Wakumbushe na hii, halafu mtu atakae guna mtie konzi la utosi.
Sikia kaka, united ni kubwa kuliko arsenal hatupaswi kubishana nao, na msimu huu bado safari ni ndefu na naamin tunamaliza juu yao kwenye league....hawa watabadilika negatively......kinawapoza midomo, jeuri, fedhuri na kiburiMashabiki wa arsenal bwana[emoji16][emoji16] nyie arteta mwaka wa ngapi huu hata uefa mjawai gusa sisi kocha mwaka wa kwanza tu tupo tunagombania nafasi za juu juu tu Wakati arteta msimu wa kwanza kama saizi yupo nafasi ya 7 huko.
Bro mna kiburi sana, sisi tuta judge mwisho wa msimuSwala ni lile lile
Arsenal kushinda siyo habari.
Habari ni Arsenal kufungwa
Yaccine TvNataman sana kuona jinsi Martinell na Trousaad wanavyo rotate kwenye iyo nafasi, ila ndo nipo mbali kidogo na TV mwenye App nzuri ya kucheki game tafadhali anisaidie
Bando lako tu..... ukitaka kwa lugha ya kiarabu kifaransa kiingereza wewe tuYaccine TvView attachment 2529744