Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mabingwa wa Epl 2015/2016 Leicester City leo tunashinda kwenye hili jukwaaa mpaka kipenga cha mwisho.
Kina Jamie Vardy, Wilfed Ndindi, Kalechi Iheanacho, James Maddison, Kiernan Dewsbury-Hall, Harvey Barnes, Patson Daka bila ya kumsahau Fundi mwenyewe Youri Tielemans wana hasira sana leo baada ya kupoteza mechi aliyopita.
Brendan Rodgers kasema kama waliweza kumtandika Spurs Goli 4-1 basi Arsenyo akipona sana leo atagongwa goli 3-1
Screenshot_20230225_122354.jpg
Screenshot_20230225_122433.jpg
Screenshot_20230225_122241.jpg
Screenshot_20230225_122204.jpg
 
Mabingwa wa Epl 2015/2016 Leicester City leo tunashinda kwenye hili jukwaaa mpaka kipenga cha mwisho.
Kina Jamie Vardy, Wilfed Ndindi, Kalechi Iheanacho, James Maddison, Kiernan Dewsbury-Hall, Harvey Barnes, Patson Daka bila ya kumsahau Fundi mwenyewe Youri Tielemans wana hasira sana leo baada ya kupoteza mechi aliyopita.
Brendan Rodgers kasema kama waliweza kumtandika Spurs Goli 4-1 basi Arsenyo akipona sana leo atagongwa goli 3-1View attachment 2529442View attachment 2529443View attachment 2529444View attachment 2529445
Mzee wa kutaja majina ya wachezaji
 
Mabingwa wa Epl 2015/2016 Leicester City leo tunashinda kwenye hili jukwaaa mpaka kipenga cha mwisho.
Kina Jamie Vardy, Wilfed Ndindi, Kalechi Iheanacho, James Maddison, Kiernan Dewsbury-Hall, Harvey Barnes, Patson Daka bila ya kumsahau Fundi mwenyewe Youri Tielemans wana hasira sana leo baada ya kupoteza mechi aliyopita.
Brendan Rodgers kasema kama waliweza kumtandika Spurs Goli 4-1 basi Arsenyo akipona sana leo atagongwa goli 3-1View attachment 2529442View attachment 2529443View attachment 2529444View attachment 2529445
Zee la kupiga mbwembwe, Leicester 1-3 Arsenal
 
Tuna press kuliko timu yoyote duniani kwa sasa. Yani tunakabia juu hata uwe nani man u style yetu kwa ss ni kukabia juu, lazima upotee mana inafika kipindi hujui pasi umpe nani.
Mje mjifanye mna press mbele ya Zinny,White,rams, ndo utajua mjipime kua mna uwezo wa kupress au unazulula
 
Hakuna mchezaji mwenye akili timamu akubali kuhamia Arsenal.

Ni looses and rejects pekee ndo wenye hayo mawazo.

Yani mchezaji asicheze Juventus aje acheze Arsenal?

Una akili timamu?
Mchezaji anayesaini mkataba wa kujiunga Arsenyani, kuna matatu:

1. Hakuna timu zaidi ya Arsenyani inamtaka.

2. Ni chezaji lililojichokea kutoka Cheltako, wanatupiwa wao. Ndiyo tunawaita wachezaji wa mafungu.

3. Soma namba 1 tena.
 
Friends of Leicester City leo tumeweka kambi hapa. Tutakuwa tukiwapa support wenzetu waliopo kule King Power Stadium.
 
Back
Top Bottom