Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal tumesusa kupossess mpira. Tunacheza huku tunahofia kwenda mbele kuziepuka long balls zao, Erik kaamua kupaki basi kama mechi ya kwanza, wanajitahidi kutuvuta na Arsenal tumegoma.

Tuna blocked shots nyingi, tunaogopa kushut nje ya box na hicho ndicho kinatakiwa kianze. Last game nilisema nawish tucheze 4 2 3 1 na nawish hii pia tungecheza hivyo.

Tungekua lethal zaidi kwenye wings.

Kwa hapa tulipofikia Arteta anatakiwa kuinitiate plan mpya.
Mkuu timu iliopaki basi inakuaje na possession zaidi yako?
 
Arsenal tumesusa kupossess mpira. Tunacheza huku tunahofia kwenda mbele kuziepuka long balls zao, Erik kaamua kupaki basi kama mechi ya kwanza, wanajitahidi kutuvuta na Arsenal tumegoma.

Tuna blocked shots nyingi, tunaogopa kushut nje ya box na hicho ndicho kinatakiwa kianze. Last game nilisema nawish tucheze 4 2 3 1 na nawish hii pia tungecheza hivyo.

Tungekua lethal zaidi kwenye wings.

Kwa hapa tulipofikia Arteta anatakiwa kuinitiate plan mpya.
Unasema tumepaki basi mkuu angalia statics izo.
Screenshot_20230122-191354.jpg
 
Aisee Thomas Partey ni Monster, big .onster
Mabeki wa Arsenal wamelala wanamuangalia tu Antony anaserereka na mpira goli from no where Partey hiyo speed sijawahi muona akikimbia hivyo
 
Unasema tumepaki basi mkuu angalia statics izo.View attachment 2491853
Hii shot yako ni ya dk ya 43 hata mpira haukua umefika half time

Blocked shots za Arsenal ni nyingi kwakua united yote ipo mbele ya goli.

United inapiga sana back pass na kutafuta long balls.

The only reason inabidi ipige pasi ni kwakua Arsenal haizifuati hizo back passes.

zorewa GenuineMan

Screenshot_20230122-203519.png
 
Back
Top Bottom