Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Baada tu ya kusikia kuwa Chelsea na Benefica wamefikia makubaliano ya uuzwaji wa Enzo kwenda Chelsea kwa Euro mil 130, cheki mashabiki wa Arsenal na Man u wanavyoteseka

Mzee mbona unatuonea Arsenal, yaan tuteseke kwa usajili wa Enzo? Si kila klabu ina target zake na Malengo yake

Mimi najua Enzo alikuwa kwenye Rada za Liverpool
 
Kwa nini umchukie ?? na hiyo ni kazi kama kazi nyingine na hayo ni maoni yake binafsi anachokifanya kimefanikiwa maana ana watu wa kumjibu kwa hiyo hata wewe unampa publicity.
Hajafanikiwa mkuu, ukitoa mafanikio ya kujipatia Ridhki Kwa njia halali hakuna tena mafanikio zaidi ya kuambulia dharau, maana sio mashabiki wa team zingine tu ndio huchukizwa na Neville bali ata wa man Utd kwa sababu jamaa hachambui bali anakuwa CHAWA

Kuongelewa vibaya haijawahi kuwa mafanikio na haitokuja kuwa, Garry hajui kuchambua mpira na hataki kujifunza, ni mtu kwenye wivu na ushabiki maandazi kama vile shabiki wa Simba na Yanga

Hizo kazi za uchambuzi wanazifanya wachezaji wengi wastaafu na bado wanaongea sense na sio ushabiki, wapo kina Roy Keane, Wright, Barbatov,callagher na wengine wengi ambao wakiwa wanachambua mpira wanakuwa very honest

Garry yeye kila siku hakuna team inayocheza vizuri kama man Utd au zaidi ya man Utd, ,utaskia mara Arsenal wameshinda tu ila wamezidiwa sana, Wana bahati sana ila watamaliza nyuma ya man Utd

Jamaa alipata tu bahati ya kucheza mpira ila kichwani kuhusu mpira ni mweupe sana, ye kazi yake ni kukosoa tu makocha na kuhimiza wafukuzwe ni kama vile alivomkalia kooni Potter na Klop

Yeye ukocha ulimshinda mapema sana alipoenda Spain kaishia kushinda game 3 Tu katika game 16 na akatimuliwa, na wenye timu zao wakiskliza uchambuzi wake wa kijinga ndomana hakuna offer yoyote aliyopata ya kufundisha hadi leo

Neville Kwa kibongo bongo ni kama Jorge Job tu wa Wasafi FM, kikubwa anapata Ridhki basi, ila mambo ya kuchambua mpira ni wazi kuwa hajui na hawezi at least kwenye ngumi huko ndio waga anaeleweka, ila achambue mpira unabaki unashangaa tu huyu jamaa alipataje kazi ya uchambuzi ndo alivo Neville sasa
 
Safi sana bwana Richard
Umegundua pia Chelsea namna wanavyokwepa FFP , hiyo sheria ya mikataba inapitiwa pengine ikaanza kufanya kazi kwenye msimu 2022-23.

Ukweli bado sijajua project yenu ilivyo ila nimeangalia tu uwekezaji wa Todd Boehly kwenye team moja ya NFL naona inafanya vizuri.
Hiyo sheria inaanza kufanya kazi msim wa 2023-24

Deal zote zilizofanyika sasa hazitoathiriwa na mabadiliko yatakayofanywa na UEFA
 
Watu wengi hamfahamu uzuri jinsi Chelsea wanavyosajili wachezaji wao.

Chelsea wanasajili wachezaji kwa mikataba mirefu ambayo yaendana na fedha walosema wamemsajili mchezaji husika.

Fuatilineni mikataba ya wachezaji ambao Chelsea imewasajili hivi karibuni ni miaka kuanzia mitano na kuendelea na pesa hiyo itakuwa iikilipwa kwa awamu.

Hata hili dili la huyo Fernandez litakuwa ni la muda mrefu.

UEFA wanajaribu kuziba loophole ya timu kama Chelsea kuzunguka FFP Financial Fair Play Rule kutumia fedha za ziada kutoka kusikojulikana.

Pili, msisahau mawakala ambao nao hupiga asilimia hadi 15 ya hizo fedha hivyo haya masuala huitaji kufuatilia kwa makini ili kuelewa.

Kwa kiswahili husemwa "cha juu" kwamba hizo ada nyingi hutawaliwa na kile "cha juu" na ada halisi huwa ni ndogo.
Ujanja Chelsea waliotumia ni mbili
1) Kulipa kwa installment ili kukwepa overhead isiwe juu ikiwa ni pampoja na kodi na pia kukwepa FFP rules isiwabane. Mfano Enzo wamekubali kulipa Eur mil 130 badala ya 120M ili wawalipe mara moja Mil 60 mna mil 70 inalipwa ndani ya miaka mitano. Kwa hiyo pesa itakayoingizwa kwenye account sheet ni Mil 60 tu
2) pili wachezaji wanapewa mikataba ya muda mrefu. Mfano huyo huyo Enzo anaweza kupewa mkataba wa miaka 8. Ukichukua hiyo Mil 60 ukagawia kwenye miaka 8 unaweza kukuta ni mil 7+ tu ndio inaingizwa kwenye mahesabu ya mwaka huu. Kwa kufanya hivyo unaweza hata kusajili wachezaji 30 kwa msimu mmoja na bado usikiuke FFP rules.

Sasa UEFA wanachtarajia kufanyia marekebishao msimu ujao kwa kulazimisha mchezaji mkataba wake uwe mwisho miaka mitano. Wakati huo sisi Chelsea tumeshakwepa huo mtego.
Naamini pia wataweka vizuizi vingi msimu ujao kwa hii hii zase study ya usajili waliofanya akina Boehly
 
Arsenal among clubs exploring possibility of signing Jorginho from Chelsea. Italy midfielder’s contract up in summer + #CFC open to exit (may depend on Enzo Fernandez). 31yo one of options #AFC have expressed interest for. W/ @gunnerblog @TheAthleticFC
 
Tunahusishwa na Gorginho wa Chelsea kama Brighton wataendelea na msimamo wao

Arteta hataki Round ya 2 kwenda na Partey pekee , maana Albert Lokonga hatoshi na wao wanamuona kama no.8 sio 6

Automatically tunabaki na Natural DM mmoja

Brighton wanasema Caicedo HAUZWI kwa vyovyote
 
Arsenal approach Chelsea for Jorginho! It’s now an option in case Caicedo deal won’t go through with Brighton still reluctant to sell #AFC

Chelsea, open to sell Jorginho but will ask for important fee to let him leave 6 months before end of contract #CFC
 
Tunahusishwa na Gorginho wa Chelsea kama Brighton wataendelea na msimamo wao

Arteta hataki Round ya 2 kwenda na Partey pekee , maana Albert Lokonga hatoshi na wao wanamuona kama no.8 sio 6

Automatically tunabaki na Natural DM mmoja

Brighton wanasema Cicedo HAUZWI kwa vyovyote
Hii issue ya Jorginho inaniuma kwa kweli staki aende kwenu yani ni bora tumuache mkataba wake umalizike aende hata huko italia ila sio kwenda kwenu

Jorginho ni kiungo wetu pekee ambae mda wote yuko fit ni mara chache sana akawa majeruhi

Jorginho chini ya Arteta atakuwa mzuri zaidi na jinsi mnavyocheza.
 
Hii issue ya Jorginho inaniuma kwa kweli staki aende kwenu yani ni bora tumuache mkataba wake umalizike aende hata huko italia ila sio kwenda kwenu

Jorginho ni kiungo wetu pekee ambae mda wote yuko fit ni mara chache sana akawa majeruhi

Jorginho chini ya Arteta atakuwa mzuri zaidi na jinsi mnavyocheza.
Since kitambo Arteta na Pep wamekuwa wakimuhitaji sana

Kama unakumbuka alitakiwa awe kwa Pep

Kuna fans wapo tayari tubaki na lokonga halafu tugombee EPL na Europa

Caicedo wamekaza kumuachia
 
News
Screenshot_20230130-221352~2.jpg
 
Tunahusishwa na Gorginho wa Chelsea kama Brighton wataendelea na msimamo wao

Arteta hataki Round ya 2 kwenda na Partey pekee , maana Albert Lokonga hatoshi na wao wanamuona kama no.8 sio 6

Automatically tunabaki na Natural DM mmoja

Brighton wanasema Caicedo HAUZWI kwa vyovyote
Hii habari ya Gorginho, ni alarm kua kuna ofa ya mwisho itapelekwa brighton kama wasipokubali wanaachana na mpango wa kumsajili Caicedo kwaiyo Arsenal wameweka mtego wa azalani kwa Brighton.
 
Ila hii timu hii, hivi ndo kuishiwa options au ni nini? Jorginho?
Mkuu hizi ni short term plan...! Arteta anaangalia kila uwezekano wa kuendelea kubakia katika mbio za ubingwa, kwahiyo kwenye shida anajaribu kuziba kwa wakati

Ndio alichokifata kwa Trossard baada ya kumkosa janjaro aliekimbilia Chelsea, na sasa baada ya kuhisi kumkosa Moises ameona bora aangalie mchezaji ambae atakuja kuleta impact ya moja kwa moja kwenye timu

Mimi kama Arsenal fan nitafurahi tukimpata jamaa maana ataongeza kitu katika first eleven kama atapata namba na pia ataleta hali ya kujiamini kama ilivo kwa Zinny na Jesus maana jamaa ni winner

Kama atakuja nahisi atapewa mkataba wa miaka 2 maana najua hawezi kukubali mwaka mmoja, lakini pia kwa mkataba wa miaka miwili inakuwa ni nzuri zaidi kwake lakini pia kwa team
 
A
Tunahusishwa na Gorginho wa Chelsea kama Brighton wataendelea na msimamo wao

Arteta hataki Round ya 2 kwenda na Partey pekee , maana Albert Lokonga hatoshi na wao wanamuona kama no.8 sio 6

Automatically tunabaki na Natural DM mmoja

Brighton wanasema Caicedo HAUZWI kwa vyovyote
Aje Kwa muda mfupi sana isiwe Yale ya Willian. Pia asipewe penati. Jamaa anaboa sana anavyoruka ruka kama kitoto Cha chekechea akipiga penati. Akiwa jorginho yule wa mwanzoni mwenye line breaking passes kama za Fabregas itakuwa poa sana.
 
Back
Top Bottom