Ndo ushabiki lazima usifie chako hata kama ni kibovu ila ni chako.Huyu jamaa anaweza kuscore kwa mwezi mfululizo mpaka mashabiki wanajisahau wanamuona mungu.
Maajabu yake mashabiki wa united dunia nzima hua hawajifunzi kwamba jamaa kiwango chake kina kifafa. Matokeo ndiyo haya mtu anakuja kuandika matusi hua hawajifunzi hawa
We Aaron unaishi ulimwengu upi.Baada ya Chelsea kukataliwa £55m na hawakurudi Tena Ni dhahiri huyu mchezaji alikuwa HAUZWI Tena
Wakala wake Ndiye aliwajulisha Arsenal kuwa Caicedo anapatikana wakaze uzi, Di Zerbi akasema Yeye yupo fresh tu Caicedo akiuzwa
Uongoz wa Brighton ndio umemuwekea Ngumu kumuuza, nadhani Ni Jeuri tu kuonesha hawana shida na Pesa .
Persistence hamkuwa nayo. Pia negotiators wazuri bado sana hamnao. Hakuna hata kidogo bidhaa isiyohusika sokoni. Mbinu ya brighton ni hiyo hauzwi ili mkate tamaa au mje na bei inayoshawishi kubadili mawazo. Mimi naona policy yenu ya upare bado itawasumbua sana hadi muibadilishe. Ila sioni mkifanya hivyo labda kwa owners wengine. Narudia kusema, On Earth hakuna bidhaa isiyouzwa. Labda mbinguni. Kila mchezaji ni bidhaa. Hata kwa mchezaji ambaye ni moyo wa timu ukitoa bei yenye kushawishi unapata.Caicedo sio Bei kubwa Labda Kama umeamua kutofatilia
Soma hapa
Relationship between Brighton & Arsenal,has been damaged. Brighton were left irritated and perplexed after the 2nd bid as they felt Arsenal did not get the message that the player is not for sale.
The Athletic
Mudrky pia sio Bei kubwa Labda umeamua kudanganya au kufurahisha
Ofa aliyotoa Chelsea €100m ndio hiyo hiyo alitoa Arsenal €95-100m
Salary tofauti ilikuwa 10k
Soma hapa
Shakhtar Director
He claims Arsenal contacted Mudryk in "October or November" before formally contacting Shakthar. He has also revealed the Gunners offered the same amount as Chelsea, but the latter's proposal contained more "achievable and realistic" add-ons.
Kwa Fresneda na Zubimend na Camavinga upo sahihi
Hao ndiyo wanafanya sisi mashabiki wengine wa Chelsea FC tuonekane hatuitakii mema Arsenal FC.Jamaa angu una chuki Sana na sisi
Sijawahi ona shabiki wa Chelsea anayetuchukia Kama wewe
We jamaa nikuulize Leicester walitumia pesa kiasi gani kushinda EPL?Persistence hamkuwa nayo. Pia negotiators wazuri bado sana hamnao. Hakuna hata kidogo bidhaa isiyohusika sokoni. Mbinu ya brighton ni hiyo hauzwi ili mkate tamaa au mje na bei inayoshawishi kubadili mawazo. Mimi naona policy yenu ya upare bado itawasumbua sana hadi muibadilishe. Ila sioni mkifanya hivyo labda kwa owners wengine. Narudia kusema, On Earth hakuna bidhaa isiyouzwa. Labda mbinguni. Kila mchezaji ni bidhaa. Hata kwa mchezaji ambaye ni moyo wa timu ukitoa bei yenye kushawishi unapata.
Mfano ukitaka Haaland Man city unampata. Toa tu pesa inayotia wamiliki majaribuni watakupa
Wachezajo wengi wazuri wanaitwaga untouchable kwa maneno mengi hauzwi.
Timu ndogo kama Brighton hawana jeuri ya kugoma kuuza mchezaji. So mjitafakari kwenye hizo sera zenu za upare itawanyima wachezaji wengi wazuri.
Warning. Hata mkibeba EPL. Msipokuwa na quality deep squad. Misimu ijayo usishangae mkirudi midtable. EPL ni ligi ya pesa nyingi only the fitest will survive. Darwin law
Hao ndiyo wanafanya sisi mashabiki wengine wa Chelsea FC tuonekane hatuitakii mema Arsenal FC.
Nasema tena, nawatakia kila la heri Arsenal FC kubeba kombe la EPL 2022 - 2023 ili mtuheshimishe wana London kwa kusababisha EPL iendelee kuwa ligi bora kiupinzani maana Mwa-City wakichukua tena mwaka huu mara ya 3 mfululizo haitaleta hamasa wala ladha yoyote ile kwetu wapenzi wa EPL kuifatilia EPL kisawa sawa.
Lampard alikuwa kiungo mkabaji?Wewe mpira ujui sisi tumesajili kutokana na uhitaji wetu kwenye hiyo nafasi kwa kuangalia je anasifa zakufit hiyo nafasi? Ndio maana tukaona mtu pekee anayetufaa ni Enzo.Tangu aondoke Lampard pale chelsea hatujawahi kupata kiungo mkabaji mwenye uwezo wakupiga long passes na Enzo ana hii sifa yupo vizuri Sana, sifa ya pili ya Enzo anajua kudominate game kupiga pass fupi fupi na ndefu za break up back line ya opponent, ana jua kufunga, press resistance mzuri, ana technical ability nzuri pia ana kasi, ana uwezo wa kukaba kwa eneo kubwa la Uwanja mwisho kabisa ni mpambanaji.
Kiufupi ana baadhi ya sifa ambazo viungo tulionao hawana Enzo ni midfielder ambaye yupo full package ndio maana tumetumia nguvu kubwa kumsajili na hiyo nguvu hatukuitumia kwa jao Caicedo kwasababu ubora wake upo kwenye kukaba Sana pekee lakini hana technical ability ya kudominate mechi na sio mzuri sana kwenye passes.
Aaron Arsenal
Castr
Will Jr
HENRY14
Kipindi leicester city anachukua ubingwa team kubwa karibia zote zilikuwa wanaseason mbaya kasoro tu Spurs na Arsenal pekee kuanzia Chelsea, Man u, Liverpool na Man city walikuwa ovyo ndio maana leicester kwake ikawa rahisi kuchukua ubingwa lembu naona jamaa kashasahauWe jamaa nikuulize Leicester walitumia pesa kiasi gani kushinda EPL?
PSG wameshatumia pesa nyingi Sana katika usajili was wachezaji ila mpaka leo wameshindwa kubeba taji la maana la UEFA
Man Utd nao vile vile, waliwasajili Bruno, Maguire,Pogba,Antony,Sancho,Di Maria na Lukaku ila hawajahi kushinda EPL
Mkuu, soccer Ni karata chochote kinachowezekana
Kwani mkuu kuwa no 8 hukabi?Lampard alikuwa kiungo mkabaji?
Kaka jibu ni ndio au hapana.Kwani mkuu kuwa no 8 hukabi?
Lampard alikuwa anakabaKaka jibu ni ndio au hapana.
Kwahiyo fabregas nae mkabaji, Xavi nae ni kiungo mkabaji?
Hata messi anakaba, Gabriel jesus anakaba, swali je alikuwa ni kiungo mkabaji, jibu ndio ama hapana.Lampard alikuwa anakaba
Alikuwa kiungo mkabajiHata messi anakaba, Gabriel jesus anakaba, swali je alikuwa ni kiungo mkabaji, jibu ndio ama hapana.
Chelsea spent a record £272 million during the 2022 summer transfer window, making it the biggest single market from an individual team in the history of the game.....na ni midtable team,kama vi i weka msimamo hapaPersistence hamkuwa nayo. Pia negotiators wazuri bado sana hamnao. Hakuna hata kidogo bidhaa isiyohusika sokoni. Mbinu ya brighton ni hiyo hauzwi ili mkate tamaa au mje na bei inayoshawishi kubadili mawazo. Mimi naona policy yenu ya upare bado itawasumbua sana hadi muibadilishe. Ila sioni mkifanya hivyo labda kwa owners wengine. Narudia kusema, On Earth hakuna bidhaa isiyouzwa. Labda mbinguni. Kila mchezaji ni bidhaa. Hata kwa mchezaji ambaye ni moyo wa timu ukitoa bei yenye kushawishi unapata.
Mfano ukitaka Haaland Man city unampata. Toa tu pesa inayotia wamiliki majaribuni watakupa
Wachezaji wengi wazuri wanaitwaga untouchable kwa maneno mengi hauzwi.
Timu ndogo kama Brighton hawana jeuri ya kugoma kuuza mchezaji. So mjitafakari kwenye hizo sera zenu za upare itawanyima wachezaji wengi wazuri.
Warning. Hata mkibeba EPL. Msipokuwa na quality deep squad. Misimu ijayo usishangae mkirudi midtable. EPL ni ligi ya pesa nyingi only the fitest will survive. Darwin law
Aaaah! Nilisahau, kumbe Pep anataka kuvunja rekodi ya mzee wetu SAF!!!Hao ndiyo wanafanya sisi mashabiki wengine wa Chelsea FC tuonekane hatuitakii mema Arsenal FC.
Nasema tena, nawatakia kila la heri Arsenal FC kubeba kombe la EPL 2022 - 2023 ili mtuheshimishe wana London kwa kusababisha EPL iendelee kuwa ligi bora kiupinzani maana Mwa-City wakichukua tena mwaka huu mara ya 3 mfululizo haitaleta hamasa wala ladha yoyote ile kwetu wapenzi wa EPL kuifatilia EPL kisawa sawa.
Yaah! Nahisi next summer tunaenda kwa Declan Rice, tukifuzu UEFA + kuwin title, we'll have the pull.Nimesoma sehemu wakala wa Caicedo anawashutumu BHA kwa kumbania mteja wake asiende Arsenal, kuwa fursa hii haitajirudia mara mbili. Nami namuunga mkono haitajirudia tena.