Mkuu timu iliopaki basi inakuaje na possession zaidi yako?Arsenal tumesusa kupossess mpira. Tunacheza huku tunahofia kwenda mbele kuziepuka long balls zao, Erik kaamua kupaki basi kama mechi ya kwanza, wanajitahidi kutuvuta na Arsenal tumegoma.
Tuna blocked shots nyingi, tunaogopa kushut nje ya box na hicho ndicho kinatakiwa kianze. Last game nilisema nawish tucheze 4 2 3 1 na nawish hii pia tungecheza hivyo.
Tungekua lethal zaidi kwenye wings.
Kwa hapa tulipofikia Arteta anatakiwa kuinitiate plan mpya.
