Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Shitty players siyo wote. Hata shitty players wakiwa kwenye structure nzuri hua wanaonekana wako on fire.

Erik is good in decision making, tactically naona hana ubaya niliokua naufikiria lakini hana uzuri ambayo mashabiki wa United wanaamini anao.

Amekuja pale, ametaka Casemiro, Anthony, Malacia, Martinez wasainiwe na wamesainiwa. Juzi kataka Weghorst asainiwe na amesainiwa. Right signings gani zingine zije?
"Shitty players wakiwa kwenye good structure wanaonekana onfire", BIG YES, but the method isn't sustainable, Man utd wapo top four sababu ya muundo mzuri wa kiuchezaji wa timu, hivyo utashinda baadhi ya mechi na zingine utadondosha points kwa kukosa right profile.
 
More on Trossard deal scoop. Been told tslks are very advanced as Arsenal are prepared to close the deal in the next hours. Not early stages but progressing fast for permanent move. #AFC

Full agreement reached on personal terms, it will be long-term contract for Trossard.
 
Namba zake pale Brighton zinambeba

Tatizo labda umri ,kwa project yetu ilikuwa hawanunui zaidi ya 25yrs

Huyu ana 28yrs

Mitoma ana umri mdogo, tatizo kumtoa pale january hii NGUMU ...

Ila namba zake brighton zinatisha , anacheza pia False 9, hivo tutakuwa tumepata backup 2 kwa wakati mmoja
Trossard ana miaka 28

Hutakuja kumuuza kwa pesa kubwa huko baadaye.

Hatoimprove zaidi ya tunavyomuona pale.

Hizi ni transfers ambazo hua zinafanywa na Chelsea na United.

Tukiwa na project endelevu tunataka kuifanya na sisi.

Kuna sehemu tunateleza.
 
Fewer players wanaweza kufika miaka 32 wakaofa same output.

Trossard anaweza kua mmoja wapo au asiwe.

But hii ni kamari. He will be good kushinda Willian but what can I say?
 
Trossard ana miaka 28

Hutakuja kumuuza kwa pesa kubwa huko baadaye.

Hatoimprove zaidi ya tunavyomuona pale.

Hizi ni transfers ambazo hua zinafanywa na Chelsea na United.

Tukiwa na project endelevu tunataka kuifanya na sisi.

Kuna sehemu tunateleza.
Kwasasa sokoni option ni zipi ,maana mudrky tumemkosa

Mousa diaby wamesema wanataka €100m

Raphina wamesema €100m pia anataka kubaki

Mitoma huwez kumtoa pale bila €90m+
 
28/29 years ,,,,,

Ni mchezaji mzuri Sana mkimpata, namuona Kama hazard flan unyumbulikaji wake ,,,,

Tatizo moja tu, ana ukirusi flani ambao anaweza kuharibu dressing room, ana tabia za ki-pogba/rabiot n.k! Pengine MA ajitahidi kum_shape!
Kafikisha 28 last month mzee
 
Kwasasa sokoni option ni zipi ,maana mudrky tumemkosa

Mousa diaby wamesema wanataka €100m

Raphina wamesema €100m pia anataka kubaki

Mitoma huwez kumtoa pale bila €90m+
Sijui kama yupo Sokoni huyu dogo ila anaitwa Jota. He is so good, yupo Celtics nafikiri.
Skills, pace, tech. Haogopi kulifuata box, yuko fast kuwatoka mabeki when 1 on 1.

Walicheza na Shakhtar yaani zaidi ya goli Mudryk hakuna alichofanya cha hatari kumpita huyu dogo.
 
Trossard ana miaka 28

Hutakuja kumuuza kwa pesa kubwa huko baadaye.

Hatoimprove zaidi ya tunavyomuona pale.

Hizi ni transfers ambazo hua zinafanywa na Chelsea na United.

Tukiwa na project endelevu tunataka kuifanya na sisi.

Kuna sehemu tunateleza.
Depth is necessary kwenye hii title race, impact atayoutupa huyu itatufaa sana in the short run, uzuri anajua kufunga na kucombine kwenye final 3rd, lakini sio 1v1 merchant km Saka / Gabby, naamini we will upgrade on him in the nxt windows
 
Depth is necessary kwenye hii title race, impact atayoutupa huyu itatufaa sana in the short run, uzuri anajua kufunga na kucombine kwenye final 3rd, lakini sio 1v1 merchant km Saka / Gabby, naamini we will upgrade on him in the nxt windows
Nakubaliana na wewe
 
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Nketiah
Jesus
Martinelli
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Reiss Nelson
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Smith-Rowe
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Saka
Vieira
Trossard

I’m happy with this strength and depth going into the second half of the season
 
Screenshot_20230119-135807.png
 
Back
Top Bottom