Tusubiri mwakani Wakuu ndoto zetu msimu huu ndio zimefikia ukingoni. Timu hii inabidi ifumuliwe na kujengwa upya ili kuongeza uwezekano wa kutwaa mataji mbali mbali ya soka, lakini kama tutabaki na timu hii basi tutaendelea kusononeka hata msimu ujao. Mie nasubiri mchapo wa MANU VS Chelsea sasa najua hii itakuwa na ushindani wa hali ya juu na si ajabu mshindi ndio akautwaa ufalme wa soka UK. Leo mie nashangilia Chelsea ( I am very sorry BJ & Co) maana kuna Waafrika wenzetu wengi tu Drogba, Essian, Kallou, Malouda & Mikel hahahahaha lol! Sijui kwa nini yule Torres anaanza mechi hii muhimu badala ya kuwa kwenye bench