Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,047
- 3,322
Ndugu zangu inabidi tujiandae kisaikolojia kabisa, uyu Sambi tutakua nae hadi msimu uishe
hii kauli imeniuma sana...
hatuna namna...Ndugu zangu inabidi tujiandae kisaikolojia kabisa, uyu Sambi tutakua nae hadi msimu uishe
hii kauli imeniuma sana...
hatuna namna...Wakumbushe pia Lukaku,Sancho had Sasa ameleta furaha gani au Anthony je ?
Wakishindwa kwa Caicedo wataenda Everton kujaribu Onana.Real Sociedad are adamant Martin Zubimendi will stay this window.midfielder was linked with #AFC earlier this window. Gunners still hopeful of Moises Caicedo deal if Brighton can bring in a replacement. More to follow on @ArsenalFC_fl soon.
Ni kweli kabisa mkuu.USAJILI?
Yes its purely an art of mind roaming though a mysterious business triangle.the triangle is simply made of
-player involved in transfer
-origin team that own a player
-the destination team.
Its a game of patient under limitation and time bonds
Dizerb kocha wa BHA as master tactician kasha explore tectically and technically kuhusu position ya mchezaji wake ndani ya arsenal na wachezaji wengine walioko sokoni na akajihakikishia kwamba hatuna the very best plan B.Anajua kwa phylosophy ya arteta na mahitaji ya project yetu kwa hapa tulipo lazima tutafika bei. Na huyu muhuni anazingatia yafuatayo katika kutukazia
1-position yetu kwenye league.anajua we are adamant after 20yrs za ukame wa epl trophy hatuko tayar kuachia position yetu kwa changamoto ya ufinyu wa kikosi
2-tactical na technical qualities na uzoefu wa mchezaji wake hatuwezi kuupata kirahisi sokoni kwa option zilizoko.
3-Kosa la arsenal january ya 2022 la kutosajili lilivyoigharimu team nafasi UEFA
4-Presha ya wamiliki kwa technical staffs(edu na arteta).wamiliki wametoa almost everything na anaamini watakuwa wanawapa presha kwamba wachukue ubingwa.
5-The emergency of chelsea and Newcastle owners as insane spenders.Anaamini saga ya Mudrick imewaachia arsenal somo kubwa kwenye kuspend pesa na matokeo ya somo hilo yanaonekana kwa usajili wa trossard na jakub kiwior hivyo anaamini tutaaachia tu.
6-Anaamini caisedo anaweza akaongezeka thamani zaidi kutokana na position watakayomaliza nayo kwenye ligi.
My take.najua wengi wanalilia sana huyu dogo aje ila its totally a gamble and daylight robbery kwa €100.
Hahaaaa hatujasema tunataka kombe,ila likija hatuna ujasiri wa kulikataaa
Mkuu, hata hivyo kumbuka kuwa Caicedo ana umri wa miaka 21 na Partey ni 29.USAJILI?
Yes its purely an art of mind roaming though a mysterious business triangle.the triangle is simply made of
-player involved in transfer
-origin team that own a player
-the destination team.
Its a game of patient under limitation and time bonds
Dizerb kocha wa BHA as master tactician kasha explore tectically and technically kuhusu position ya mchezaji wake ndani ya arsenal na wachezaji wengine walioko sokoni na akajihakikishia kwamba hatuna the very best plan B.Anajua kwa phylosophy ya arteta na mahitaji ya project yetu kwa hapa tulipo lazima tutafika bei. Na huyu muhuni anazingatia yafuatayo katika kutukazia
1-position yetu kwenye league.anajua we are adamant after 20yrs za ukame wa epl trophy hatuko tayar kuachia position yetu kwa changamoto ya ufinyu wa kikosi
2-tactical na technical qualities na uzoefu wa mchezaji wake hatuwezi kuupata kirahisi sokoni kwa option zilizoko.
3-Kosa la arsenal january ya 2022 la kutosajili lilivyoigharimu team nafasi UEFA
4-Presha ya wamiliki kwa technical staffs(edu na arteta).wamiliki wametoa almost everything na anaamini watakuwa wanawapa presha kwamba wachukue ubingwa.
5-The emergency of chelsea and Newcastle owners as insane spenders.Anaamini saga ya Mudrick imewaachia arsenal somo kubwa kwenye kuspend pesa na matokeo ya somo hilo yanaonekana kwa usajili wa trossard na jakub kiwior hivyo anaamini tutaaachia tu.
6-Anaamini caisedo anaweza akaongezeka thamani zaidi kutokana na position watakayomaliza nayo kwenye ligi.
My take.najua wengi wanalilia sana huyu dogo aje ila its totally a gamble and daylight robbery kwa €100.
Hahaaaa hatujasema tunataka kombe,ila likija hatuna ujasiri wa kulikataaa
Dah naam kwanza hawa jamaa wanaona kama wanaweza jenga timu kumzunguka jamaa na wakaingia europa which is very likely wakikazaNi kweli kabisa mkuu.
My take, kwa siku hizi 2 zilizobaki kabla ya dirisha kufungwa tuangalie other options kuliko kuendelea kumng'ang'ania mchezaji ambae timu yake haitaki kuuza au wanataka tuwa-overpay.
Nimeona Sky Sports wametoa taarifa kuwa BHA wameshamwambia Caicedo arudi mazoezini jumatano kwa ajili ya mechi ya weekend hii.
Mi nahisi jamaa wanataka tu act crazy tutoe zaidi, maybe 80 au more. Kitu ambacho naona ni uchizi uchizi.
I believe Caicedo is soo soo good na anaweza kutusaidia kuchukua ndoo msimu huu but we better move on, huyu mchezaji hanunuliki dirisha hili.
Ila ni ngumu sana wataliano kuwenda pale UK kucheza ligi ni waoga sana wa baridi.Chiesa Top priority Summer
Hizi biashara wanaweza Chelsea si Arsenal.Ni kweli kabisa mkuu.
My take, kwa siku hizi 2 zilizobaki kabla ya dirisha kufungwa tuangalie other options kuliko kuendelea kumng'ang'ania mchezaji ambae timu yake haitaki kuuza au wanataka tuwa-overpay.
Nimeona Sky Sports wametoa taarifa kuwa BHA wameshamwambia Caicedo arudi mazoezini jumatano kwa ajili ya mechi ya weekend hii.
Mi nahisi jamaa wanataka tu act crazy tutoe zaidi, maybe 80 au more. Kitu ambacho naona ni uchizi uchizi.
I believe Caicedo is soo soo good na anaweza kutusaidia kuchukua ndoo msimu huu but we better move on, huyu mchezaji hanunuliki dirisha hili.
Watu wengi hamfahamu uzuri jinsi Chelsea wanavyosajili wachezaji wao.Hizi biashara wanaweza Chelsea si Arsenal.
Unakumbuka nilikuambia kuhusu chiesa, kuwa anajua Sana .Chiesa Top priority Summer
Hizi mechi walitupa furaha kweli kweliSancho had Sasa ameleta furaha gani au Anthony je ?

Safi sana bwana RichardWatu wengi hamfahamu uzuri jinsi Chelsea wanavyosajili wachezaji wao.
Chelsea wanasajili wachezaji kwa mikataba mirefu ambayo yaendana na fedha walosema wamemsajili mchezaji husika.
Fuatilineni mikataba ya wachezaji ambao Chelsea imewasajili hivi karibuni ni miaka kuanzia mitano na kuendelea na pesa hiyo itakuwa iikilipwa kwa awamu.
Hata hili dili la huyo Fernandez litakuwa ni la muda mrefu.
UEFA wanajaribu kuziba loophole ya timu kama Chelsea kuzunguka FFP Financial Fair Play Rule kutumia fedha za ziada kutoka kusikojulikana.
Pili, msisahau mawakala ambao nao hupiga asilimia hadi 15 ya hizo fedha hivyo haya masuala huitaji kufuatilia kwa makini ili kuelewa.
Kwa kiswahili husemwa "cha juu" kwamba hizo ada nyingi hutawaliwa na kile "cha juu" na ada halisi huwa ni ndogo.
Huyu jamaa mimi namchukia sana, sijui kama kuna shabiki wa Arsenal anampenda huyu Garry Neville? Kam yupo huyo sio shabiki wa kweli wa Arsenal. Jamaa kwanza anatoa pumba bila kufikiri
Anachambua soka bila kufanya research. Sasa kuna shabiki wa Arsenal amecompile mahubiri yake na kuyaweka pamoja yalivyo na utata. Fuatilia
Nakumbuka ,chiesa anajulikana anajua ,sema Yale majeruhi ya ACL yamemrudisha nyuma sanaUnakumbuka nilikuambia kuhusu chiesa, kuwa anajua Sana .
Mkuu Aaron, Kuna huyu Kaoru Mitoma wa Brighton hatufai pale Emirates? Maana naona kama yuko brilliantKatoeni nyie man u hiyo £80m
Sasa Kuna umuhimu gan wakusajili kwa Bei kubwa halafu wachezaji wenyewe kina Sancho au Anthony
Kwenye usajili kila Timu Ina Sera zake
Mechi 1 Kati ya 10?
Tayari tumeshamchukua Trossard Upande wa LW hatuna tatizo tenaMkuu Aaron, Kuna huyu Kaoru Mitoma wa Brighton hatufai pale Emirates? Maana naona kama yuko brilliant