Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hakuna cha mchakato wala nini that's is stupid excuse tuna squad yenye nguvu ila benchi la kifala na tuseme kuwa hao 11 players watacheza bila injuries up to June haiwezekani last year top 4 ilikosekanika sababu ya haya haya
Sema hata kuchoka, misuli itaanza kukaza, watalegea moja baada ya mwingine. Deep squad ni factor mojawapo kwa ubingwa wa EPL
 
Ngoja tuone labda kuna best option zingine zipo, nahis saiv Edu na wenzake watakua wameamka kuhusu kuchelewesha deal, kama timu haieleweki kukuuzia mchezaj achana nao basi
Aisee hizi negotiations zimechukua wiki almost 2 haziishi tu. Imetupotezea muda hata wa kufuatilia wachezaji wengine. Timu inabidi ifanye maamuzi magumu maana kukosa back up kwenye wings ama forward inaweza amua kama tutabeba ubingwa au lah.
 
Nakumbuka huyo one week ago alinibishia kwamba Mudryk anaipenda Arsenal hawezi kwenda Chelsea, haya sasa
Pole sana Aaron Arsenal
 
Hizi Kima tayari zimeshapigwa na kitu kizito, na kesho Spurs wanaenda kugongelea kitu kizito kingine.
Arsenyani nyinyi wachezaji wenu ni wale wa mafungu ambao wanajulikana kabla hata dirisha la usajili halijafunguliwa
 
Enzo tulitoa 100M ikakataliwa
 
Yule Guimaraes wa Newcastle alikua 40M Arsenal tukaona ubahili lakini yule ndiyo ilibidi awe anampa presha Partey ya kuperform.

Na hata leo tukisajili mid mkali na wing average mmoja mi sina tatizo
Inasikitisha sana sorry to say this now tunafuraha kuwa top katika EPL nikajua tupo serious na hali hii tutafanya register za maana kuongeza nguvu kwenye benchi letu but bila bila
 
Liva wasidhani wakisajili sana itasaidia. Chelsea ni uthibitisho kua signings hazitakutoa hapo ulipo
Acha kudanganya wewe, waache kuisajili washuke daraja
Nyie Arsenal mmetotoa vifaranga na sasa wamekuwa wakubwa. Sio kila timu inatotoa vifaranga
Wengine tunanunua kuku walubwa
 
Akili ndio zinaanza kurudi, miaka yote kinacho wafelisha Arsenal kinaanzia kwenye dirisha la usajili.
Wachezaji wa eftatu tatu hawawezi kuwafikisha popote.
Arsenal hatujafeli malengo..msimu huu malengo ni top 4 ila timu za title contender zime underperform wametutamanisha ubingwa ndio kinachotokea

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Akili ndio zinaanza kurudi, miaka yote kinacho wafelisha Arsenal kinaanzia kwenye dirisha la usajili.
Wachezaji wa eftatu tatu hawawezi kuwafikisha popote.
Malengo yanapangwa majira ya usajiri wa joto hapa january ni niongeza tuu kwa depth ya kikosi chetu tulijipanga top 4 ila timu yetu ime click kwa haraka na timu zengine zime underperform

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Arsenal hatujafeli malengo..msimu huu malengo ni top 4 ila timu za title contender zime underperform wametutamanisha ubingwa ndio kinachotokea

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Mkuu mimi binafsi nakuhakikishia kwa kikosi chenu hiki bila kuongeza wachezaji wa maana kwenye dirisha hili la usajili hio top 4 hamtoboi.
 
Mkuu mimi binafsi nakuhakikishia kwa kikosi chenu hiki bila kuongeza wachezaji wa maana kwenye dirisha hili la usajili hio top 4 hamtoboi.
Kikosi chetu sisi kidogo sana nakubaliana nawewe maana hata ile mechi ya Newcastle nje tulikua na Elneny,Tieney,Tomiyasu,Holding,Vieira,Lokonga... yani kwa kuangalia hamna wakubadilisha matokeo! Ila kwa upande wa pili mpira nao una mambo yake maana aliumia Partey hadi anarudi mmetufunga nyie tuu tena kwa mbinu mbinu tuu na mlituheshimu hamkutaka kushindana nasisi ila sasa wakati tupo full kikosi tumeshindwa kumfunga SOTON ambayo inaburuza mkia, umeona mpira jinsi ulivyo? na ndio sababu tunaupenda sana mpira wa miguu maana kuna mda haukupi unachofikiria,kwaio kumbe Lokonga huyu huyu alijitahidi kwenye baadhi ya mechi pia Arsenal msimu huu uzuri wetu tumechukua points sana kwenye hizi average timu kitu ambacho timu kubwa kimewashinda,

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…