Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haya twende sasa.
We malaya ndoigeeeh!!! he he hee.
Kuja hapa nina kisimu cha tochi nataka nikuonge, pumbavu wewe, he he hee!

Unadhani ubingwa unachukuliwa kizembe namna hiyoo? he he heee
 
Binafsi nadhani ni muda sasa kocha aanze kufanya rotation ya kikosi, timu pinzani wameshatujulia maana wachezaji ni walewale tu kila mechi

Toa White weka Tomiyasu aanze
Toa Martinelli Trossard aanze au kama vipi Nketiah apishe pale kati Martinelli acheze hapo

Si tunasema tuna Versatile players? Ndio muda huu tuone iyo versatility la sivyo tutakuja kutukanana humu sio muda mrefu
Too late kijana...subiri uwaweke kwa Man City
 
Vile saka alikuwa leo
tapatalk_1675578265809.jpeg
 
Back
Top Bottom