Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwenye kiwanja cha mazoezi na dressing room , Mikel amekuwa akisisitiza IDENTITY ya timu (mpira mzuri)

INTENSITY ya hali ya juu

EPL ya sasa bila kuwa na INTENSITY kushinda mechi ni ngumu sana , Ligi imekuwa ngumu sana tofauti na miaka ya nyuma

SUPPORT YA MASHABIKI

Tunapokuwa uwanja wa Nyumbani , Sapoti ya mashabiki imekuwa kubwa sana,

Gabriel Martinelli anasema " akiwa na mpira kwenye wing , ameshakimbia sana na kuchoka ,anaposikia kelele za mashabiki huwa anaongeza kukimbia , Demand ya ushindi ndani ya Emirates imekuwa kubwa sana...

IMG_20230117_233153.jpg
 
Kwa nini unalazimisha kutumia maneno "hasa wachezaji watatu wa mbele"?

Wachezaji ni wachezaji hata hivyo vilabu vilikuwa vikiongoza ligi sababu Arsenal alikuwa na majeruhi na small squad!

This season so far Partey, Zincheko, Tierney, Tomiyasu, Elneny, Smith Rowe, na Gabriel Jesus wameshakuwa majeruhi, ni majeruhi gani mnataka kuona? watu wakivunjika uti wa mgongo!
"Hasa wachezaji watatu wa mbele" kuna mijitu inahoja za hovyo sana. Arsenal kuwa kileleni inawauma sana sana, matokeo yake wanaanza kutafuta sababu, bladifakeni!
 
"Hasa wachezaji watatu wa mbele" kuna mijitu inahoja za hovyo sana. Arsenal kuwa kileleni inawauma sana sana, matokeo yake wanaanza kutafuta sababu, bladifakeni!
Na ikitokea tumebeba league kuna watu watasema tumebeba league kwa sababu ya majeruhi ya Liverpool na disintegration kwenye vilabu vya chelsea na man city.kwa man u na new castle watasema project bado haija mature
 
Kwa nini unalazimisha kutumia maneno "hasa wachezaji watatu wa mbele"?

Wachezaji ni wachezaji hata hivyo vilabu vilikuwa vikiongoza ligi sababu Arsenal alikuwa na majeruhi na small squad!

This season so far Partey, Zincheko, Tierney, Tomiyasu, Elneny, Smith Rowe, na Gabriel Jesus wameshakuwa majeruhi, ni majeruhi gani mnataka kuona? watu wakivunjika uti wa mgongo!
Usireason kwa vibe mkuu, andika fax, klopp anajua wazi attackers are the most important players on the field, they win you matches. Kwa timu isiyo na depth yetu au liverpool hata Spurs Kuna quality huwezi kureplace kirahisi wakati msimu unaendelea, mfano Saka & Martinelli, OR Kane / kulusevski, klopp knows best, umuhimu wa Diaz kwa liverpool ni sawa na Saka / Nelli. Sijajua amekosea wapi kudefend his team paka mnakuwa reactionary kiasi hicho.
 
Bacary Sagna alitembelea mazoezi ya Timu ilipokuwa Dubai, anasema alishangazwa na mazoezi yalivyo magumu na yenye Intensity ya hali ya juu tofauti na kipind akiwa Arsenal chini ya Wenger


Jack wilshere anasema pia , mazoezi yanayofanyika yamemshangaza anasema hajawahi kuyaona hata kipindi akiwa Arsenal

Jack Wilshere believes Arsenal’s training is more intense under Mikel Arteta than it was during Arsene Wenger’s reign.

Jack:

“I’ve never seen first team training at the level it is now. Even when I was there and under Arsene, it’s higher now."

“Mikel talks a lot about the fans and how big they are and again, the atmosphere is the best I’ve ever seen it.”

“I’m quite lucky because I’ve got a relationship with Mikel and I watch first team training all the time.


“He’s actually someone who inspired me to be a coach when I went back there last year. I always thought about coaching but I saw the way that he coaches and the level of detail that he goes into and he’s top.

View attachment 2489837
😂😂😂 hakuna bahati.
 
Mikel Arteta:


"Leandro Trossard's age is not a problem, the squad can absorb a player of 28 years old. With the right experience, right versatility, right quality" #AFC

"It is not that we had to sign 20, 21, 22 year olds for the next five years. That is not the plan".
Trossard bado anacho cha kudeliver kwa umri wake
 
Naona hakawii na mpira anatoa pass chap chap ila huko wanamwachia uwanja mzima aisee. Premier League jamaa si atakuwa pressed mpaka ajute kuja?
I think scout imemuangalia katika nyanja zote , kikos chetu hatuna beki anayepiga long balls kwa usahihi kwa Saka na martinell

Arteta aliwahi zungumzia hili jambo mwaka jana, tunatakiwa kuwa complex , kuna muda tunatuma long ball kwa saka au martinell na timu mara moja inakuwa ipo golini kwa mpinzani
 
Jakub Kiwior

Balaa kwa long balls

Hizo longballs so poa saka jesus martinnel na trossard watapokea pass nying san toka kwa hiki kiumbe....WOW WOW mabeki wapembeni wa timu pinzani wakae mkao wa kula....kuna beki moja white hiv ipo crystal palace nayo ni shida game ya kwanza ben white alitaabika san kukaba sabb kila pasi ilikuwa inafika kwa winga wa palace aliomba maji sasa nass tumepata huyu
 
Hizo longballs so poa saka jesus martinnel na trossard watapokea pass nying san toka kwa hiki kiumbe....WOW WOW mabeki wapembeni wa timu pinzani wakae mkao wa kula....kuna beki moja white hiv ipo crystal palace nayo ni shida game ya kwanza ben white alitaabika san kukaba sabb kila pasi ilikuwa inafika kwa winga wa palace aliomba maji sasa nass tumepata huyu
Yule wa crystal Palace ni Andersen aisee hafai kabisa. Nilivyomuona nikataka aje kwetu acheze mbele ya centre backs wetu na nyuma ya Partey na Xhaka au Ode.
 
CAPTAIN FANTASTIC

Odegaard -

"....Siku tuliyopoteza Old Trafford tulidhibiti sehemu kubwa ya mchezo na tulistahili matokeo bora zaidi .Safari hii tunataka kuonyesha nidhamu zaidi, kudhibiti(kutawala) mchezo kwa dakika 90. Utakuwa mchezo mgumu lakini tuko tayari na tunajiamini"

"Tumerudi nyumbani(EMIRATES) pia, na hali ya hewa(atmosphere) inaleta mabadiliko makubwa kwetu tena. Tunajua jinsi uwanja utakavyokuwa, hakika itakuwa ya hali nzuri, na nina uhakika nyote(mashabiki) mnaweza kutusaidia sana, kutupa nguvu na kuinua timu tena."
IMG_20230121_141435.jpg
 
Back
Top Bottom