Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Arsenal hii iiogope Man Utd???.. labda kama hujui mpira.Arsenal kwa sasa anaiogopa Man Utd zaodi kuliko anavyoiogopa City.
Hii kasi tunayokuja nayo imeshaanza kumtia kiwewe, hapo kileleni hana amani kabisa, muda wote anaweweseka akiogopa Utd kuja kumyang'anya tonge mdomoni.
Leo hii muulize Guardiola, achague kucheza na Arsenal au Man City, halafu jibu baki nalo.
Kuhusu ubingwa kama mnavyoojinadi sasa, naomba tukutane baada ya mechi 3 ukiwa na msimamo wa ligi, uutupie hapa kisha ndo tuanze kudiscuss ishu ya ubingwa.





