Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndio maana nimesema Tumpate kiungo kwanza mwenye uwezo aje aongezewe vitu,

Hata Partey alikuwa vzr ila kaongezewa vitu

Kuna Tetes tunamtaka Rice

Ila kwa Fabio Vieira una mu underrate , alikosa pre season lakin amekuwa akipata nafasi anaitendea haki

Alicheza role ya XHAKA dhidi ya wolves alifanya vzr na Ali assist ,alicheza role ya Odegaard dhidi ya Brentford akafunga

Bado kwenye Europa na fa ana goli 2 assist 3 Kama sijakosea
Siyo mbaya ila hajatosha 100% kumkabidhi namba
 
Wachambuzi nawaskia wanasema kama unataka goli basi we mpress Zinny lazima atapoteza mpira kisha kafanye yako

Ukiangalia ni kweli kabisa maana dogo hapendi na hawezi kuzongwa zongwa, ukimpa pressure tu lazima ateme finyango
 
Back
Top Bottom