Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naimani umesoma na post ya Aaron Arsenal hapo juu

Acha aende tu
 
Transfer fee arsenal alifika had package ya €95m pungufu 5 ya Chelsea

Tatizo kwenye mshahara Chelsea ndipo walipomzuzua ,Β£40-60k per week hii alikubaliana na Arsenal

Chelsea wakampa Β£160-200k per week

Ni kina Raphina ,kounde ,Jesus ndio walikataa mishahara mikubwa Chelsea alipo hijack deals


Kwa Arsenal hapo siwalaumu ,Ni ngumu Tena Sana Kama Bado hujawa proven kiasi kikubwa ,uje uanze na Β£160-200k
 
inavyo onekana hatutataka kumuuza na yeye hatataka kuondoka, haswa tukipata mafanikio kiasi.
 
Acha aende tu mkuu
Options za winger bado zipo nyingi sana sokoni
 
Shakhtar toka kitambo walionesha wanatukazia , Ofa yetu wakawa hawaitolei majibu

Kuna Kitu nimejifunza nilidhani kwa mudrky huu mwiko utavunjika

Mchezaji ambaye anakuwa anaonesha wazi wazi anaitaka Sana Arsenal huwa hasajiliwi unakumbuka ya

Zaha

Bissouma

Tielemans

N.k
 
Hahaha arse8 nawacheka hahaha eti muchezaji kasema anaitaka hii takataka hahaha ivi kuna muchezaji mwenye akili ake timamu aje kucheza kwenye timu yenye wachezaji wa kuunga unga!? Mudriky tayari darajani huko musimu ujao nawaonea huruma sana tambeni huu msimu akikisha munakuwa mabingwa ohoo Spurs piga hizi Mamaz πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kumbuka tulipomkosa Martinez ,tulimpata Zinchenko

Kwa hili siwalaumu bodi ,Tulifika Hadi €95m ,Lakini inaonekana Shakhtar hawakutaka kutupa mchezaji ,wakafanya mazungumzo ya Siri na Chelsea

Ndio maana toka jana Wakaanza kutu joke
Hamna hela ninyi tengenezeni kwanza mvuto timu iwashawishi wachezaji kuja
 
Huyu saka hajafika hata thamani ya Pepe yule mlipgwa na lile 🀣🀣🀣🀣
 
Huyu Saka hajafanya chochote kombe la Euro, World Cup hajafanya chochote Jana kombe lolote kubwa la maana halafu kuna vijidudu mtu apa vinasema thamani ake itafika hadi pound mil 250 kweli 🀣🀣🀣🀣
 
Acha aende tu mkuu
Options za winger bado zipo nyingi sana sokoni
hivi hakuna kijana aina ya eden hazard wa chelsea sokoni kwa sasa? naona type hiyo ndiyo inafaa kucheza nafasi za saka na martinelli akipumzika mmoja wapo na ku link na ode na vieira
 
HENRY14 umeongea kama mshabiki wa mpira wafundishe mashabiki wenzako namna ya kuanalyse mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…