Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Yani ili jukwaa bila Aaron Arsenal linageuka sehemu ya wafu Kuna poa hatari.View attachment 2512254
Mfu ni wewe na post zako za utoto
Yani ili jukwaa bila Aaron Arsenal linageuka sehemu ya wafu Kuna poa hatari.View attachment 2512254
Unasema kweli mkuu? Lile goli la Martinez halihesabiwi kama set piece?Kwenye EPL msimu huu tumefungwa goli 1 tu la set piece, dhidi ya Everton.
Weweee..kutandikwa mechi mbili mfululizo ataacha kukimbia. Na kesho akitandikwa tena atajiua kabisa huyu Aaron ArsenalYani ili jukwaa bila Aaron Arsenal linageuka sehemu ya wafu Kuna poa hatari.View attachment 2512254
Ule mpira ulichezwa na Ramsdale kabla ya Martinez kupiga kichwa, haikua direct from corner kick. Ulikua loose ball.Unasema kweli mkuu? Lile goli la Martinez halihesabiwi kama set piece?
Umeacha kuweka msimamo wa ligi siku hizi ?Weweee..kutandikwa mechi mbili mfululizo ataacha kukimbia. Na kesho akitandikwa tena atajiua kabisa huyu Aaron Arsenal
Usifananishe rejuvenated Everton na Leeds ambayo hadi sasa sijui waliwafungaje hizo goli 2. Timu ambayo hata kupasi mpira hawawezi. Mara nyingi mlikuwa mnapewa pasi hata karibu na goli lao. Walikuwa wakibutuabutua tu 90minsSisi mpaka dakika ya 50 tayari tulikua tumeshapigwa goli 2 kwa bila, ila wanawaume tulipiga comeback ya hatari ndani ya dakika 20 tukarudisha magoli yote, nyinyi watoto wa kiume dada Ever kawagonga kimoko tu na mkashindwa kukirudisha.




malizia upo pale UMEBONG'OLEWAKila la kheri brentford
Arsenyeto mkishinda nipo pale![]()
Na wewe bana, google basi.Unasema kweli mkuu? Lile goli la Martinez halihesabiwi kama set piece?
Arsenal Fans maombi yangu huwa hayapiti bure, FT Tottenham 1 - 0 Mwa-City, na leo hii mtashinda maana Mwa-City kashajifia kiakili tokana na makosa zaidi ya 100 kuhusu FFP.Amina tuko pamoja wazee wenzetu wa London, tatizo mna Mashabiki wenzenu mapimbi wanakuja kututukana kwenye nyuzi zetu bila sababu zozote za misingi.
Wana Chelsea tunawatakia kila la heri kuhakikisha mnabeba ubingwa wa EPL 2022/2023.
Emirates pale kapashindwa Manure mkumbukeLeo arsenal akishinda MUNIITE MAUA SAMA
jina lako tu KITOBO inaonyesha umeshazoea KUTOBOLEWA nyumaNyie kuku maji leo lazima mulumwe na nyuki.
Hamutoki kwa Brantfood.
Yule malaya ndoige leo atakimbia na kichupi mkononi.
wewe ni miongoni mwa MACHOKO wa JFNyie Kima mnatakiwa muonyeshe appreciation kwa watu wanaoleta uhai kwenye jukwaa lenu.
Yaani humu kweli mnashindwa kuchangishana hata mia tano mia tano mkamnunulia Aaron Arsenal japo Tecno ili aendelee kuwalisha matango pori?
Yaani hili timu nilijua bahili ni Kreonke peke yake kumbe mpaka mashabiki wake ni mulemule tu.
Yaani bila Aaron Arsenal humu jukwaa linapoa utafikiri wapo kwenye maombolezo ya msiba wa kitaifa.
AsaniWali Jaba
Haaland Kiatu.
Yoane Wissa, Ben Mee, Mathias Jensen, Bryan Mbeumo na Ivan Toneywewe ni miongoni mwa MACHOKO wa JF