Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo Partey haeleweki, Martinelli ndo kabisaa.
Hawa jamaa sijui walilala wapi.
[emoji23][emoji23][emoji23] usiwalaumu sana hao kina kitchen party, huo ndio uwezo wao wa mwisho wanapokutana na wanaume wa shoka.
Kipindi cha pili Anthony na The ghost wana magoli yao.
Nyani leo lazima wale ndizi 3 kama zile walizolishwa OT.
 
Aisee Thomas Partey ni Monster, big .onster
Mabeki wa Arsenal wamelala wanamuangalia tu Antony anaserereka na mpira goli from no where Partey hiyo speed sijawahi muona akikimbia hivyo
 
Unasema tumepaki basi mkuu angalia statics izo.View attachment 2491853
Hii shot yako ni ya dk ya 43 hata mpira haukua umefika half time

Blocked shots za Arsenal ni nyingi kwakua united yote ipo mbele ya goli.

United inapiga sana back pass na kutafuta long balls.

The only reason inabidi ipige pasi ni kwakua Arsenal haizifuati hizo back passes.

zorewa GenuineMan

Screenshot_20230122-203519.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom