Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
"Shitty players wakiwa kwenye good structure wanaonekana onfire", BIG YES, but the method isn't sustainable, Man utd wapo top four sababu ya muundo mzuri wa kiuchezaji wa timu, hivyo utashinda baadhi ya mechi na zingine utadondosha points kwa kukosa right profile.Shitty players siyo wote. Hata shitty players wakiwa kwenye structure nzuri hua wanaonekana wako on fire.
Erik is good in decision making, tactically naona hana ubaya niliokua naufikiria lakini hana uzuri ambayo mashabiki wa United wanaamini anao.
Amekuja pale, ametaka Casemiro, Anthony, Malacia, Martinez wasainiwe na wamesainiwa. Juzi kataka Weghorst asainiwe na amesainiwa. Right signings gani zingine zije?
️
#AFC
Fee for Trossard will be in region of 20m pounds
Nketiah
Jesus 
Vieira
Trossard
I’m happy with this strength and depth going into the second half of the season