City Kevin siyo yule vigilant wa miaka yote, una Haaland sawa but Haaland anajua kuscore tu hajui kitu kingine, huweza cheza 1,2 na Haaland, huwezi tarajia Haaland awe na skills za 1 v 1 zaidi ya kukimbia.
City imejikaba ya kwamba scorer ni huyu, kwa Arsenal scoring imegawiwa kwa wote hatuna mchezaji maalumu wa kufunga na hii system inatulipa.
Wakati msimu unaanza hawakusema wako kwenye form mbaya walisema Arsenal anacheza na average teams. Wakadai October ni kipimo, simply kwakua kwenye ratiba alikuepo Liva. Wakati tunacheza na Liva hakukua na hao majeruhi tulicheza na Virgil na Firmino na wakafa.
October ikapita wakadai kombe la dunia ni kipimo, wanatoa visingizio vya kitoto utadhani Arsenal pekee ndiyo wachezaji wake wataenda WC.
And this is us after WC. Dont fall for their shit