Tutamtengeneza Mwingine ,namuamin ArtetaKuna muda natamani Partey angekua ana miaka 25
Pale Emirates ,ingekuwa OT sawaArsenal mtamkazia kila mtu ila akija United lazima mumpe utamu.
Mke bora anatoka London.![]()
Kaka ingekua kumtengeneza ni rahisi tungekua tushatengeneza kwani bro umesahau msimu uliopita kilichotokea?Tutamtengeneza Mwingine ,namuamin Arteta
Partey alikuja hakuwa Hivi ,inabidi tumpate DM ambaye tayari ana vitu aje aongezewe
Hizi mechi hapa chini ,Partey alikuwa ovyo, akasema najipa 4/10 ,Saka akasema Arsenal fans Wana deserve more
Partey anakiri anasema Arteta kambadilisha pakubwa Sana
View attachment 2482537
wanaingia kwenye half space kupokea mipira..Nimependa mawinga wetu wanavyotengeza nafasi za kupasiwa kwenye tight space
Kuondoka kwa lloris ni mwanzo wa goal keeper wa timu ya taifa ya france kuwa mweusi?
Shida siyo hiyo.
Anaimprove vipi wakati amekosa clear chanceBrilliant first half
Actually Nketiah anaimprove siku baada ya siku.
Asajiliwe kiungo. Umuhimu wa Partey ni mkubwa sana
Mambo tunayoyapenda ni timu zinazofunguka kama nyie. Hatunaga mambo mengi sisi, pasi 5 goli. 😄Pale Emirates ,ingekuwa OT sawa
Emirates Kuna atmosphere Kali Sana msimu huu,
Pale huwa tunafunguka tu hatujali unajua au hujui
Hakuna msimu na enjoy mechi za Emirates kama msimu huu
Ndio maana nimesema Tumpate kiungo kwanza mwenye uwezo aje aongezewe vitu,Kaka ingekua kumtengeneza ni rahisi tungekua tushatengeneza kwani bro umesahau msimu uliopita kilichotokea?
Fabio Vieira he is too lightweight same na Lokonga
Shida siyo hiyo.
Shida kakutana na watu wanajua![]()

haya ila Lloris huwa Ni kipa wakawaida sanaFair commentMambo tunayoyapenda ni timu zinazofunguka kama nyie. Hatunaga mambo mengi sisi, pasi 5 goli. 😄
Utani pembeni, Arsenal mnapiga mpira mkubwa sana kwa aina ya kikosi mlichonacho. Emirates nitafurahi sana United akichukua points 3 najua siyo rahisi na kama mkishinda lazima siku hiyo mtakuwa mmestahili.
Hivi unajua Gabriel hua anakosa clear chance ngapi?Anaimprove vipi wakati amekosa clear chance