Chatta g
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 651
- 1,024
Mnateseka na kesho mnaenda kuliwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Namna pekee arse8 anaweza kushinda kombe ni kumkata Man City point 15 nje ya uwanja.
Mnateseka na kesho mnaenda kuliwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Namna pekee arse8 anaweza kushinda kombe ni kumkata Man City point 15 nje ya uwanja.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vile saka alikuwa leo View attachment 2514085
Mechi tatu mfululizo hujashinda hata moja, Tusema nne hamjashinda hata moja maana inayofata ni ya City na haiwezekani kwa njia yoyote mkashinda #arteta out# Huyu arteta mkimchekea mtamaliza namba tano nyie kama kawaida yenu.Mnateseka na kesho mnaenda kuliwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wewe ni miongoni mwa MACHOKO mliopo JF,weka msimamo wa Ligi kabla hujazibuliwa huo Mtaro wakoMechi tatu mfululizo hujashinda hata moja, Tusema nne hamjashinda hata moja maana inayofata ni ya City na haiwezekani kwa njia yoyote mkashinda #arteta out# Huyu arteta mkimchekea mtamaliza namba tano nyie kama kawaida yenu.
wewe na ARV ni miongoni mwa MACHOKO mliopo JF,hebu wekeni msimamo la Ligi kabla hamjaenda kuzibuliwa mitaro yenu hiyo*Timu tokea kuumbwa dunia haijawahi kushinda [emoji471] la Uefa.
*Timu ina miaka 20 haijashinda Epl [emoji471]
Uwakute sasa mashabiki wa Arsenyani jinsi wanavyo elezea mipango na mafanikio ya timu yao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2514144
[emoji16][emoji16][emoji16]Sio wachezaji tu mpaka mashabiki wao huwaambii kitu kwenye michezo ya kurudi rivers. View attachment 2514101
Arsenal kuongoza ligi mpaka sasa mashabiki wa Manchester united mnaumia sana na sijui ni kwanini.Mechi tatu mfululizo hujashinda hata moja, Tusema nne hamjashinda hata moja maana inayofata ni ya City na haiwezekani kwa njia yoyote mkashinda #arteta out# Huyu arteta mkimchekea mtamaliza namba tano nyie kama kawaida yenu.
Kocha ameshasomwa na kueleweka kwa wapinzani. Suluhisho sasa ni kurotate wachezaji, afundishe kupiga nje ya box na kuanzisha mfumo wa kuweza kupiga counterattack inapobidi.
Kinyume na hapo tunaweza kuanza kukimbiana hapa kwenye uzi.
Hata Mancity akikatwa point hawa kima hawachukui kombe, nina uhakika AsaniWali hawawezi kumaliza ligi wakiwa juu ya Man Utd na Newcastle.Namna pekee arse8 anaweza kushinda kombe ni kumkata Man City point 15 nje ya uwanja.
Hua nakereka sana mchezaji yupo sehemu ya kushoot nje ya box anafosi kupiga penetration passKocha ameshasomwa na kueleweka kwa wapinzani. Suluhisho sasa ni kurotate wachezaji, afundishe kupiga nje ya box na kuanzisha mfumo wa kuweza kupiga counterattack inapobidi.
Kinyume na hapo tunaweza kuanza kukimbiana hapa kwenye uzi.
Upo nafasi ya ngapi kwenye ligi?Kwahiyo mnasema bado hamjacheza na City kwenye ligi? [emoji23][emoji23][emoji23]