Nadhani kocha wa arsenal amekosa plan B,ukiangalia aina ya kikosi anachokichezesha hakibadiliki na nirahisi sanaa timu pinzani kwa sasaa kuwasoma wachezaji maana ni round ya pili imeingia.
Mchezaji aliewafungia goli anapaswa kuanza,badala ya kutokea bench,hivi vitoto aanze kuvipumzisha,vitakata pumzi mapema wakati bado wana mechi ngumu mbeleni.
Amedondosha point 5 kwa mechi 2,asipoangalia anaweza kushuka ghafla kutokana na mwendo huu.
Hizo sajili walizofanya mbona hatuoni wakitumika,au hawaamini?
Poleni mashabiki wa arsenal,Ila kama mna platform ya kumfikia kocha mwambieni ajitafakari,hawa kina benn,martinel,saka,saliba aanze kawafanyia rotation.