Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta kamtesa tu Trossard kucheza kama false nine amrudishie Nketiah tu mbele hakuna madhara yoyote huyu Martineli ndo wakukaa nje too childish now days mechi nyepesi inakua ngumu
Tunakosa Movements za Striker pale Mbele, Martinell anakosa wa kumuwekea pale kati ndio maana unaona anajaribu mwenyewe. Nketiah ataingia
 
Ukiwakuta Arsenyani wanavyojisifia kucheza mpira mzuri utahisi labda wanaenda kushinda 5 bila kumbe wataotea kigoli kimoja tu, yani wakitekenywa kwenye injury time shughuli ndiyo imeisha.
 
Ukiwakuta Arsenyani wanavyojisifia kucheza mpira mzuri utahisi labda wanaenda kushinda 5 bila kumbe wataotea kigoli kimoja tu, yani wakitekenywa kwenye injury time shughuli ndiyo imeisha.
Shobo tu ! uliitwa?
 
Back
Top Bottom