Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

wazee huyu Joginho sio gundu lenyewe huyu
maana tunaenda kucheza na city tukiwa very under pressure
 
City wameamka tayari huku sisi tukiwa tunazidi kudidimia tu hata ile intensity ya pressing tuliyokua tunaifanya mpinzani akiwa na mpira sasahivi haipo
Cha msingi tupambane tu tuingie top four,tushapoteana hatuna depth ya kikosi cha kupambania ubingwa tumeshindwa kununua quality players January tunakuja kuwachukua wakina Jorginho
 
Vijana wamerelax sana siku hizi tangu game na manyumbu ni kama tumemaliza msimu kuanzia Nketiah Martinelli wanacheza kifaza
Mi kiujumla kwenye naona tumerudi kwenye arsenal inayozuia kitoto ukiangalia goli la everton na la bretford hazistahili kuifunga timu inayogombania ubingwa

Clear the ball as early as possible
 
Jumatano tutaona kama kweli we mean business au bado tunajitafuta
Jumatano kina Mahrez na Haaland wanakuja kuwafumua mshono hapohapo chumbani kwenu kima nyie.
1465332493.jpg
 
Tangu Arsenane mtumie nguvu nyingi mlipocheza na United ... You have never recovered

Kilichofuata, mkakung'utwa na City, kisha Everton na mkaambulia droo kwa Brentford

Next stop, City, Aston Villa

Nimekaa paleeeee
 
Back
Top Bottom