Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Sambi ndani ya Palace
Yes. Tumewatajirisha sana tu hawa. Waione kama complement Kwa scouting team yaoWanatakiwa waelewe hiyo ni biashara kama biashara zingine tulienda kwao tukalipa pesa tukamchukua White nao Chelsea wakaja wakalipa wakamchukua Cucu na hivo hivo kwa caicedo watu watakuja watalipa wataondoka hiyo target yao ya kucheza michuano ya ulaya msimu ujao haituhusu tunatumia hela na wajue kwenye vilabu vidogo wachezaji wanapita tuu ndo maana dogo aliandika mitandaoni hadi mambo ya familia yake.
Dhahabu ikitokea watu wanaitolea macho Caicedo summer hii watu watagonga mlango sio tuu Arsenal hata Liverpool wanaotaka kurudi kwenye ushindani maana midfield yao imechoka haswa.
Summer, team nyingi zitamrudia Caicedo.Baada ya Chelsea kukataliwa £55m na hawakurudi Tena Ni dhahiri huyu mchezaji alikuwa HAUZWI Tena
Wakala wake Ndiye aliwajulisha Arsenal kuwa Caicedo anapatikana wakaze uzi, Di Zerbi akasema Yeye yupo fresh tu Caicedo akiuzwa
Uongoz wa Brighton ndio umemuwekea Ngumu kumuuza, nadhani Ni Jeuri tu kuonesha hawana shida na Pesa .
Not guaranteed kuwa atakuwa dhahabu akatingisha soko kama walivyofanya. Akiflop watapata hela ya mboga tu. Sasa wangekula nyama ya nundu.Wanatakiwa waelewe hiyo ni biashara kama biashara zingine tulienda kwao tukalipa pesa tukamchukua White nao Chelsea wakaja wakalipa wakamchukua Cucu na hivo hivo kwa caicedo watu watakuja watalipa wataondoka hiyo target yao ya kucheza michuano ya ulaya msimu ujao haituhusu tunatumia hela na wajue kwenye vilabu vidogo wachezaji wanapita tuu ndo maana dogo aliandika mitandaoni hadi mambo ya familia yake.
Dhahabu ikitokea watu wanaitolea macho Caicedo summer hii watu watagonga mlango sio tuu Arsenal hata Liverpool wanaotaka kurudi kwenye ushindani maana midfield yao imechoka haswa.
Kama ilivyotokea kwa Housem Aouar , Zaniolo,Not guaranteed kuwa atakuwa dhahabu akatingisha soko kama walivyofanya. Akiflop watapata hela ya mboga tu. Sasa wangekula nyama ya nundu.
Kama ilivyotokea kwa Housem Aouar , Zaniolo,
Au Thomas Lemar walikataaga £92m
Hata dirisha hili lililofungwa jana laiti Chelsea wasingekua na uhakika wa kumpata Enzo na wakaamua wamsajili Caicedo Brighton wasingeweza kuchomoa.Summer, team nyingi zitamrudia Caicedo.
Brighton wajiandae summer
la Epl, Timu ambayo tokea kuumbwa kwa ulimwengu haijawahi kubeba
la Uefa hata mara moja.
Wewe jamaa dah unazinguaHata dirisha hili lililofungwa jana laiti Chelsea wasingekua na uhakika wa kumpata Enzo na wakaamua wamsajili Caicedo Brighton wasingeweza kuchomoa.
Ile mechi yao ya mwisho hawakumchezesha kwa kuamini kuna uwezekano mkubwa wa kuuzwa kwenye timu inayojielewa, ila baada ya kuona timu inayomng'ang'ani sana ni middle team kama yao wakaona bora tu hiko kipaji wabaki nacho wenyewe kuliko kwenda kukipoteza kwenye timu ya one season wonder, timu ambayo ina zaidi ya miaka 20 haijawahi kubebala Epl, Timu ambayo tokea kuumbwa kwa ulimwengu haijawahi kubeba
la Uefa hata mara moja.
Wanaiona nafasi hata ya 7 , wanaweza kucheza conference leagueI doubt whether Brighton will make it into top six. Wanajifariji
Mimi kombe Bado sijawaza. Nyie mmempata Marcella Sabrina aje azibe pengo la Erica. Ametoka ligi ingine. Je akikawia kuzoea mazingira mapya na ligi mpya si mtatoka top 4 nyie.? Mshukuru Man City wamepoteza mchezaji la sivyo hizi mbio nyie mlikuwa mnaenda kiziagadaaahhh sio kwa kumshusha thamani huko dada Jorjinah.
Wenyewe kina OllaChuga Oc wanasema wamewapea hio silaha ya maangamizi ili iwasaidie walau mpate hilo kombe la Epl japo kwa huu msimu mmoja baada ya kulikosa hilo kombe kwa zaidi ya miongo miwili iliyopita.
Hakika bila ya huruma na hisani za namna hii kutoka kwa Chelsea na Man City hawa Arsenyani wanaweza kumaliza mpaka karne moja bila ya kubeba hilo kombe.
Kuna kiumbe pale kati kinaitwa sanitizer, yaani sasa hivi ni mwendo wa kunawisha mikono tu bila kula.Tuwaambie Ukweli manyua kuwa hatoki kwa Newcastle fainali Carabao au tuwaache Kwanza?
OyaaaaaHata dirisha hili lililofungwa jana laiti Chelsea wasingekua na uhakika wa kumpata Enzo na wakaamua wamsajili Caicedo Brighton wasingeweza kuchomoa.
Ile mechi yao ya mwisho hawakumchezesha kwa kuamini kuna uwezekano mkubwa wa kuuzwa kwenye timu inayojielewa, ila baada ya kuona timu inayomng'ang'ani sana ni middle team kama yao wakaona bora tu hiko kipaji wabaki nacho wenyewe kuliko kwenda kukipoteza kwenye timu ya one season wonder, timu ambayo ina zaidi ya miaka 20 haijawahi kubebala Epl, Timu ambayo tokea kuumbwa kwa ulimwengu haijawahi kubeba
la Uefa hata mara moja.




Brighton ni wagumu kwenye negotiation huwa wanajifanya hawana shida na wanauza watakapoamua.
Sasa Hivi hata Kama Partey hayupo Bado na uhakika na Point 3Watu wanaumia mno Arsenal kuongoza ligi, hasa Manyumbu & chelwowo, siku tukianguka utaona matusi yatatolewa humu, kama tulivyokosa nafasi ya UEFA last season! Utaambiwa "tulijua tu", infact wanafki wanajulikana, kujikuta wanatoa sifa kumbe wanabadilika na upepo yaani bendera.
Game zimebaki 19, kila mechi fainali, Jesus yupo mbioni kurudi, hata hatujamkumbuka, so lets pray tuwashut up.
Legend amfue huyu kijana, aje kaiva.Sambi ndani ya PalaceView attachment 2502780