Arsenal (The Gunners) | Special Thread



Utakuwa mmoja wao kati ya waliokimbia umande. You're absolutely poor at data interpretation. Mwanzo kabisa ulikuja na conclusion kwamba Arsenal defence ni better kuliko ManUnited. The obvious indicators for the best defence ni total number of the goals conceded, ambapo ManU wana 32 na Arsenal 36. Baada ya kuona umechemka umejaribu kupick only the away stats ili kutudanganya, lakini hauko smart kama unavyofikiri, stats ulizoweka ni kabla ya mechi ya leo, lakini baada ya mechi ya leo Arsenal na ManU wote wamefungwa magoli 23 away, lakini ManU ana rekodi nzuri nyumbani hivyo overall wana defence nzuri kuliko Arsenal....FACT....Unless kama unaweza kuchakachua FACTS kama ndugu zako wa ccm.
 
 
 
 
 
Naomba wenzangu ambao hamna 'makengeza' kama mm mcheki na then mje muweke apa hadharan lini mmekiona...unless otherwise nasimama kuwa ma right na Wacha1 umekosea.
 
 
Hapo kwenye nyekundu wacha UONGO hukusema away stats you simply said;


 
Queen Elizabeth is a self confessed Arsenal fan. Link -> dailymail.co.uk/news/article-450089/The-Queen-self-confessed-Arsenal-fan.html
 
Mabadiliko yanatakiwa yaanze kwa kumuondoa Wenger! Mafanikio aliyoyapata yanatosha! Sasa hiv kashaishiwa mbinu na anaonekana kuipeleka timu pabaya!
Arsenal inahitaji meneja mpya!

kweli tupu,wenger atimuliwe hanajipya.
 



Thanks God leo umejivua gamba na kujionyesha mwenyewe ni jinsi gani ulivyo mtupu! Anyway, I wish you tough luck for the rest of the season.
 
Queen Elizabeth is a self confessed Arsenal fan. Link -> dailymail.co.uk/news/article-450089/The-Queen-self-confessed-Arsenal-fan.html



Who cares?!! She is just another scrounger like most of them Arsenal fans!
 
Scezney alinaicha hoi alivyoamua kukaa ndani ya nyavu na kunywa maji...
 
Scezney alinaicha hoi alivyoamua kukaa ndani ya nyavu na kunywa maji...

Hahaha nimemuona usiku huu kwenye match of the day haha dogo alikuwa hana hata tatizo kabisa......
 
Alafu guys me sidhani kama kocha ana problem...Alafu nyinyi vigeu geu mbona mkifululiza kuongoza huwa hamsemi kocha afukuzwe??Mkianza ku droo na kupoteza basi kocha hana mpya aondolewe hahaha imekula kwenu hiyo wakuu.,...
 
WACHA1 niambie mkuu hope pasaka yako una ila vizuri kabisa haha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…