Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Raphina ana end product mbovu Sana

Hizi Tetes zenyewe sidhani Kama Zina ukweli

Ndio maana ana namba ndogo Sana za magoli Barca , timu ya Taifa pia end product ZERO .
 
Thuram msiende huko msije mkaongeza maumivu juu ya jeraha. Hatuko tayari kukuzika bana, hata kama tunabishana kwenye football, tunakujali Aaron Arsenal
si mpo kwa Nodi mukiele ?

Nyie jamaa mnazingua Sasa,nasikia Kuna beki ipo Sporting ,Spurs anajiandaa kumbeba , mnataka ku hijack

Ila Toddy hizi hela anatoa wapi?

Pep miaka Saba katumia €1B

Toddy miez 6 €500m na anasema hapo Bado
 
Option zilizopo sokoni za haraka

Trossard 27yrs

Thuram

Raphina barca wamemuweka sokoni

Kolo Muani
Thuram na Noni Madueke tuko kwenye hatua za mwishoni kabisa
Na hawa wachezaji tunawataka January hii kwa udi na uvumba ili watuwezesha hata kucheza Europa
 
Hata Abramovich alikuwa anafanya hivyo
Tajiri wa timu anaweza kuikopesha timu halafu inalipa kwa installment kidogo kidogo ili isikiuke taratibu za FFP

Anaitwa Noni Madueke huyo pamoaja na Marcus Thuram majadilinao yako kwenye hatua za mwishoni kabisa
 
Mtampata mchezaji bora kuliko Mudryk, dunia ni kubwa, wachezaji wako wengi tu. poleni sana
Ila tukija hapo Emirate msitupige mawe tu
Kwa navyofahamu ni kwamba Mudryk alifikia hatua hii baada ya offer ya Chelsea kukubaliwa na ile ya Arsenal kutokukubaliwa.

Baada ya Arsenal kusema hawataongeza kuvuka €95M ili hali Chelsea wameweka €100M, Shakhtar walikubali offer ya Chelsea.
Changamoto ilibaki upande wa mchezaji maana alikuwa anaitaka Arsenal.

Kuna taarifa niliona inasema Shakhtar walimwambia kama hatakubali kwenda kwa hao walioweka pesa waliyokuwa wanataka (€100M) basi hawatakubali aondoke.

Nadhani hii ongeza na mshahara waliokuja nao Chelsea pamoja na uhakika wa kuanza first XI ndio vilimfanya dogo abadili mtazamo na aamue kwenda Chelsea.

Kumbuka hii ndio ilikuwa chance yake ya kuweza kuondoka Shakhtar
 
Huyu Toddy kazidi, na amevunja Rekodi za dunia ,Kwanza hafanyi negotiation


Abromovich ,hata Perez hawakuwahi kuwa na fujo Hivi kwenye transfer, Roman hajawahi kutumia dirisha moja €250m Kama nipo sawa, Ni msimu ule aliompa Lampard ndio alifika €230m .

Hata Pep hajawahi kufika €250m + dirisha moja ,

Huyu Toddy summer kaweka rekod €300m , hii January anakimbilia €200m+

FFP kazi yake nini
 
Huyo jamaa ni wa kupiga spana mapema sana. Otherwise tutasafa..
 
Kiukweli hatuko serious...
Kama tunahitaji ubingwa, ilibidi tuongeze watu. Partey anahitaji msaada, pale juu inahitajika nyongeza.
Yaani viongozi wa arsenal wasijitele kusema eti malengo yetu ni top 4😂
Huu ndio msimu wwa kuchukua ubingwa, Liverpool hoi, Chelsea huyo, man u alianza kwa kuchechemea naona gari inashika kasi, man city si yule(hatabiriki)
Msimu ujao hao wote wakiwa fiti, Newcastle akiongeza nguvu, Tottenham akiwa byee.. Itahitajika nguvu kubwa kuchukua ubingwa, kuliko nguvu ya msimu huu, ni km msiimu wa ubingwa kwa Leicester City,tulijilegeza sehemu ya kujikaza.
 
Malengo yanapangwa majira ya usajiri wa joto hapa january ni niongeza tuu kwa depth ya kikosi chetu tulijipanga top 4 ila timu yetu ime click kwa haraka na timu zengine zime underperform

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Ndio muda wwa kukaza kubeba kombe, unadhani msimu ujao wwapinzani wetu watakuwa lonya lonya tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…