Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sambi ndani ya Palace
IMG_20230201_192056.jpg
 
Wanatakiwa waelewe hiyo ni biashara kama biashara zingine tulienda kwao tukalipa pesa tukamchukua White nao Chelsea wakaja wakalipa wakamchukua Cucu na hivo hivo kwa caicedo watu watakuja watalipa wataondoka hiyo target yao ya kucheza michuano ya ulaya msimu ujao haituhusu tunatumia hela na wajue kwenye vilabu vidogo wachezaji wanapita tuu ndo maana dogo aliandika mitandaoni hadi mambo ya familia yake.

Dhahabu ikitokea watu wanaitolea macho Caicedo summer hii watu watagonga mlango sio tuu Arsenal hata Liverpool wanaotaka kurudi kwenye ushindani maana midfield yao imechoka haswa.
Yes. Tumewatajirisha sana tu hawa. Waione kama complement Kwa scouting team yao
 
Baada ya Chelsea kukataliwa £55m na hawakurudi Tena Ni dhahiri huyu mchezaji alikuwa HAUZWI Tena

Wakala wake Ndiye aliwajulisha Arsenal kuwa Caicedo anapatikana wakaze uzi, Di Zerbi akasema Yeye yupo fresh tu Caicedo akiuzwa

Uongoz wa Brighton ndio umemuwekea Ngumu kumuuza, nadhani Ni Jeuri tu kuonesha hawana shida na Pesa .
Summer, team nyingi zitamrudia Caicedo.

Brighton wajiandae summer
 
Wanatakiwa waelewe hiyo ni biashara kama biashara zingine tulienda kwao tukalipa pesa tukamchukua White nao Chelsea wakaja wakalipa wakamchukua Cucu na hivo hivo kwa caicedo watu watakuja watalipa wataondoka hiyo target yao ya kucheza michuano ya ulaya msimu ujao haituhusu tunatumia hela na wajue kwenye vilabu vidogo wachezaji wanapita tuu ndo maana dogo aliandika mitandaoni hadi mambo ya familia yake.

Dhahabu ikitokea watu wanaitolea macho Caicedo summer hii watu watagonga mlango sio tuu Arsenal hata Liverpool wanaotaka kurudi kwenye ushindani maana midfield yao imechoka haswa.
Not guaranteed kuwa atakuwa dhahabu akatingisha soko kama walivyofanya. Akiflop watapata hela ya mboga tu. Sasa wangekula nyama ya nundu.
 
Summer, team nyingi zitamrudia Caicedo.

Brighton wajiandae summer
Hata dirisha hili lililofungwa jana laiti Chelsea wasingekua na uhakika wa kumpata Enzo na wakaamua wamsajili Caicedo Brighton wasingeweza kuchomoa.
Ile mechi yao ya mwisho hawakumchezesha kwa kuamini kuna uwezekano mkubwa wa kuuzwa kwenye timu inayojielewa, ila baada ya kuona timu inayomng'ang'ani sana ni middle team kama yao wakaona bora tu hiko kipaji wabaki nacho wenyewe kuliko kwenda kukipoteza kwenye timu ya one season wonder, timu ambayo ina zaidi ya miaka 20 haijawahi kubeba la Epl, Timu ambayo tokea kuumbwa kwa ulimwengu haijawahi kubeba la Uefa hata mara moja.
 
Hata dirisha hili lililofungwa jana laiti Chelsea wasingekua na uhakika wa kumpata Enzo na wakaamua wamsajili Caicedo Brighton wasingeweza kuchomoa.
Ile mechi yao ya mwisho hawakumchezesha kwa kuamini kuna uwezekano mkubwa wa kuuzwa kwenye timu inayojielewa, ila baada ya kuona timu inayomng'ang'ani sana ni middle team kama yao wakaona bora tu hiko kipaji wabaki nacho wenyewe kuliko kwenda kukipoteza kwenye timu ya one season wonder, timu ambayo ina zaidi ya miaka 20 haijawahi kubeba la Epl, Timu ambayo tokea kuumbwa kwa ulimwengu haijawahi kubeba la Uefa hata mara moja.
Wewe jamaa dah unazingua
 
daaahhh sio kwa kumshusha thamani huko dada Jorjinah.
Wenyewe kina OllaChuga Oc wanasema wamewapea hio silaha ya maangamizi ili iwasaidie walau mpate hilo kombe la Epl japo kwa huu msimu mmoja baada ya kulikosa hilo kombe kwa zaidi ya miongo miwili iliyopita.
Hakika bila ya huruma na hisani za namna hii kutoka kwa Chelsea na Man City hawa Arsenyani wanaweza kumaliza mpaka karne moja bila ya kubeba hilo kombe.
Mimi kombe Bado sijawaza. Nyie mmempata Marcella Sabrina aje azibe pengo la Erica. Ametoka ligi ingine. Je akikawia kuzoea mazingira mapya na ligi mpya si mtatoka top 4 nyie.? Mshukuru Man City wamepoteza mchezaji la sivyo hizi mbio nyie mlikuwa mnaenda kiziaga
 
Tuwaambie Ukweli manyua kuwa hatoki kwa Newcastle fainali Carabao au tuwaache Kwanza?
Kuna kiumbe pale kati kinaitwa sanitizer, yaani sasa hivi ni mwendo wa kunawisha mikono tu bila kula.
Huyo jamaa unaambiwa free kicks zake hua zinahesabiwa ni penalty, yaani jamaa lilivyofika tu Old Traford likaenda moja kwa moja kumtafuta Weghorst na kumuhakikishia mpaka mwezi may lazima Weghorst atakua na magoli mengi zaidi ya Nketiah.
Man Utd msimu huu hakuna kikombe wala kibakuli tutakacho kiacha, kuanzia Caragabaho, mwana FA, Europa na hio Epl ni mali halali za mashetani wekundu, nyie Arsenyani ni wasindikizaji tu wa hii michuano.
 
Hata dirisha hili lililofungwa jana laiti Chelsea wasingekua na uhakika wa kumpata Enzo na wakaamua wamsajili Caicedo Brighton wasingeweza kuchomoa.
Ile mechi yao ya mwisho hawakumchezesha kwa kuamini kuna uwezekano mkubwa wa kuuzwa kwenye timu inayojielewa, ila baada ya kuona timu inayomng'ang'ani sana ni middle team kama yao wakaona bora tu hiko kipaji wabaki nacho wenyewe kuliko kwenda kukipoteza kwenye timu ya one season wonder, timu ambayo ina zaidi ya miaka 20 haijawahi kubeba la Epl, Timu ambayo tokea kuumbwa kwa ulimwengu haijawahi kubeba la Uefa hata mara moja.
Oyaaaaa Brighton ni wagumu kwenye negotiation huwa wanajifanya hawana shida na wanauza watakapoamua.
 
Jorginho vs. Arsenal players in the PL this season:

Most tackles made
◉ 42 - Jorginho
◎ 39 - Ben White
◎ 36 - Thomas Partey

Most interceptions
◉ 21 - Jorginho
◎ 19 - Partey
◎ 17 - Gabriel

Most possession won
◎ 156 - William Saliba
◎ 124 - Partey
◉ 119 - Jorginho
 
Watu wanaumia mno Arsenal kuongoza ligi, hasa Manyumbu & chelwowo, siku tukianguka utaona matusi yatatolewa humu, kama tulivyokosa nafasi ya UEFA last season! Utaambiwa "tulijua tu", infact wanafki wanajulikana, kujikuta wanatoa sifa kumbe wanabadilika na upepo yaani bendera.

Game zimebaki 19, kila mechi fainali, Jesus yupo mbioni kurudi, hata hatujamkumbuka, so lets pray tuwashut up.
 
Watu wanaumia mno Arsenal kuongoza ligi, hasa Manyumbu & chelwowo, siku tukianguka utaona matusi yatatolewa humu, kama tulivyokosa nafasi ya UEFA last season! Utaambiwa "tulijua tu", infact wanafki wanajulikana, kujikuta wanatoa sifa kumbe wanabadilika na upepo yaani bendera.

Game zimebaki 19, kila mechi fainali, Jesus yupo mbioni kurudi, hata hatujamkumbuka, so lets pray tuwashut up.
Sasa Hivi hata Kama Partey hayupo Bado na uhakika na Point 3

Kwa hiki kikosi chetu,mancity anahitaji asidondoshe point Kama anataka kutetea Ubingwa
Tukifika GW 25 gepu la points likiwa 10+ Kazi anayo
IMG-20230201-WA0155.jpg
 
HUYU TEN HAG KWELI ANAYATAKA MAKOMBE YOTE MANNE. YAANI KATIMU HAKA ANA AGGREGATE YA GOLI 3-0 NA BADO ANAWEKA FULL MZIKI! BY THE WAY NI WACHEZAJI WAWILI TU KWENYE HII 1ST XI HAWAKUWEPO WORLD CUP.
Screenshot_20230201_221547_Google.jpg
 
Back
Top Bottom