Timu sio kabila wewe unaruhusiwa kuhamaSisi wote ni die hard fans but kakojoe ulale hatuna team that's the fuckin truth why God aliamua kutuchagulia hii team why God?
Matokeo jana ya Chelsea ngapi ngapi?
Nketiah ana safari ndefu sana kufikia top level, kama summer tunaweza pata upgrade ya Jesus au anaelingana nae uwezo tulete tuPoor performers yesterday
- Tomiyasu
- Odegaard
- Nketiah
- Gabriel
- Martineli
- Xhaka
Huna akili
Inawezekana sio akili zake bali ni hangover ya kupigwa bao 3 za hardcore.Hapo ndo nilipoona jamaa ni kiazi
Kavae pedi kwanza.Kaa kwa kutulia dada tukutane May
acha kulialia wewe komamanga, penati yenyewe mmepewa ya mchongo alafu unaanza epl wanatuonea nyenyenye....Dhuruma inayofanywa na bodi ya ligi ya England, kwa Team bora ya Arsenal ipo siku wata umbuka tu,,
Licha ya kufungwa na man city ila pia kuna jitihada nyingine zina fanywa nje ya uwanja,,
Ushahidi upo hii nayo ina ua morali ya team.
Ila fresh tu hata man city, man u, chelsea, liverpool, totnhum inshort zote zimepitia na zingine zinapitia hii hali.
Tuna rudi tena,, kuwashangaza
Ambangile ni nani we chura?Msikilizeni huyu jamaa anasema Martinneli ni goal scorer mkali kushinda Rashford.
Unajikuta Ambangile kumbe hamna kitu.
Sasa pressure na upo home tena Emirates. Je, sisi tunaoenda kucheza Camp Nou tusemaje?Tuna maadui wengi ila naamini huu msimu ni wetu arsenal
Asiyekubali kushindwa sio mpinzani Leo tulikuwa kwenye pressure kubwa sana kitendo kilichosababisha Kutokee kwa individual errors nyingi sana...
Jorginho ni baller ila hatutamfaidi sabb arteta anamwamini shaka sana
#COYG
safari kashaimaliza wala sio kwamba ana safari.Nketiah ana safari ndefu sana kufikia top level, kama summer tunaweza pata upgrade ya Jesus au anaelingana nae uwezo tulete tu
Hiyo Waingereza wenyewe wanaita "early kick-off" 😂Jumamosi mnakutana na Watkins, saa 9.30 mchana.
Sasa hivi akili zinawakaa sawa ! This is EPL !
Ni mwendo wa kupakatwa na wahuni tu