HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Kwa bei hizo naona ni starter au akae bench kidogo Ili Partey apaumzike dk ya 75. Ndo maana nikasema atacheza number ya Partey kama ataweza kujifunza kuwa press resistant huku Partey na Xhaka wakipokezana ile number 8 moja anayocheza Xhaka, huku Ode na Fabio wakipokezana ile 8 ya pili
Hapana Caicedo ana miaka 21 , huyu anakuwa backup ya Partey au mech nyingine anacheza Caicedo ,huu Ni uwekezaji wa miaka 10

AS Monaco have had an €8m proposal for midfielder Albert Sambi Lokonga REJECTED by Arsenal.