Dhuruma inayofanywa na bodi ya ligi ya England, kwa Team bora ya Arsenal ipo siku wata umbuka tu,,
Licha ya kufungwa na man city ila pia kuna jitihada nyingine zina fanywa nje ya uwanja,,
Ushahidi upo hii nayo ina ua morali ya team.
Ila fresh tu hata man city, man u, chelsea, liverpool, totnhum inshort zote zimepitia na zingine zinapitia hii hali.
Tuna rudi tena,, kuwashangaza