Kama unacheki mechi utaona Son na Kane wamekosa clear chance pia.Anaimprove vipi wakati amekosa clear chance
Kuimprove nilipomaanisha mimi ni kuhusika kwenye mchezo zaidi kwa sababu ukizungumzia magoli kascore mfululizo tangu apokee kijiti na hata leo anaweza kuscore pia
