Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Vimeachia 1-0
Anajua kujiposition na kuscore ila huwezi mtarajia arudi kati au acheze pembeni. Mi naona anafaa kwemye 4 2 3 1 kuliko false 9Nketiah ni forward mzuri sana shida yake ni kutotumia nafasi anazopata vya kutosha.mimi namprefer yeye kuanza mbele kuliko hawa akina Martineli na Trossard ni mpambanaji sana vile vile na ana press vizuri
Hii mechi imeshakua ngumu Arteta hanaga plan B yaani hatuna on target hata moja first half
😆Hahahaha unachekesha
Umedandia mtumbwi wa vibwengoEverton msiniangushe. Droo inatosha kwa leo
Ndicho nilikua nasema juzi 4 3 3 kwa sasa inatupa dominance ila haitufanyi kua lethal kwakua hayupo Jesus.tumecheza game mbaya mno hi first half jpo tunaongza mbili.. kama vile sio wanaopmbania ubingwa w EPL.
hii inatokan n kuw n maingizo mapya mawil y wachezaj kwnye timu ambao n trossard n jorginho.
arteta must find a good solution!
Usikalili maisha unakumbuka game ya leads tulioshinda kwa goal 1 kwa mbinde...kuna baadhi ya match what matter ni 3 points dakika za lala salama izi ucheze vzuri bila matokeo kipi boratumecheza game mbaya mno hi first half jpo tunaongza mbili.. kama vile sio wanaopmbania ubingwa w EPL.
hii inatokan n kuw n maingizo mapya mawil y wachezaj kwnye timu ambao n trossard n jorginho.
arteta must find a good solution!
I see you mzeeeBest shooter kwetu ni Martinelli it makes sense kumuweka kati yeye kuliko Martinelli lakini nahisi Trossard anaoffer link up play kwenye hii 4 3 3 better kuliko Nketiah.
Kwa uwezo huo wa Trossard hata Martinelli atapata chances za kuingia kwenye boksi kama mechi iliyopita goli lilivyopatikana. Nketiah ana safari ndefu kidogo kufit kwenye hii false 9




Kweli kabisa tunahitaji ushindi kuliko kitu kingine chochote kwa sasaUsikalili maisha unakumbuka game ya leads tulioshinda kwa goal 1 kwa mbinde...kuna baadhi ya match what matter ni 3 points dakika za lala salama izi ucheze vzuri bila matokeo kipi bora
nakubalian na wewe.. ila tujiangalie n tuw makin.. uko mbele kuna UCL.. kule hawatanii.Usikalili maisha unakumbuka game ya leads tulioshinda kwa goal 1 kwa mbinde...kuna baadhi ya match what matter ni 3 points dakika za lala salama izi ucheze vzuri bila matokeo kipi bora
Unaangalia mpira kweli bro??tumecheza game mbaya mno hi first half jpo tunaongza mbili.. kama vile sio wanaopmbania ubingwa w EPL.
hii inatokan n kuw n maingizo mapya mawil y wachezaj kwnye timu ambao n trossard n jorginho.
arteta must find a good solution!