Tanzania Norway
JF-Expert Member
- Oct 9, 2022
- 338
- 656
Kaka zungumzia football sio statistics the way casemiro anacheza ni tofauti kabisa na partey..partey anawez shine popote bila kutegemea wengn sabb anauwezo wa kushika dimba kwa aspects tofaut tofaut ukilinganisha na casemiro ambae akiiba mali hana uwezo wa kufanya mikimbio inayoleta madhara au kupass mipira mirefu....Takwimu za Casemiro na Thomas Partey msimu huu kwenye Epl, nani ni mkali zaidi hapo?
THOMAS PARTEY
Michezo: 15
Mabao: 2
Assist: 0
Nafasi alizotengeneza: 13
Clean sheets: 8
Tackles: 34
Interception: 17
Clearances: 23
Duels won: 72
CASEMIRO
Michezo: 15
Mabao: 2
Assist: 3
Nafasi alizotengeneza: 14
Clean sheets: 5
Tackles: 46
Interception: 18
Clearances: 29
Duels won : 92
Tulivyowagonga round ya kwanza kisingizio chenu kilikua ni Partey, Jumapili tunawagonga tena na huyo Kitchen Party wenu, andaeni mapema kabisa visingizio vya kumlaumu refa safari hii.
Sijui kama unaikumbuka invincibles waliimbwa wachezaji wengi lkn mchezaji muhimu zaid na usajili bora ulikuwa gilberto silva lkn hakuwa mchezaji wa statistics bali kurahisisha na kuongeza ufanisi sasa huyo casemiro ni mkamiaji huwezi mfananisha na baller partey ni kuukosea mpira heshima....
Kama ilivo busquet pale barcelona huwez mkuta et ana assist sijui magoli sabb anatimiza yale majukumu yake muhimu sasa kama mchezaji anafanya timu icheze na kumiliki mpira attafanya tackling za hatari za nini kama anasuply mipira kwa uhakika na anasimama kwenye eneo sahihi na kumpa uhuru xhaka na odegaard wacheze kwa uhuru tatizo nini??
Mfumo anaocheza arsenal sasa wachezaji hawaingilian majukumu kbx mtazame zinchenko vs shaw ni mfumo wa man u shaw anachez beki ya kupanda na kushuka ila zincheko anacheza kama middle zaid...
Partey mlinganishe na rodry sio huo mfupa mkavu casemiro huyo rodry mwenyewe alikuwa anakula mbao pale atletico sabb y uwepo wa partey...
Welcome emirates
#COYG

️
#AFC
