Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
*Timu tokea kuumbwa dunia haijawahi kushindaTimu lenye laana
la Uefa. *Timu ina miaka 20 haijashinda Epl

Uwakute sasa mashabiki wa Arsenyani jinsi wanavyo elezea mipango na mafanikio ya timu yao




*Timu tokea kuumbwa dunia haijawahi kushindaTimu lenye laana
la Uefa. 




Namna pekee arse8 anaweza kushinda kombe ni kumkata Man City point 15 nje ya uwanja.FA waharakishe huo mchakato CITY akatwe points
Mnateseka na kesho mnaenda kuliwaNamna pekee arse8 anaweza kushinda kombe ni kumkata Man City point 15 nje ya uwanja.



Mechi tatu mfululizo hujashinda hata moja, Tusema nne hamjashinda hata moja maana inayofata ni ya City na haiwezekani kwa njia yoyote mkashinda #arteta out# Huyu arteta mkimchekea mtamaliza namba tano nyie kama kawaida yenu.Mnateseka na kesho mnaenda kuliwa![]()
wewe ni miongoni mwa MACHOKO mliopo JF,weka msimamo wa Ligi kabla hujazibuliwa huo Mtaro wakoMechi tatu mfululizo hujashinda hata moja, Tusema nne hamjashinda hata moja maana inayofata ni ya City na haiwezekani kwa njia yoyote mkashinda #arteta out# Huyu arteta mkimchekea mtamaliza namba tano nyie kama kawaida yenu.
wewe na ARV ni miongoni mwa MACHOKO mliopo JF,hebu wekeni msimamo la Ligi kabla hamjaenda kuzibuliwa mitaro yenu hiyo*Timu tokea kuumbwa dunia haijawahi kushindala Uefa.
*Timu ina miaka 20 haijashinda Epl
Uwakute sasa mashabiki wa Arsenyani jinsi wanavyo elezea mipango na mafanikio ya timu yaoView attachment 2514144
Sio wachezaji tu mpaka mashabiki wao huwaambii kitu kwenye michezo ya kurudi rivers. View attachment 2514101



Arsenal kuongoza ligi mpaka sasa mashabiki wa Manchester united mnaumia sana na sijui ni kwanini.Mechi tatu mfululizo hujashinda hata moja, Tusema nne hamjashinda hata moja maana inayofata ni ya City na haiwezekani kwa njia yoyote mkashinda #arteta out# Huyu arteta mkimchekea mtamaliza namba tano nyie kama kawaida yenu.
Kocha ameshasomwa na kueleweka kwa wapinzani. Suluhisho sasa ni kurotate wachezaji, afundishe kupiga nje ya box na kuanzisha mfumo wa kuweza kupiga counterattack inapobidi.
Kinyume na hapo tunaweza kuanza kukimbiana hapa kwenye uzi.
Hata Mancity akikatwa point hawa kima hawachukui kombe, nina uhakika AsaniWali hawawezi kumaliza ligi wakiwa juu ya Man Utd na Newcastle.Namna pekee arse8 anaweza kushinda kombe ni kumkata Man City point 15 nje ya uwanja.