Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,875
- 16,442
Mabingwa wa Epl 2015/2016 Leicester City leo tunashinda kwenye hili jukwaaa mpaka kipenga cha mwisho.
Kina Jamie Vardy, Wilfed Ndindi, Kalechi Iheanacho, James Maddison, Kiernan Dewsbury-Hall, Harvey Barnes, Patson Daka bila ya kumsahau Fundi mwenyewe Youri Tielemans wana hasira sana leo baada ya kupoteza mechi aliyopita.
Brendan Rodgers kasema kama waliweza kumtandika Spurs Goli 4-1 basi Arsenyo akipona sana leo atagongwa goli 3-1
Kina Jamie Vardy, Wilfed Ndindi, Kalechi Iheanacho, James Maddison, Kiernan Dewsbury-Hall, Harvey Barnes, Patson Daka bila ya kumsahau Fundi mwenyewe Youri Tielemans wana hasira sana leo baada ya kupoteza mechi aliyopita.
Brendan Rodgers kasema kama waliweza kumtandika Spurs Goli 4-1 basi Arsenyo akipona sana leo atagongwa goli 3-1