Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
Furaha ya kumuona Tomiyasu akilejea kwenye first eleven,,Partey is not available tonight!View attachment 2518660
City hana sub nje , kamaliza kila kitu kwenye first Timu, mwiba zaid kwetu ni Benardo kutokana na kutokuwepo kwa Partey, mashaka yangu Xhaka atafanya Rafu nyingi sana leo


