Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa bei hizo naona ni starter au akae bench kidogo Ili Partey apaumzike dk ya 75. Ndo maana nikasema atacheza number ya Partey kama ataweza kujifunza kuwa press resistant huku Partey na Xhaka wakipokezana ile number 8 moja anayocheza Xhaka, huku Ode na Fabio wakipokezana ile 8 ya pili
Hapana Caicedo ana miaka 21 , huyu anakuwa backup ya Partey au mech nyingine anacheza Caicedo ,huu Ni uwekezaji wa miaka 10
 
Kwa bei hizo naona ni starter au akae bench kidogo Ili Partey apaumzike dk ya 75. Ndo maana nikasema atacheza number ya Partey kama ataweza kujifunza kuwa press resistant huku Partey na Xhaka wakipokezana ile number 8 moja anayocheza Xhaka, huku Ode na Fabio wakipokezana ile 8 ya pili
Hapo sawa ,pia naona Arteta anataka kuweka nguvu pia kwenye Europa ,
 
Arsenal Wana target mbili Za Eneo la DM

Wakimkosa Caicedo ,sababu Brighton wanazidi kukaza HAUZWI

Option ya 2 Ni Zubimendi ,ana release clause ya €60m sawa na £52m ,

Hii una trigger muda wowote kabla dirisha halijafungwa

Zubimendi amekuwa akifananishwa kila Kitu uchezaji wake na Sergio Bosquet. ..
 
Nimeona ,ila tutapush Tena ,Caicedo alibadili wakala Juzi, na huyo wakala ndio kawatonya Arsenal uwezekano wa kumpata Caicedo January hi

Subiri ofa ya 2

Sam Dean Juzi alisema Arsenal Sasa wapo tayari kwenda Toe to Toe na Chelsea kwenye hili dili
Brighton wanajiandaa kuvuna pesa zingine either from Chelsea or Arsenal.

Sema scout ya BHA

Msimu ujao yule Mitoma watu wataanza kumgeukia
 
HIZI DHARAU SASA. ,BORA WALIVYOITUPILIA MBALI

AS Monaco have had an €8m proposal for midfielder Albert Sambi Lokonga REJECTED by Arsenal.

[@Santi_J_FM] #afc
 
NIMERUDI KWA KISHINDO
Screenshot_20230127-172430.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Arsenal are in the market for a midfielder this month. It’s understood that Caicedo would be keen on a move to Emirates Stadium |


@ChrisWheatley_
 
Back
Top Bottom