hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,279
- 26,653
wilsonorumatz_
Acha kulialia, watu wanaifunga Barcelona na wako kimya wewe unaifunga Leicester unaandika kwa capital bold letters!!! Ujinga utaacha lini? hamis77wilsonorumatz_
Hapa Arsenal ilikwenda kushambulia na Leicester City wakafanya shambulizi la kustukiza (Counter attack)
Tazama wachezaji wote 10 wamerejea Kuzuia.Wachezaji 3 wapo kwa Kelechi Iheanacho na kumnyima machaguo
Mind you Arsenal ndo team yenye wastani wa Umri mdogo zaidi EPL,Miaka 24. Huwezi kufanya hivi kama team yako imejaa wazee
Wakati Leicester City alimuweka Tottenham goli 4 hapa.Na akaenda Old Trafford ambapo kwenye kipindi Cha kwanza Performance ya David Degea ndo pekee iliwazuia kufunga Goli 3
Jana Dhidi ya Arsenal Leicester city wamemaliza mechi Bila Shot on target.Hii haijawahi kutokea kwenye EPL tangu 2019 XG Philosophy walipoanza kufanya kazi rasmi
Ushindi wa 1-0 ni aina ya ushindi ambao Arsenal inahitaji ili kushinda EPL msimu huu.Yes unafunga goli 1,unafunga duka mechi Imeisha.
Arsenal ikiwa na mpira ndo team bora zaidi EPL.Lakini Bado inatoa nafasi nyingi Sana za kufunga kwa mpinzani.Hivyo kama utahitaji kufunga 1-0 ili kushinda mechi.I love it.Kwasababu sio mechi zote utafunga goli 2,3,4.
Leo sitaki sana kuongelea kuhusu Kwanini Ile faulo ya Bukayo Saka sio Penalty.Kwasababu nimechoka.Baada ya mechi Mwamuzi wa zamani wa EPL Dermot Gallagher amethibitisha ilitakiwa kuwa ni penalty.Lakini ni Arsenal,we move on
Jana nilisema Arsenal wana Faida nyingi dhidi ya Leicester City kwenye Kila phase ya mchezo kwaajili ya kushinda hii Mechi.Overload kwenye Buildup na 3-2 wakati Zinchenko akisogea Karibu na Jorginho dhidi ya 4-4-1-1 ya Leicester Arsenal walitoka nyuma kwa urahisi sana.
Sometimes Arsenal inaweza kujenga shambulizi na 4-1, Granit Xhaka akisogea kama Left back,na Zinchenko akisogea juu kwenye Half space ya kushoto.So Inategemea tu na mpinzani anaweka watu wangapi kwenye Pressing? Kuna dawa kwaajili ya Kila mtu hapo
Note;Sitaki kabisa kusema kuhusu penalty tumenyimwa ambayo refa wa zamani Dermot Gallagher amethibitisha ilitakiwa kuwa penalty.Manake I'm tired
Is it good morning to you watu wa Mungu?
President
#mzeewajambia
View attachment 2530551
Acheni kulialia, msitegemee sana VAR fungeni magoli ya akili kama ya Rashford hamis77LEE MASON SHUGHULI YAKE IMEISHIA HAPO
Bodi ya Waamuzi nchini England (PGMOL) wanasema ni kwa Makubaliano ya pande zote mbili .Hyo ni kauli ya kiandamizi,Lakini najua wamemfukuza
Huyu ni Mwamuzi ambae alikuwa kwenye chumba Cha VAR kwenye Mechi ya Arsenal dhidi ya Brentford na akasahau kuchora mstari wa OFFSIDE hivyo kuruhusu bao la kusawazisha la Brentford na mechi kumalizika 1-1
Saka numbers zake ni kubwa maana yeye hanaga 1v1. Yeye anakabwaga na watu si chini ya wawili hivyo zake ni 1v2 ila watu wenye wivu wanamhesabia tu hivyo hivyo kama 1v1
Leo baada ya kuchukua taji letu la Carabao mashabiki wa Chelsea na Liverpool mtakuwa na jukumu la kuwarudisha nyumbani mashabiki wa Man United, wale wa Arsenal ole wenu tukifika banda umiza tukute viti vichafu.
Haiwezekani muje kuona mechi yetu halafu tusiwape kazi, tumewaita?.View attachment 2530597
Mechi ni moja tu leo, Yanga na Bamako, huo ujinga wenu hatuna muda.Leo baada ya kuchukua taji letu la Carabao mashabiki wa Chelsea na Liverpool mtakuwa na jukumu la kuwarudisha nyumbani mashabiki wa Man United, wale wa Arsenal ole wenu tukifika banda umiza tukute viti vichafu.
Haiwezekani muje kuona mechi yetu halafu tusiwape kazi, tumewaita?.View attachment 2530597
Willy JrMechi ni moja tu leo, Yanga na Bamako, huo ujinga wenu hatuna muda.