Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Initial assessment on Thomas Partey is positive after rib injury at Man City on Friday.

Was assessed on Saturday. Squad had day off on Sunday. Back in today and will be checked again.

Hopeful he can play at Everton.
 
Kuna pumba nyingine tunaziacha nyingine ,tunabid kuzijibu kuondoa uzushi na uongo.

KSE wameichukua Arsenal 100% mwaka 2018, wamemsapoti Arteta kila anapohitaji , huo UBAHILI unaousema wewe ungeulezea

Arsenal kaanza na £60m fixed had Sasa £70m ,wewe unaropoka unasema wabahili ,

Pamoja na hayo Arsenal chini ya Arteta ambaye ana nguvu kubwa kwenye Usajili inafanya usajili na kulipa pesa kwa kuthaminisha bidhaa

Mbona Nyie kwa Caicedo mmeishia £55m mkaachana nae ,mmerukia kwingine
Kwa sababu focus yetu ni Enzo Fernandez
Huyo tungemtaka tusingejadili hata bei. Sio kila bidhaa unajadili bei sokoni vinginevyo unajidhalilisha
Unaona Mudryk tulivyombeba,
Ninyi mnaenda kikonokono mno hadi mnanyang'anywa
Raha ya mpira bada ni kutambiana na kugambiana, mshindi daima hunenepa na hii sio lazima uwanjani hata nje ya uwanja
 
Hii issue ya Enzo na Benefica imekuwa ngumu aisee

Chelsea imetoa Eur mil 120 lakini sio kwa kulipa yote
mil 60 kwanza na iliyobaki kwa installments
Benefica wamekataa na wako tayari kumboreshea mchezaji mshahara na terms zingine ilingane na Chelsea walivyomuahidi

Enzo Fernandez told Benfica he wants to join Chelsea.
The latest €120 million offer matches the release clause but is paid in instalments.
Benfica say they will not sell and offer the midfielder new financial terms to match Chelsea's proposal.
 
Hii issue ya Enzo na Benefica imekuwa ngumu aisee

Chelsea imetoa Eur mil 120 lakini sio kwa kulipa yote
mil 60 kwanza na iliyobaki kwa installments
Benefica wamekataa na wako tayari kumboreshea mchezaji mshahara na terms zingine ilingane na Chelsea walivyomuahidi

Enzo Fernandez told Benfica he wants to join Chelsea.
The latest €120 million offer matches the release clause but is paid in instalments.
Benfica say they will not sell and offer the midfielder new financial terms to match Chelsea's proposal.
Ongezeni bana, tajiri miluzi yupo.
 
Hizi arsenal ndo kusema amna hela au nyie kila mchezaji ni kulialia nae tu yani timu kweli aina record yakumnunua mchezaji hata wa pound 90 hivi mpo serious kweli nyie.

Cha ajabu mnaumia eti man u tumepigwa kwa Antony kama nyie hamuwezi kutoa hela kuna watu wanatoa na maboss zenu wa endelee kufanya utani kesho dirisha la usajili linafungwa na unajua kuna wachezaji wanachezaga vizuri dirisha likifunguliwa ili wasiwekwe pembeni ngoja dirisha lifungwe mtafurahi.

Tuache utani kuwa na boss kama wa the blues raha sana yani vile mashibi ndo tunapendaga maana hela hatutoi sisi kazi ya boss ni kuwafurahisha mashabiki wake.
 
Hizi arsenal ndo kusema amna hela au nyie kila mchezaji ni kulialia nae tu yani timu kweli aina record yakumnunua mchezaji hata wa pound 90 hivi mpo serious kweli nyie.

Cha ajabu mnaumia eti man u tumepigwa kwa Antony kama nyie hamuwezi kutoa hela kuna watu wanatoa na maboss zenu wa endelee kufanya utani kesho dirisha la usajili linafungwa na unajua kuna wachezaji wanachezaga vizuri dirisha likifunguliwa ili wasiwekwe pembeni ngoja dirisha lifungwe mtafurahi.

Tuache utani kuwa na boss kama wa the blues raha sana yani vile mashibi ndo tunapendaga maana hela hatutoi sisi kazi ya boss ni kuwafurahisha mashabiki wake.
Katoeni nyie man u hiyo £80m

Sasa Kuna umuhimu gan wakusajili kwa Bei kubwa halafu wachezaji wenyewe kina Sancho au Anthony

Kwenye usajili kila Timu Ina Sera zake
 
Umesema ukweli ila tu nikwambie kwamba asilimia 60 ya michezo migumu arsenal imeshacheza na imepoteza mmoja tu.
Tumu zote ni ngumu ila huwezi kuwa bingwa uingereza bila kuwachakaza vigogo jambo ambalo arsenal wamefaulu kwa 60 % hivyo sina wasiwasi gemu na mancity tutapata ushindi pia mbele ya Pep.
Hakika Mungu ni mwema.
 
Real Sociedad are adamant Martin Zubimendi will stay this window. midfielder was linked with #AFC earlier this window. Gunners still hopeful of Moises Caicedo deal if Brighton can bring in a replacement. More to follow on @ArsenalFC_fl soon.
 
Real Sociedad are adamant Martin Zubimendi will stay this window. midfielder was linked with #AFC earlier this window. Gunners still hopeful of Moises Caicedo deal if Brighton can bring in a replacement. More to follow on @ArsenalFC_fl soon.
Hii kitu inaweza kwenda hadi dakika za mwisho tukashindwa kumsajili Caicedo na tukashindwa mpata kiungo mwingine tayari Zubimendi anaitaji kubaki hadi mwisho wa Msimu.
 
Back
Top Bottom