Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mkorea ubora wa Mudryk upoje,? Mimi simfahamu anacheza nafasi gani maana kuna wengine wanasema anacheza winger na wengine wanasema ni kiungo mshambuliaji which in which au anacheza nafasi zote mbili je kama ni hivyo ipi ni best kwake?
 
kwa historia yetu na wao kwao, sina matumaini ya ushindi kivile. pia naamini kuna juhudi za FA kuturudisha nyuma hivyo najua watatutafutia namna tufunwe leo.
 
Lloris Ni old fashioned GK, hata Spurs Wana mpango wakumuacha mwisho wa msimu,

Binafsi sijawahi kumkubali toka Wenger anamtaka kipind kile

Kwa timu inayotumia 3-4-3 ,dawa Yao Ni 4-3-3

SABABU kwenye kushambulia /au tukiwa na mpira tunapenda Sana kutumia 3-2-5/2-3-5

Wale wingbacks zao Perisic na Dohety wanakuwa pinned na Martinell na saka ambao huwa wanatanua uwanja ,hivo hawawez kuwaacha free

Hapo Kati wanabaki Viungo wawili Bentacur na Holjberg

Sasa Inakuwa 2 MF wa Spurs Vs 3 MD wa Arsenal ambao Ni Partey Xhaka na Zinny Jumlisha na Kipa Aaron ambaye anahusishwa kwenye kuanzisha mashambulizi ,kunakuwa na Overload Kama ya 4 vs 2

Kuna Kane huwa anapenda kushuka kusaidia Kiungo ,huyu waku mchunga Sana ,

Kwenye quick transition Xhaka na ode wanaondoka kushambulia half space


Kitu Cha Kwanza kabisa tuwapore eneo la MIDFIELD

Tuwe sharp kuzuia Kaunta ,ndio silaha Yao kubwa.
 
Kwani huyo player ubora wake ukoje? Na anacheza nafasi gani mbona nimemcheki youtube anacheza zaidi kwenye kiungo mshambuliaji kuliko winger mnavyosema?
 
mkorea ubora wa Mudryk upoje,? Mimi simfahamu anacheza nafasi gani maana kuna wengine wanasema anacheza winger na wengine wanasema ni kiungo mshambuliaji which in which au anacheza nafasi zote mbili je kama ni hivyo ipi ni best kwake?
Nina hasira sana, uhuni mliotofutanyia haukubaliki

Mkuu inatosha kusema ni bonge moja la player
 
Kwani huyo player ubora wake ukoje? Na anacheza nafasi gani mbona nimemcheki youtube anacheza zaidi kwenye kiungo mshambuliaji kuliko winger mnavyosema?
Shakhtar Ni timu ya kaunta Sana ,ndio maana unamuona Kama Kiungo, Mudrky ana Tabia ya kuchukua mpira chini kwenye kiungo,na kwenda nao mbele , nafasi yake Ni Left winger

Anarudi nyuma kusaidia, anachuku mipira kwenda mbele .

Moja ya Sifa tuliyomtaka anarudi nyuma kusaidia , sio Zile winger zinakaa mbele tu


Kasi anayo Sana , Vs Liverpool dhidi ya Anord lazima niangalie ,Kama anavyoteswaga na Martinel au Jana Mitoma
 
Fact
 
Poleni Sana Gunners !!!! Chelsea wamewasuprise,,,,

Boss miluzi yeye anasajili tu ! .


Trossad wa Brighton hawezi kuwafaa,,, ? Hazard type player,,,anawezaku-offer vitu vingi !
Ana mgogoro na kocha wake, pelekeni mzigo ,!

Epl Ni ngumu , hamuwezi shinda na kikosi hiki hiki,,,mnahitaji back up za maana, sio kina viera, Sambi na eleneny !!
 
Chelsea wametufanyia uhuni mkubwa, ila Shakhtar ndio waliweka ugumu mkubwa Sana ,


Nobody's knows tomorrow but Mudrky hiki ni kipaji , ....labda yakamkute yaliyomkuta Felix ATM au yanayomkuta Ziyech na Kai pale Chelsea
 
HENRY14 umeongea kama mshabiki wa mpira wafundishe mashabiki wenzako namna ya kuanalyse mpira
@HENRY14 ni miongoni mwa mashabiki wachache sana wa Arsenal wanaojielewa, huyu jamaa hata mkitofautiana mtazamo hua anatumia lugha ya kistaarabu kukujibu na kutetea hoja zake.
Mpaka sasa hivi nina idadi ya Arsenal members kama wanne ambao kabla hata ya kusoma commets zao hua naanza ku like maana nawajua ni mashabiki wanaojielewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…