZO LA KUZIFUNGUA TIMU ZINAZOKAA NYUMA


ARTETA anasema

"Lazima tujitafakari, tuwe na ufanisi zaidi. Kwa uchezaji ambao tunatawala mechi, hatujazalisha magoli ya kutosha na hiyo ni chini yetu. "Msimu huu tumekabiliwa na low block kwa timu 16 na tumeshinda mechi nyingi kati ya hizo. Lakini ni kuhusu ufanisi wa magoli Wanapozuia kila kitu na mpira hauingii wavuni, ni nzuri (kwao).


View attachment 2540657
Hata mipira ya coner bado atujawa na hatari kabisaaa,,,,,,,,, angalia statistics against Bournemouth tulikua na kona nyingi ambazo hazina impacts yoyote
 
Hivi arsenal mmewai kuwa serious kweli?Yani miaka yote iyo hata uefa 1 hakuna kweli kuwa shabiki wa arsenal yapasa kuwa na moyo wa chuma kweli kweli.

Mtu hakiwakuta mnajadili mpira hapa anaweza kujua hii timu ipo serious kweli.

Hii sio kitu ya kukosa kwa timu kama arsenal.View attachment 2540211
MKUU MBONA UNAONGEA MANENO YA KUCHOMA HIVYO NA YENYE UKWELI MCHUNGU! WAONEE HURUMA HATA WAO HAWATAKI IWE HIVYO.
 
Siku kama ya leo miaka 6 iliyopita ndiyo ilikuwa mara ya mwisho Arsenal kuonekana kwenye UEFA Champions League. Walitolewa baada ya kupokea kichapo heavy kutoka kwa miamba ya soka la Ujerumani, The Bavarians.

Hao ndiyo Arsenal, timu ndogo.

View attachment 2540960
Ila Mzee wetu alikuwa anapokea vipigo heavy sana sitegemei next season kwenye champions [emoji471] league hali hii itajirudia from now on hatuna wachezaji lazy tena wote wanatafuta mpira mwanzo mwisho
 
[emoji599]Arsenal are favourites to sign inform star Victor Osimhen

[emoji2788] “Rai Sport journalist Ciro Venerato has now suggested Arsenal are the most likely Premier League side to sign Victor Osimhen from Napoli.”

[emoji2788] “In order to sign him, they will have to meet Napoli’s €150million (£133m asking price). The 24-year-old is due to be under contract at Stadio Diego Armando Maradona until 2025”
 
Mm naona hii michuano ya Europa league tuta zifunga timu nyingi sana sababu bado hawa tujui tulivyo usione timu nyingi za EPL saivi zina paki bus na sio kupaki bus to na mabeki wa 5 hii ni dhahiri tuna tisha sasa utofauti wa timu za EPL na huku ni kwamba timu za EPL washajua solution ya kukabiliana na Arsenal hii nikupaki bus kufanya counter so naona kabisa tunaenda fainal ya hii michuano na kubeba ubingwa na timu yoyote itakayo jaribu kucheza na sisi toe toe atakutana na aibu zaidi ya manjesta oooooyaah



wazeee 🫶[emoji2534][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
IMG_20230307_144956.jpg
FB_IMG_1677783759058.jpg
 
[emoji599]Martinelli will lead the line against Sporting CP this Thursday

[emoji2788] “Gabriel Martinelli will therefore likely lead Arsenal's frontline on Thursday evening having played through the middle after Trossard was taken off on Saturday”
IMG_20230307_174920.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom