Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna muda natamani Partey angekua ana miaka 25
Tutamtengeneza Mwingine ,namuamin Arteta

Partey alikuja hakuwa Hivi ,inabidi tumpate DM ambaye tayari ana vitu aje aongezewe


Hizi mechi hapa chini ,Partey alikuwa ovyo, akasema najipa 4/10 ,Saka akasema Arsenal fans Wana deserve more

Partey anakiri anasema Arteta kambadilisha pakubwa Sana

IMG-20230113-WA0076.jpg
 
Tutamtengeneza Mwingine ,namuamin Arteta

Partey alikuja hakuwa Hivi ,inabidi tumpate DM ambaye tayari ana vitu aje aongezewe


Hizi mechi hapa chini ,Partey alikuwa ovyo, akasema najipa 4/10 ,Saka akasema Arsenal fans Wana deserve more

Partey anakiri anasema Arteta kambadilisha pakubwa Sana

View attachment 2482537
Kaka ingekua kumtengeneza ni rahisi tungekua tushatengeneza kwani bro umesahau msimu uliopita kilichotokea?

Fabio Vieira he is too lightweight same na Lokonga
 
Pale Emirates ,ingekuwa OT sawa

Emirates Kuna atmosphere Kali Sana msimu huu,

Pale huwa tunafunguka tu hatujali unajua au hujui

Hakuna msimu na enjoy mechi za Emirates kama msimu huu
Mambo tunayoyapenda ni timu zinazofunguka kama nyie. Hatunaga mambo mengi sisi, pasi 5 goli. 😄

Utani pembeni, Arsenal mnapiga mpira mkubwa sana kwa aina ya kikosi mlichonacho. Emirates nitafurahi sana United akichukua points 3 najua siyo rahisi na kama mkishinda lazima siku hiyo mtakuwa mmestahili.
 
Kaka ingekua kumtengeneza ni rahisi tungekua tushatengeneza kwani bro umesahau msimu uliopita kilichotokea?

Fabio Vieira he is too lightweight same na Lokonga
Ndio maana nimesema Tumpate kiungo kwanza mwenye uwezo aje aongezewe vitu,

Hata Partey alikuwa vzr ila kaongezewa vitu

Kuna Tetes tunamtaka Rice

Ila kwa Fabio Vieira una mu underrate , alikosa pre season lakin amekuwa akipata nafasi anaitendea haki

Alicheza role ya XHAKA dhidi ya wolves alifanya vzr na Ali assist ,alicheza role ya Odegaard dhidi ya Brentford akafunga

Bado kwenye Europa na fa ana goli 2 assist 3 Kama sijakosea
 
Mambo tunayoyapenda ni timu zinazofunguka kama nyie. Hatunaga mambo mengi sisi, pasi 5 goli. 😄

Utani pembeni, Arsenal mnapiga mpira mkubwa sana kwa aina ya kikosi mlichonacho. Emirates nitafurahi sana United akichukua points 3 najua siyo rahisi na kama mkishinda lazima siku hiyo mtakuwa mmestahili.
Fair comment
 
Wapumbavu hawa Spurs second half wanakuwaga wa moto ntafurahi tukifunga la 3 kabisa tuwazime moto otherwise tuendelee kuwamiliki kama hivi
 
Back
Top Bottom