Chelsea ni bendera fata upepo, upepo unapovuma ndipo walipo, ukisikia dili limeiva maybe Frasneda to Madrid na wao wanashusha bid kuhijack the deal as if ni club usiyokuwa na mfumo, yaani kila mchezaji anafit kwenye mfumo wao, mafans utawasikia "ooh wachezaji wa hii timu matakataka" wakati muda wote tajiri miluzi anawaza kuhijack the dealIvan Fresneda remember the name unaambiwa ni namba mbil iliyokamilikaakiwaa kwenye ulinzi hapitiki akipandisha timu unaweza kudhani ni kingsley coman namna anateleza na chaki
Umri miaka 18
Timu zinazomgombea
Newcastle
Madrid
Juventus
Arsenal
Kuna tetes na Chelsea anamendea

Haya mambo ndo tulikua hatuyataki. Sisi tunataka wote watimie!Casemiro yellow card anakosa mechi dhidi ya Arsenal
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Watatuletea visingizio?Hili jambo ndo tulikua hatulitaki. Sisi tunataka wote watimie!
Hawachelewi kutoa sababu.. lakini bado ni wa kufungwa tu, hakuna namna.
Lazima wakae tena kwa kutuliaHawachelewi kutoa sababu.. lakini bado ni wa kufungwa tu, hakuna namna.
Baada ya game ya jana, EtH alihojiwa kuhusu casemiro kumiss mechi ijayo ana maoni gani?Hawachelewi kutoa sababu.. lakini bado ni wa kufungwa tu, hakuna namna.
Mnajipa moyo sana ,sisi hatuongei sanaBaada ya game ya jana, EtH alihojiwa kuhusu casemiro kumiss mechi ijayo ana maoni gani ? Akajibu last time aliwafunga bila casemiro !
Nyie Kima kifo chenu jumapili kiko palepale, endeleeni tu kujifariji kwa kukosekana uwepo wa Casemero.
Nadhani wanajiamini Kwa sababu inaonekana conversion rate yao ya hizo counters wanazopata ni nzuri. Wanasema wao pass 3 goli. So wanajua wakimpa Rashidi counter moja tu through on goal aatatupia halafu wao wapaki tu basi wasubiri counter ingine.Eti anabeza backline ya Arsenal ,
Hivi kuna backline ngumu kama ya Arsenal ukitoa ya newcastle ?
Kelele zote hizi wanatamba na kaunta ,ambayo anategemewa mtu mmoja Rashford
Tumecheza na spurs wataalamu wa kaunta wana mtu tatu Son Kane na Kulu , na hawakufanya la maana .
Dah kaunta kwao ni mmoja Rashidi makame, tumecheza na Spurs wana watu zaidi ya watatu wa Kaunta ,Nadhani wanajiamini Kwa sababu inaonekana conversion rate yao ya hizo counters wanazopata ni nzuri. Wanasema wao pass 3 goli. So wanajua wakimpa Rashidi counter moja tu through on goal aatatupia halafu wao wapaki tu basi wasubiri counter ingine.
Takwimu za Casemiro na Thomas Partey msimu huu kwenye Epl, nani ni mkali zaidi hapo?Mnajipa moyo sana ,sisi hatuongei sana
Tunaweka kumbukumbu ,usije kusema ulikuwa umelewaTakwimu za Casemiro na Thomas Partey msimu huu kwenye Epl, nani ni mkali zaidi hapo?
THOMAS PARTEY
Michezo: 15
Mabao: 2
Assist: 0
Nafasi alizotengeneza: 13
Clean sheets: 8
Tackles: 34
Interception: 17
Clearances: 23
Duels won: 72
CASEMIRO
Michezo: 15
Mabao: 2
Assist: 3
Nafasi alizotengeneza: 14
Clean sheets: 5
Tackles: 46
Interception: 18
Clearances: 29
Duels won : 92
Tulivyowagonga round ya kwanza kisingizio chenu kilikua ni Partey, Jumapili tunawagonga tena na huyo Kitchen Party wenu, andaeni mapema kabisa visingizio vya kumlaumu refa safari hii.
Takwimu za Casemiro na Thomas Partey msimu huu kwenye Epl, nani ni mkali zaidi hapo?
THOMAS PARTEY
Michezo: 15
Mabao: 2
Assist: 0
Nafasi alizotengeneza: 13
Clean sheets: 8
Tackles: 34
Interception: 17
Clearances: 23
Duels won: 72
CASEMIRO
Michezo: 15
Mabao: 2
Assist: 3
Nafasi alizotengeneza: 14
Clean sheets: 5
Tackles: 46
Interception: 18
Clearances: 29
Duels won : 92
Tulivyowagonga round ya kwanza kisingizio chenu kilikua ni Partey, Jumapili tunawagonga tena na huyo Kitchen Party wenu, andaeni mapema kabisa visingizio vya kumlaumu refa safari hii.
Lokonga kaka, tusipepese machoIla Hawa vichaa tutawapiga mpaka watueleze walitushindaje game ya kwanza Ili nyau wengine wasijaribu kudesa
Sura yako utaiweka wapi j'pili hii nduguTakwimu za Casemiro na Thomas Partey msimu huu kwenye Epl, nani ni mkali zaidi hapo?
THOMAS PARTEY
Michezo: 15
Mabao: 2
Assist: 0
Nafasi alizotengeneza: 13
Clean sheets: 8
Tackles: 34
Interception: 17
Clearances: 23
Duels won: 72
CASEMIRO
Michezo: 15
Mabao: 2
Assist: 3
Nafasi alizotengeneza: 14
Clean sheets: 5
Tackles: 46
Interception: 18
Clearances: 29
Duels won : 92
Tulivyowagonga round ya kwanza kisingizio chenu kilikua ni Partey, Jumapili tunawagonga tena na huyo Kitchen Party wenu, andaeni mapema kabisa visingizio vya kumlaumu refa safari hii.
