Dah hua nawaambia rafiki zangu tufanye chochote tunachotaka ikiwa tunaweza na kitatupa furaha na hatuvunji sheria za nchi. Huwezi jua utaishi mpaka lini
Hizi Kima zilitumia nguvu nyingi sana siku ile zilipocheza na Man Utd, pamoja na kutufunga ila sisi ndio tuliowachomoa upepo na impact yake ndio inaonekana sasa hivi.