Kabla ya vita ya pili ya duniaKila niki kumbuka tumewai wafunga kwenu na beki zikiwa ni hizi na kosa nguvu kabisaView attachment 2491074
Castr Ni Academy player wetuHuyu dogo Hall Chelsea wamemtoa wapi hii game ya pili namuona yuko vizuri
Ndio maana tumetoa paund 100M kwakeIla jamani mudryk mtu wakuu.
Rice bado anamkataba na West Ham, nahis mwaka 1 na nusu umebaki
kama kweli ni top priority why tubid 86M kwa enzo na 65M Kwa Caicedo?
Ni media na agent wake wanatahusisha nae na siamini kama chelsea kweli tunamtaka,
Nani kakwambia chelsea haina mipango chelsea tuna injury crisis Kovacic,kante, Reece james, Benchillwel, Zakaria nae kaanza kupata injury baada ya kuanza kukichafua pale Kati so hapo Kati tumebaki na jorginho pekee, Pulisic wote hawa ni injury jao felix ana red card ndio maana tunatengeneza kikosi wote hawa wakirudi ndipo hizi sajili tunafanya zitawork zaidi ndio maana sisi kama mashabiki hatulalamiki Sana tunajua changamoto club inayopitiaHuyu Murdy yupo Vizuri sana, ni vile Chelsea Haina mipango.
Yuko vizuri sana. Akiendelea na hii trend na kuimprove mna mchezaji mzuri paleCastr Ni Academy player wetu
Ujue mimi ninachowakatalia hii hoja yenu ni kwakua mlishasajili Werner, Ziyech, Pullisic na Havertz na huko wakakutana na Mount na Kante. Baadaye akaja Lukaku na bado hawakudeliver mlichotarajia.Nani kakwambia chelsea haina mipango chelsea tuna injury crisis Kovacic,kante, Reece james, Benchillwel, Zakaria nae kaanza kupata injury baada ya kuanza kukichafua pale Kati so hapo Kati tumebaki na jorginho pekee, Pulisic wote hawa ni injury jao felix ana red card ndio maana tunatengeneza kikosi wote hawa wakirudi ndipo hizi sajili tunafanya zitawork zaidi ndio maana sisi kama mashabiki hatulalamiki Sana tunajua changamoto club inayopitia
Castr
HENRY14
DullyJr
Kai havert katusaidia kubeba UEFA pamoja na Club bingwa ya dunia unampondaje? Timo werner kaleta mchango mkubwa Sana mpaka tunabeba UEFA maana bila ile movement aliyofanya kwenye game ya Fainal against City kusikuwa na goal la Kai lakini pia alicheza vizuri Sana tangu tukiwa makundi mpaka tunabeba ndoo na yeye ndio alikuwa man of the match against Real Madrid pale darajani nusu fainal.Ujue mimi ninachowakatalia hii hoja yenu ni kwakua mlishasajili Werner, Ziyech, Pullisic na Havertz na huko wakakutana na Mount na Kante. Baadaye akaja Lukaku na bado hawakudeliver mlichotarajia.
Sioni kwanini kipindi hichi natakiwa kushtuka.
😄😄😄 Romano tutakuwa tunamlaumu Kwa asimia kama 95 hivi Kwa kumkosa Mudy. Sasa hatutaki kumdokeza kuhusu targets zetu tena? 😆😆Huyu anakuja ,kwasasa wanampa info dili likishakuwa mwishon au limeisha
Sahihi kabisa. Ila kabla hamjakaa sawa na kuanza kukichafua huku ningependa mbondwe sana yaani sana yaaani. Ikibidi muishie nafasi ya 16-17 mkoswe kowe na relegation. Actually ni bora mpigwe haswaaaa mpaka mshuke daraja mtuepushe na matatizo. Mkawapeleke hao kina Mudy na Nkunku Championship huko.Nani kakwambia chelsea haina mipango chelsea tuna injury crisis Kovacic,kante, Reece james, Benchillwel, Zakaria nae kaanza kupata injury baada ya kuanza kukichafua pale Kati so hapo Kati tumebaki na jorginho pekee, Pulisic wote hawa ni injury jao felix ana red card ndio maana tunatengeneza kikosi wote hawa wakirudi ndipo hizi sajili tunafanya zitawork zaidi ndio maana sisi kama mashabiki hatulalamiki Sana tunajua changamoto club inayopitia
Castr
HENRY14
DullyJr
Hiyo ni roho mbaya sasaSahihi kabisa. Ila kabla hamjakaa sawa na kuanza kukichafua huku ningependa mbondwe sana yaani sana yaaani. Ikibidi muishie nafasi ya 16-17 mkoswe kowe na relegation. Actually ni bora mpigwe haswaaaa mpaka mshuke daraja mtuepushe na matatizo. Mkawapeleke hao kina Mudy na Nkunku Championship huko.
Duh! Wewe jamaa bnHii lineup yenu ya 2019 ilikuwa poa ila ilajaa matakataka kweli, ubora wa kocha ni pamoja na kuweza kuyang'amua matakataka na kuyachoma moto
Waliobaki hapo ni wangapi?