Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Moises Caicedo vs. Arsenal’s midfielders in the Premier League this season:

- Tackles + Interceptions: CAICEDO (78), Partey (55), Saka (32)

- Progressive Passes: Partey (85), CAICEDO (80), Odegaard (80)

- Through balls: Odegaard (13), CAICEDO (7), Partey (4)

 
Moises Caicedo vs. Arsenal’s midfielders in the Premier League this season:

- Tackles + Interceptions: CAICEDO (78), Partey (55), Saka (32)

- Progressive Passes: Partey (85), CAICEDO (80), Odegaard (80)

- Through balls: Odegaard (13), CAICEDO (7), Partey (4)

Toad Bully akiona hizi stats Mzee....
 
Leo Arteta aweke full mkoko aisee, japo tutegemee baadhi ya changes 3 mpaka 4.

Possible XI:
Turner; Gabriel, Saliba, Tierney, Tomiyasu; Partey, Xhaka, Ødegaard; Saka, Martinelli, Nketiah.

Nitapenda sana akianza Zinchenko but we can't risk him coz tuna mechi 19 za EPL zinatusubiri. Vile vile Ødegaard angepumzishwa but Fabio Vieira can't deliver what Ødegaard can.
Pia nitapenda sana kumuona Trossard akianza coz he is a finished article.. he doesn't need more time ku cope though Martinelli atawasumbua vizuri tu.
Jakub Kiwior akipata some minutes itapendeza sana.

Mwisho kabisa tupo tayari kwa kikosi chochote atakachopanga Mikel.

Good luck tonight gunners!
 
Leo Arteta aweke full mkoko aisee, japo tutegemee baadhi ya changes 3 mpaka 4.

Possible XI:
Turner; Gabriel, Saliba, Tierney, Tomiyasu; Partey, Xhaka, Ødegaard; Saka, Martinelli, Nketiah.

Nitapenda sana akianza Zinchenko but we can't risk him coz tuna mechi 19 za EPL zinatusubiri. Vile vile Ødegaard angepumzishwa but Fabio Vieira can't deliver what Ødegaard can.
Pia nitapenda sana kumuona Trossard akianza coz he is a finished article.. he doesn't need more time ku cope though Martinelli atawasumbua vizuri tu.
Jakub Kiwior akipata some minutes itapendeza sana.

Mwisho kabisa tupo tayari kwa kikosi chochote atakachopanga Mikel.

Good luck tonight gunners!
Trossard anaanza

Ila ningependa kumuona Fabio vieira huyu jamaa Ni fundi Sana ,

Sehemu ya kupiga atapiga ,mechi ya mwisho FA cup alitoa assist 2
 
Trossard anaanza

Ila ningependa kumuona Fabio vieira huyu jamaa Ni fundi Sana ,

Sehemu ya kupiga atapiga ,mechi ya mwisho FA cup alitoa assist 2
Huyu Fabio Vieira huwa ananikumbusha enzi za Robert Pires ni mchezaji ninayesubiria kuona akifanya vitu vikubwa saana.

Aaron Arsenal huu mchezo wa leo unautazimia vipi hasa kwenye mbinu kwa makocha wote wawili ? Na ni taswira halisi kwenye mbio za ubingwa ??
 
MAONI YANGU

Sijui Mimi au na wenzangu mmegundua kuhusu utofauti wa uchezaji wa Nketiah na Jesus

Nikianza na Eddie nketiah ni namba Tisa mzuri sana pale inapokuja ishu ya ufungaji Ila kwenye suala la kumiliki mpira na kusumbuana na mabeki hicho kitu huyu mzee baba anacho Ila ni cha kawaida sana

Ukija kwa Gabriel Jesus huyu mwamba ukitaka mpira utulie mguuni na ufichwe na beki zisicheze kwa kutulia basi hiyo kazi kwake ataifanya kwa uhakika zaidi Ila kwenye suala kujiweka kwenye nafasi hicho kitu kwake amezidiwa na Eddie nketiah

Na pia Eddie nketiah kwenye mikimbio na kukokota mpira na zile papatu za mabeki binafsi napenda aina ya namba Tisa zinazojua goli na pia zenye uwezo wa kusumbua na kuzinyanyasa beki

Mfano wa namba Tisa kama Aguero Benzema Suarez Van persie au Lewandowski Ila dunia ya Leo ilipo wapo wachache sana ambao wanasifa kama hawa

Kuna muda natamani Eddie au Jesus wachanganye mwili uwe mwili mmoja hakika tungekuwa na namba Tisa yenye kila kitu

#COYG#
#ONCEAGUNNERALWAYSAGUNNER#
FB_IMG_1674840958416.jpg
 
Huyu Fabio Vieira huwa ananikumbusha enzi za Robert Pires ni mchezaji ninayesubiria kuona akifanya vitu vikubwa saana.

Aaron Arsenal huu mchezo wa leo unautazimia vipi hasa kwenye mbinu kwa makocha wote wawili ? Na ni taswira halisi kwenye mbio za ubingwa ??
Mech Kama hizi inategemea na lineup atakayokuja nayo kocha , kabla ya lineup inakuwa ngumu ku predict tofaut na mechi za ligi ,Hata ukiniamsha saa 8 usiku, lineup yetu inajulikana
 
EXCLUSIVE:


Gabriel Martinelli has agreed a new 4.5yr contract at Arsenal. Previous terms ran to 2024 & #AFC had 2yr option. Fresh deal in process of being finalised for 21yo Brazil attacker to extend at Emirates Stadium until summer 2027


@TheAthleticFC
 
MAONI YANGU

Sijui Mimi au na wenzangu mmegundua kuhusu utofauti wa uchezaji wa Nketiah na Jesus

Nikianza na Eddie nketiah ni namba Tisa mzuri sana pale inapokuja ishu ya ufungaji Ila kwenye suala la kumiliki mpira na kusumbuana na mabeki hicho kitu huyu mzee baba anacho Ila ni cha kawaida sana

Ukija kwa Gabriel Jesus huyu mwamba ukitaka mpira utulie mguuni na ufichwe na beki zisicheze kwa kutulia basi hiyo kazi kwake ataifanya kwa uhakika zaidi Ila kwenye suala kujiweka kwenye nafasi hicho kitu kwake amezidiwa na Eddie nketiah

Na pia Eddie nketiah kwenye mikimbio na kukokota mpira na zile papatu za mabeki binafsi napenda aina ya namba Tisa zinazojua goli na pia zenye uwezo wa kusumbua na kuzinyanyasa beki

Mfano wa namba Tisa kama Aguero Benzema Suarez Van persie au Lewandowski Ila dunia ya Leo ilipo wapo wachache sana ambao wanasifa kama hawa

Kuna muda natamani Eddie au Jesus wachanganye mwili uwe mwili mmoja hakika tungekuwa na namba Tisa yenye kila kitu

#COYG#
#ONCEAGUNNERALWAYSAGUNNER#View attachment 2497586
Pia na maono yangu Kutokuwepo kwa jesus ni kama kumeadhiri kidogo kiwango cha Martinell kwa sababu Jesus na Martinell zile mambo za kubadilishana nafasi wakiwa uwanjani saiv hatuzioni tena kwa Martinell,
 
Pia na maono yangu Kutokuwepo kwa jesus ni kama kumeadhiri kidogo kiwango cha Martinell kwa sababu Jesus na Martinell zile mambo za kubadilishana nafasi wakiwa uwanjani saiv hatuzioni tena kwa Martinell,
Wewe jamaa una akili Sana, binafsi nilikuwa sijagundua kipi kimefanya martinelli apungue , nimeshindwa kupata jibu ,leo ndio nimepata jibu Exactly

Jesus huwa akienda pembeni anakuwa Pure winger mwenye skills na kila Kitu tofauti na Nketiah akija pemben atapoza movement

Jesus huwa akienda pemben ,Martinel atakuja Kati Kama CF, atapiga goals au kupata space .

Sasa Hivi anakuwa limited Sana ,
 
Back
Top Bottom