Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Caicedo ni Kante.

Ana balance timu ikienda mbele na ikirudi.

Enzo kwa clips nilizoona naona ana akili ya kushambulia zaidi, na kwakua chelsea mlisema hamna kiungo wa kupelekea mipira strikers nafikiri ndiyo maana mmemtaka Enzo kuliko Caicedo.

Sielewi kwanini unasema Enzo ni full package, mi nahisi Enzo bado ana safari ya kuhakikisha anashine.
Enzo hata kwenye ukabaji yupo vizuri vipi ukuaona mabadiliko makubwa ya Argentina baada ya Enzo kuanza first eleven, Argentina walikuwa wanapigwa pingwa Sana baada ya huyu mwamba kuingia sub dhidi ya uholanza sijui uswisi kitu kama hicho kama sikosei alikiwasha tangu hapo akawa anaanza kila game na kuwafanya Argentina wawe Bora Sana pale Kati
 
Wewe mpira ujui sisi tumesajili kutokana na uhitaji wetu kwenye hiyo nafasi kwa kuangalia je anasifa zakufit hiyo nafasi? Ndio maana tukaona mtu pekee anayetufaa ni Enzo.Tangu aondoke Lampard pale chelsea hatujawahi kupata kiungo mkabaji mwenye uwezo wakupiga long passes na Enzo ana hii sifa yupo vizuri Sana, sifa ya pili ya Enzo anajua kudominate game kupiga pass fupi fupi na ndefu za break up back line ya opponent, ana jua kufunga, press resistance mzuri, ana technical ability nzuri pia ana kasi, ana uwezo wa kukaba kwa eneo kubwa la Uwanja mwisho kabisa ni mpambanaji.


Kiufupi ana baadhi ya sifa ambazo viungo tulionao hawana Enzo ni midfielder ambaye yupo full package ndio maana tumetumia nguvu kubwa kumsajili na hiyo nguvu hatukuitumia kwa jao Caicedo kwasababu ubora wake upo kwenye kukaba Sana pekee lakini hana technical ability ya kudominate mechi na sio mzuri sana kwenye passes.
Aaron Arsenal
Castr
Will Jr
HENRY14
Kwanza nimeishia hapo "toka aondoke Lampard hatuna kiungo mkabaji…. Blaaa blaa blaaa.
 
Kwanza nimeishia hapo "toka aondoke Lampard hatuna kiungo mkabaji…. Blaaa blaa blaaa.
Hii ndio shida ya kutosoma vizuri umeakatisha hiyo sentensi nimesema tangu aondoke Lampard hatujawahi kupata kiungo mkabaji mwenye uwezo wakupiga long passes sasa wewe ujamalizia hiyo sentensi yako
 
Wewe mpira ujui sisi tumesajili kutokana na uhitaji wetu kwenye hiyo nafasi kwa kuangalia je anasifa zakufit hiyo nafasi? Ndio maana tukaona mtu pekee anayetufaa ni Enzo.Tangu aondoke Lampard pale chelsea hatujawahi kupata kiungo mkabaji mwenye uwezo wakupiga long passes na Enzo ana hii sifa yupo vizuri Sana, sifa ya pili ya Enzo anajua kudominate game kupiga pass fupi fupi na ndefu za break up back line ya opponent, ana jua kufunga, press resistance mzuri, ana technical ability nzuri pia ana kasi, ana uwezo wa kukaba kwa eneo kubwa la Uwanja mwisho kabisa ni mpambanaji.


Kiufupi ana baadhi ya sifa ambazo viungo tulionao hawana Enzo ni midfielder ambaye yupo full package ndio maana tumetumia nguvu kubwa kumsajili na hiyo nguvu hatukuitumia kwa jao Caicedo kwasababu ubora wake upo kwenye kukaba Sana pekee lakini hana technical ability ya kudominate mechi na sio mzuri sana kwenye passes.
Aaron Arsenal
Castr
Will Jr
HENRY14
Yaan ukisikia chelsea na waingereza wanavyomzungumzia lampard na kama hukumuona akicheza basi unapata picha ya mido moja ya maana sana.Ila kama ulimuoana akicheza basi unabaki kunyamaza tu.English media hawajawahi kushindwa jambo lao.
Tangu nimeanza kuangalia mpira kwa kuzingatia kwangu viungo wa kiingereza nao waheshimu sana ni paul scholes na jack wilshere.

Huyu wlishere alikuwa mwingereza mwenye akili mchanganyiko wa hispania na brazil.kama yasingekuwa majeruhi yaliyokatisha kipaji chake nawaambia waingereza wangempa mtaa kabisa

Ila nawaambia lampard alikuwa kiungo wa kawaida mnooo,sema tu kitu cha kipekee anachowazidi viungo wengi ni ile spirit ya kupambana na physicality yake.
Nawaambia yule mbrazil ramiles na essien walikuwa miles away kulinganisha na jamaaa
 
Yaan ukisikia chelsea na waingereza wanavyomzungumzia lampard na kama hukumuona akicheza basi unapata picha ya mido moja ya maana sana.Ila kama ulimuoana akicheza basi unabaki kunyamaza tu.English media hawajawahi kushindwa jambo lao.
Tangu nimeanza kuangalia mpira kwa kuzingatia kwangu viungo wa kiingereza nao waheshimu sana ni paul scholes na jack wilshere.

Huyu wlishere alikuwa mwingereza mwenye akili mchanganyiko wa hispania na brazil.kama yasingekuwa majeruhi yaliyokatisha kipaji chake nawaambia waingereza wangempa mtaa kabisa

Ila nawaambia lampard alikuwa kiungo wa kawaida mnooo,sema tu kitu cha kipekee anachowazidi viungo wengi ni ile spirit ya kupambana na physicality yake.
Nawaambia yule mbrazil ramiles na essien walikuwa miles away kulinganisha na jamaaa
Mkuu unamkosea heshima Lampard kwanza ndio mchezaji mwenye magoal mengi zaidi wa muda wote wa team kubwa kama chelsea lakini pia ndio most assists wa muda wote wa chelsea utasemaje ni mchezaji wa kawaida na Tena anacheza nafasi ya chini no 8. Ukija kwenye takwimu za epl kwa ujumla Lampard ndio midfielder wa epl mwenye magoal mengi wa muda wote na kwenye upande wa most assists wa muda wote wa ligi kuu ya England Lampard anashika nafasi ya 4 wa kwanza ni Ryan Highs, wa pili Fabregas na watatu ni Rooney.
 
Yaan ukisikia chelsea na waingereza wanavyomzungumzia lampard na kama hukumuona akicheza basi unapata picha ya mido moja ya maana sana.Ila kama ulimuoana akicheza basi unabaki kunyamaza tu.English media hawajawahi kushindwa jambo lao.
Tangu nimeanza kuangalia mpira kwa kuzingatia kwangu viungo wa kiingereza nao waheshimu sana ni paul scholes na jack wilshere.

Huyu wlishere alikuwa mwingereza mwenye akili mchanganyiko wa hispania na brazil.kama yasingekuwa majeruhi yaliyokatisha kipaji chake nawaambia waingereza wangempa mtaa kabisa

Ila nawaambia lampard alikuwa kiungo wa kawaida mnooo,sema tu kitu cha kipekee anachowazidi viungo wengi ni ile spirit ya kupambana na physicality yake.
Nawaambia yule mbrazil ramiles na essien walikuwa miles away kulinganisha na jamaaa
Mkuu unamkosea heshima Lampard kwanza ndio mchezaji mwenye magoal mengi zaidi wa muda wote wa team kubwa kama chelsea lakini pia ndio most assists wa muda wote wa chelsea utasemaje ni mchezaji wa kawaida? na Tena anacheza nafasi ya chini no 8. Ukija kwenye takwimu za epl kwa ujumla Lampard ndio midfielder wa epl mwenye magoal mengi wa muda wote na kwenye upande wa most assists wa muda wote wa ligi kuu ya England Lampard anashika nafasi ya 4 wa kwanza ni Ryan giggs, wa pili Fabregas na watatu ni Rooney
toobiter
Aaron Arsenal
Castr
 
Mkuu unamkosea heshima Lampard kwanza ndio mchezaji mwenye magoal mengi zaidi wa muda wote wa team kubwa kama chelsea lakini pia ndio most assists wa muda wote wa chelsea utasemaje ni mchezaji wa kawaida na Tena anacheza nafasi ya chini no 8. Ukija kwenye takwimu za epl kwa ujumla Lampard ndio midfielder wa epl mwenye magoal mengi wa muda wote na kwenye upande wa most assists wa muda wote wa ligi kuu ya England Lampard anashika nafasi ya 4 wa kwanza ni Ryan Highs, wa pili Fabregas na watatu ni Rooney
toobiter
Aaron Arsenal
Castr
toobiter fighting spirit na workrate ya Lampard ndiyo Casemiro sasa. Ukimuangalia anavyocheza unaona ari na positive energy huoni 1, 2 za mara kwa mara, forward runs za kutishia au kuhama na kijiji.

Wilshere aliweza hayo nafikiri ndiyo maana unaona Lampard alikua wa kawaida kulinganisha na viungo uliowataja lakini Hziyech22 yeye kaja kitakwimu na statistically Lampard yuko vizuri.

So wote mpo sahihi ila kila mmoja kwa angle yake.
 
Reiss Nelson is back in full first-team at London Colney today.
IMG_20230202_182654_279.jpg
 
Mkuu unamkosea heshima Lampard kwanza ndio mchezaji mwenye magoal mengi zaidi wa muda wote wa team kubwa kama chelsea lakini pia ndio most assists wa muda wote wa chelsea utasemaje ni mchezaji wa kawaida na Tena anacheza nafasi ya chini no 8. Ukija kwenye takwimu za epl kwa ujumla Lampard ndio midfielder wa epl mwenye magoal mengi wa muda wote na kwenye upande wa most assists wa muda wote wa ligi kuu ya England Lampard anashika nafasi ya 4 wa kwanza ni Ryan Highs, wa pili Fabregas na watatu ni Rooney
toobiter
Aaron Arsenal
Castr
Anamkosea Sana heshima Super Frank

Huyu mwamba Ni moja ya Viungo bora kuwahi kutokea EPL
 
Vijana wa Academy ni mtaji wa kesho mazee, Ethan Nwaneri, Patino, Folarin Balogun, Cozier duberry wanajua mpira, big up kwa Wilshere & Metersacker. Hongera pia kwa Saka & Smith rowe kwa kuwapa imani ya kupambana hawa vijana.
Cozier Dubbery copy ya Saka hi


Ethan Nanweri

Na Patino

Siishiwi kuwaangalia kila siku
 
Mpaka nimemshangaa jamaa kakariri wachezaji wa uingereza wanakuzwa hiyo kitu imekaa kwenye akili yake bila kuchuja mambo
Kwanza haya ni maoni yangu tu kama mpenz wa mpira. Pili mimi ni mmoja wa watu wasioegemea sana kwenye takwimu katika kuamua ubora wa mchezaji.
Tatu, tafsiri ya mchezaji bora inatofautiana kati ya shabiki na shabik kulingana na namna wanavyoangalia mpira(fancy and fantasy ) kwangu mimi lampard namheshimu kwa alichokifanya ndani ya chelsea
 
Back
Top Bottom