hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,662
- 27,521
REPORTER akimuuliza Unai Emery kwanini walikuwa wanapoteza muda kutaka Draw dhidi ya Arsenal ;
Tumeona Team kama Newcastle United,Everton, Brentford, Man united na Manchester City wakipoteza muda dhidi ya Arsenal.Nimeona hivyo kwenu pia Leo
🗣️UNAI EMERY ;Hyo haipo kichwani Kwangu, haijawahi kuwa idea yangu
Note; Sasa hivi team zimekuna na Mbinu ya kupoteza Muda dhidi ya Arsenal
Man u pale Emirates matokeo yalivyokuwa 2-2 alileta huo ujinga , akapigwa msako akatulia
Tumeona Team kama Newcastle United,Everton, Brentford, Man united na Manchester City wakipoteza muda dhidi ya Arsenal.Nimeona hivyo kwenu pia Leo
🗣️UNAI EMERY ;Hyo haipo kichwani Kwangu, haijawahi kuwa idea yangu
Note; Sasa hivi team zimekuna na Mbinu ya kupoteza Muda dhidi ya Arsenal
Man u pale Emirates matokeo yalivyokuwa 2-2 alileta huo ujinga , akapigwa msako akatulia