Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,500
- 2,225
Hata Leicester hawakuwa na kikosi kipaana kiivyo.Hizi ninaona ni blah blah tu, liverpool ilibeba epl na ucl ikiwa na kikosi kimoja.
Hata Leicester hawakuwa na kikosi kipaana kiivyo.Hizi ninaona ni blah blah tu, liverpool ilibeba epl na ucl ikiwa na kikosi kimoja.
Kazi ya shabiki ni kushangilia na kukosoa sio kujitia wewe ni mtaalam wa ufundi wa benchi la arsenal..Sasa hivi kuna baadhi ya mashabiki wa Arsenal humu ndani mmeanza kua matured na kuanza kujielewa, tatizo kuna mashabiki wengi humu hua hawapendi kabisa kusikia jambo lolote negative kuhusu wachezaji, kocha na timu yote kwa ujumla.
Wao muda wote wanataka kusikia mambo matamu tu na shabiki anaejielewa akijaribu kuzungumza kuhusu uhalisia wa mambo anaanza kushambuliwa kwa matusi, kebehi na kejeli na kuonekana ni mamluki.
Ukienda kwenye majukwaa ya Chelsea, Man United na Liverpool unaona jinsi mashabiki wake walivyo huru kukosoa iwe ni mchezaji, kocha au timu kwa ujumla pasi na kushambuliwa na mashabiki wenzake.
![]()
Huku mashabiki wa Arsenyani focus yao ni: -
Arsenal Ndoo
Haaland kiatu
Aaron Arsenal mpe basi japo pole ndugu yako allypipi maana ule mpira mliopiga kuanzia dakika ya 70 ilikua ni utatoa hutoi mpaka tukaamua kutoa ki roho safi tu.
Hii chini ni selfie aliyojipiga ndugu yangu allypipi baada ya dakika 90.View attachment 2492409





Hi ndio point ya msingiNaona kuna baadhi ya mashabiki wanatumia muda mwingi kujitia wasiwasi kuhusu city mara April mara kikosi kipana..
Inabidi tuelewe huu ni mpira na kila kitu kinawezekana iwe kupoteza ama kushinda tunachopaswa sisi kama mashabiki na wapenzi wa arsenal ni kufurahi timu yetu kadili inavyopata matokeo haiwezekani muda huu wa furaha tujitie simanzi ambazo hazipo..
NB: kwakuwa city hana kibali cha kushinda mechi zote za ligi, Arsenal inaweza ikapoteza mechi zote vs city na bado ikawa bingwa



Arsenal and Borussia Dortmund have both agreed terms for Ivan Fresneda, a fee of €15million ($16.2m; £13.1m), with Fresneda to be loaned back to the Spanish side for the rest of this season.Na wewe ulikuwa miongoni mwa watu ambao tulikuwa hatumuamini Nketia. Japo sina kumbu kumbu vzr ila nadhani ni Will Jr ndo alikuwa analeta tactical strengths zake, na wengi wetu tulianza angalau kuweka imani baada Lacazette na Auba kuzingua mwishoni mwa msimu jana.Nilisema humu ,Ni finisher mzuri,
Chini ya wale watu 10 ,atafanya vzr tu,
Tatizo Eddie amecheza Sana Cups ,ligi alipata nafasi mechi 8 msimu uliopita mechi za mwishon akafunga goli 5, Lakini watu baaadhi hawakumuamini
Nketiah Ni finisher mzuri kuliko hata Jesus ,ila tu in terms of full package kazidiwa na Jesus.,maana Jesus Hadi leadership uwanjan na nje ya uwanja yupo vizuri , kwasasa kaumia Lakini anashinda dressing room anahamasisha.
Nketiah Ni finisher mzuri pia kuliko hata Darwin Nunez ,
Ni vile sababu hatujamnunua Ni mtoto wa academy
Inakera mtu akiwa hatumii logic halafu anajiona yupo sahihi


Ni wewe ndiye unaona hatumii logic kwa kuwa una uelewa zaida yake ila yeye anajiona yuko logically. Usikereke nae, nenda nae kadri ya kiwango chake kisha atakuwa boraChampions wanacheza hivi, ukishindwa kumfunga mshindani wako utapataje ubingwa!
Mbele ya Jesus Bado ataanza Jesus ,Mimi namkubali in term of finishing,Na wewe ulikuwa miongoni mwa watu ambao tulikuwa hatumuamini Nketia. Japo sina kumbu kumbu vzr ila nadhani ni Will Jr ndo alikuwa analeta tactical strengths zake, na wengi wetu tulianza angalau kuweka imani baada Lacazette na Auba kuzingua mwishoni mwa msimu jana.
Zaidi ni kwamba wakati anapewa na mkataba mpya na kupewa jezi namba 14 bado wengi hatukuwa na imani na tuliona kuwa hakustahili kupewa hiyo jezi. Na kuna mtu alisema kabisa kwamba labda arteta kuna kitu cha ziada anakiona ila kwa yeye haoni faida yoyote kwa Nketia
Suala sio negative bali negativity zenye fact. Mfano unakuta mtu anakwambia kuwa Arsenal haiwezi kuchukua ubingwa kwa kuwa bado wana makosa mengi ila ukimuliza makosa yapi hasemi...Sasa hivi kuna baadhi ya mashabiki wa Arsenal humu ndani mmeanza kua matured na kuanza kujielewa, tatizo kuna mashabiki wengi humu hua hawapendi kabisa kusikia jambo lolote negative kuhusu wachezaji, kocha na timu yote kwa ujumla.
Wao muda wote wanataka kusikia mambo matamu tu na shabiki anaejielewa akijaribu kuzungumza kuhusu uhalisia wa mambo anaanza kushambuliwa kwa matusi, kebehi na kejeli na kuonekana ni mamluki.
Ukienda kwenye majukwaa ya Chelsea, Man United na Liverpool unaona jinsi mashabiki wake walivyo huru kukosoa iwe ni mchezaji, kocha au timu kwa ujumla pasi na kushambuliwa na mashabiki wenzake.
Wapuuzie, usiumize kichwa kakaInakera mtu akiwa hatumii logic halafu anajiona yupo sahihi
Mkuu uwezi amini nilikuwa naombea arsenal ashinde nipate hela mimi sina utani kwenye betting![]()
Huku mashabiki wa Arsenyani focus yao ni: -
Arsenal Ndoo
Haaland kiatu
Aaron Arsenal mpe basi japo pole ndugu yako allypipi maana ule mpira mliopiga kuanzia dakika ya 70 ilikua ni utatoa hutoi mpaka tukaamua kutoa ki roho safi tu.
Hii chini ni selfie aliyojipiga ndugu yangu allypipi baada ya dakika 90.View attachment 2492409

Sio mbaya mkuu acha nijipoze na hii jezi leo.
Alikataa Partey kusajiliwa Kabla ya AM, lakin kumbuka alimtaka Aouar ,tukamwambia Odegaard Ni AM akabisha,Sana, na Arteta aliwatumia Rowe na odegad Kama AM , je tulinunua AM gan ,mana Huyo Castri alidai Odegaard Ni winger .Suala sio negative bali negativity zenye fact. Mfano unakuta mtu anakwambia kuwa Arsenal haiwezi kuchukua ubingwa kwa kuwa bado wana makosa mengi ila ukimuliza makosa yapi hasemi...
Mwingine anaamua kukosoa kwa sababu ya mapenzi yake na mchezaji fulan ambae hapewi nafasi ila akiulizwa zipi sababu za msingi hana cha kusema...
Sasa watu kama hao kwanini wasijibiwe kadri ya negativity zao!!!???
Nakukumbusha kitu, msimu juzi wakati ananunuliwa Partey Castr alisema hakukuwa na haja ya kununua DM kwanza badala yake tungeanza na AM au basi ingekuwa bora kama wangenunuliwa wote. Km unakumbuka ilikuwa ni battle ya facts humu ndani lkn mwisho wa siku kuna mtu alidiliki kusema ina maana castr ana jicho la kuona mapungufu ya Arsenal kuliko Arteta!!!??? Maana kwa kipindi hicho mambo mengi aliyokuwa anayasema castr hapa ndo yalikuwa yanatokea
Hongera mkuuMkuu uwezi amini nilikuwa naombea arsenal ashinde nipate hela mimi sina utani kwenye bettingView attachment 2492569