Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna kitu watu mnajisahau mnapodai City haiwezi kuizuia Arsenal.

City alikua anaongozwa 2 dhidi ya timu inayopenda kupaki basi na ikayabinua matokeo mpaka kua 4 kwa 2. Imepunguza gape la points vizuri tu.

Ina wachezaji wako exposed kwenye hizi pressure for years. Ina options zaidi ya 1 kwa kila nafasi isipokua kipa (sisi tuna hii quality?).

Arsenal tupo FA (tutakutana nao huko), tupo Europa na tuna hii presha ya ligi. Tuna kikosi cha kutuwakilisha kote huko na tukapata same output? Jibu ni hapana.

Tulicheza na Brighton baada ya siku 3 tukacheza na Newcastle na unaona kabisa kwamba kikosi kina fatique. Its allowed to dream but we should not overstep tukasahau angalia vitu vya msingi
Ukweli mchungu, City ndio timu ya kuifunga kwa sasa. Experience ya city ni second to none, uwezo wa mchezaji mmoja mmoja ni next level, squad depth kwa kila position ni nzuri. Tuwe wakweli, tunahitaji kuifunga City ili tuonyeshe uwezo wetu na dhamira ya kuchukua epl.
 
Hongereni Gunners,,,,

Msimu huu wakuwazuia alikuwa aidha sisi ama city, sio mbaya tumegawana hizo alama sita! Kazi kwenu mpambane na citizens!

Saka, Yuko vzr Sana yule chalii, bad luck timu ya taifa hapati minutes za kutosha !

Zinchenko mtu pia,,,,

Kipa wenu ana mawenge mawenge,,,,

White Jana ulimi nje, rashy alimuendesha awezavyo, na ile yellow kocha akaona Bora amtoe ,,,

Martineli , bado aisee hakuwa threat kiivo, !

Partey pia hakuwa na game nzuri Jana,,,, goli letu la Kwanza lilianzia kwake, tungekuwa na Casemiro nadhani ingekua battle nzuri kwenye midfield !

!!!!! Mngempata Mudrky mmngetisha Sana aisee, Bora alienda Chelsea
 
Hongereni Gunners,,,,

Msimu huu wakuwazuia alikuwa aidha sisi ama city, sio mbaya tumegawana hizo alama sita! Kazi kwenu mpambane na citizens!

Saka, Yuko vzr Sana yule chalii, bad luck timu ya taifa hapati minutes za kutosha !

Zinchenko mtu pia,,,,

Kipa wenu ana mawenge mawenge,,,,

White Jana ulimi nje, rashy alimuendesha awezavyo, na ile yellow kocha akaona Bora amtoe ,,,

Martineli , bado aisee hakuwa threat kiivo, !

Partey pia hakuwa na game nzuri Jana,,,, goli letu la Kwanza lilianzia kwake, tungekuwa na Casemiro nadhani ingekua battle nzuri kwenye midfield !

!!!!! Mngempata Mudrky mmngetisha Sana aisee, Bora alienda Chelsea
Kuna huyu kiumbe hapa for short term plan na anauwasha kisawasawa nadhani uliona mwenyewe
20230120_184021.jpg
 
Kuna kitu watu mnajisahau mnapodai City haiwezi kuizuia Arsenal.

City alikua anaongozwa 2 dhidi ya timu inayopenda kupaki basi na ikayabinua matokeo mpaka kua 4 kwa 2. Imepunguza gape la points vizuri tu.

Ina wachezaji wako exposed kwenye hizi pressure for years. Ina options zaidi ya 1 kwa kila nafasi isipokua kipa (sisi tuna hii quality?).

Arsenal tupo FA (tutakutana nao huko), tupo Europa na tuna hii presha ya ligi. Tuna kikosi cha kutuwakilisha kote huko na tukapata same output? Jibu ni hapana.

Tulicheza na Brighton baada ya siku 3 tukacheza na Newcastle na unaona kabisa kwamba kikosi kina fatique. Its allowed to dream but we should not overstep tukasahau angalia vitu vya msingi
Katika hao watu wanaojisahau Arteta na wachezaji nao wamo au?
 
Acheni kukufuru nyie viumbe,
Umfunge Man Utd zaidi ya goli 3 kwa kikosi gani hasa mlichonacho?
Hilo goli la 3 lenyewe refa aliamua kuwapa tu ili mpunguze maneno maneno, maana kabla ya mechi mlikua mmeshaanza kumtuhumu kua atawabeba united.
Sijui mpira ulisimuliwa offside ipo wapi,
zilikuwa Sita Eriksen kapunguza mbili Degea moja na mwakani ukija tena na kugonga kama nilivyo kugonga miaka mitano mfululizo.
 
Tusiache kumpa sifa Eddie Nketiah View attachment 2492294 Anazidi kututunyamizisha his doubters. I wish our number 14 all the best mpaka mwisho wa msimu.

A message from Nketiah to all the fans “Stop feeling sorry for yourself and "f***ing wake up man."
Nilisema humu ,Ni finisher mzuri,

Chini ya wale watu 10 ,atafanya vzr tu,

Tatizo Eddie amecheza Sana Cups ,ligi alipata nafasi mechi 8 msimu uliopita mechi za mwishon akafunga goli 5, Lakini watu baaadhi hawakumuamini

Nketiah Ni finisher mzuri kuliko hata Jesus ,ila tu in terms of full package kazidiwa na Jesus.,maana Jesus Hadi leadership uwanjan na nje ya uwanja yupo vizuri , kwasasa kaumia Lakini anashinda dressing room anahamasisha.

Nketiah Ni finisher mzuri pia kuliko hata Darwin Nunez ,

Ni vile sababu hatujamnunua Ni mtoto wa academy
 
Mikel, na wachezaji wa Arsenal wakiulizwa maswala ya ubingwa, wanasema Wana focus game inayokuja

Upo sahihi

Huku mashabiki wa Arsenyani focus yao ni: -
Arsenal Ndoo
Haaland kiatu

Aaron Arsenal mpe basi japo pole ndugu yako allypipi maana ule mpira mliopiga kuanzia dakika ya 70 ilikua ni utatoa hutoi mpaka tukaamua kutoa ki roho safi tu.
Hii chini ni selfie aliyojipiga ndugu yangu allypipi baada ya dakika 90.
Screenshot_20230123_093427.jpg
 
Kuna kitu watu mnajisahau mnapodai City haiwezi kuizuia Arsenal.

City alikua anaongozwa 2 dhidi ya timu inayopenda kupaki basi na ikayabinua matokeo mpaka kua 4 kwa 2. Imepunguza gape la points vizuri tu.

Ina wachezaji wako exposed kwenye hizi pressure for years. Ina options zaidi ya 1 kwa kila nafasi isipokua kipa (sisi tuna hii quality?).

Arsenal tupo FA (tutakutana nao huko), tupo Europa na tuna hii presha ya ligi. Tuna kikosi cha kutuwakilisha kote huko na tukapata same output? Jibu ni hapana.

Tulicheza na Brighton baada ya siku 3 tukacheza na Newcastle na unaona kabisa kwamba kikosi kina fatique. Its allowed to dream but we should not overstep tukasahau angalia vitu vya msingi
Hizi ninaona ni blah blah tu, liverpool ilibeba epl na ucl ikiwa na kikosi kimoja.
 
Kuna kitu watu mnajisahau mnapodai City haiwezi kuizuia Arsenal.

City alikua anaongozwa 2 dhidi ya timu inayopenda kupaki basi na ikayabinua matokeo mpaka kua 4 kwa 2. Imepunguza gape la points vizuri tu.

Ina wachezaji wako exposed kwenye hizi pressure for years. Ina options zaidi ya 1 kwa kila nafasi isipokua kipa (sisi tuna hii quality?).

Arsenal tupo FA (tutakutana nao huko), tupo Europa na tuna hii presha ya ligi. Tuna kikosi cha kutuwakilisha kote huko na tukapata same output? Jibu ni hapana.

Tulicheza na Brighton baada ya siku 3 tukacheza na Newcastle na unaona kabisa kwamba kikosi kina fatique. Its allowed to dream but we should not overstep tukasahau angalia vitu vya msingi
Sasa hivi kuna baadhi ya mashabiki wa Arsenal humu ndani mmeanza kua matured na kuanza kujielewa, tatizo kuna mashabiki wengi humu hua hawapendi kabisa kusikia jambo lolote negative kuhusu wachezaji, kocha na timu yote kwa ujumla.
Wao muda wote wanataka kusikia mambo matamu tu na shabiki anaejielewa akijaribu kuzungumza kuhusu uhalisia wa mambo anaanza kushambuliwa kwa matusi, kebehi na kejeli na kuonekana ni mamluki.
Ukienda kwenye majukwaa ya Chelsea, Man United na Liverpool unaona jinsi mashabiki wake walivyo huru kukosoa iwe ni mchezaji, kocha au timu kwa ujumla pasi na kushambuliwa na mashabiki wenzake.
 
Back
Top Bottom