Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hakuna kitu kama hicho.

Hakuna timu ambayo hatuipendi kama Man Utd thus tutakua upande wa City na sababu kubwa ni kwamba mnajiona kama mshakaa vizuri kumbe mna safari ndefu, yani ushindi dhidi ya bottom teams ndo umewapa jeuri.
Tena kwa kuwasifia wachezaji wenu ndo mnaongoza. Leo hii mnakufuru kwa kusema Casemiro ndo best holding midfielder EPL kweli? Eti Rashford ndio top scorer wa mashindano.. dah!

Hii ni kufuru hii.

Na mnaenda mbali zaidi kwa kusema mnataka ubingwa!!

Timu ile ndo ya kugombania ubingwa kweli!
Tumetumia zaidi ya miaka 10 kumsubiri mpinzani wa kweli wa Lionel Messi katika kinyang'anyiro cha tuzo ya Ballon D'or.
Asante sana mkombozi Marcus Rashford, unayoyafanya sasa hayawezekani kwa mwanadamu mwengine wa kawaida ingawa Arsenyani kila siku kabla ya kulala wanakuombea dua mbaya uvunjike miguu yote miwili uwe unatembelea magongo.
 
Tumetumia zaidi ya miaka 10 kumsubiri mpinzani wa kweli wa Lionel Messi katika kinyang'anyiro cha tuzo ya Ballon D'or.
Asante sana mkombozi Marcus Rashford, unayoyafanya sasa hayawezekani kwa mwanadamu mwengine wa kawaida ingawa Arsenyani kila siku kabla ya kulala wanakuombea dua mbaya uvunjike miguu yote miwili uwe unatembelea magongo.
[emoji23][emoji23]minyumbu bana et rashd awe mpinzan wa messi ivi mnafkriaga kwa kutumia kiungo gan[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ni vilabu 3 pekee vilivyoshinda Kombe la Dunia la Klabu ya Fifa nchini Uingereza.
1.Chelsea.
2.Liverpool.
3.Manchester United.

Ni klabu 5 pekee ambazo zimeshinda Uefa Champions League nchini Uingereza.
1.Liverpool.
2.Manchester United.
3.Chelsea.
4.Nottingham Forest.
5.Aston Villa.

.ni vilabu 5 pekee vilivyoshinda Uefa Europa League nchini Uingereza.
1.Liverpool.
2.Chelsea.
3.Tottenham Hostpur.
4.Manchester United.
5.Ipswitch Town.

Ni klabu 5 pekee ambazo zimeshinda Uefa Super Cup nchini Uingereza.
1.Liverpool.
2.Chelsea.
3.Manchester United.
4.Nottingham Forest.
5.Aston Villa.
.
.
.
.
.kama unatafuta klabu ndogo kama Manchester City na Arsenal kwenye orodha hii, samahani huwezi kuzipata[emoji849][emoji849][emoji849]..
 
Ni vilabu 3 pekee vilivyoshinda Kombe la Dunia la Klabu ya Fifa nchini Uingereza.
1.Chelsea.
2.Liverpool.
3.Manchester United.

Ni klabu 5 pekee ambazo zimeshinda Uefa Champions League nchini Uingereza.
1.Liverpool.
2.Manchester United.
3.Chelsea.
4.Nottingham Forest.
5.Aston Villa.

.ni vilabu 5 pekee vilivyoshinda Uefa Europa League nchini Uingereza.
1.Liverpool.
2.Chelsea.
3.Tottenham Hostpur.
4.Manchester United.
5.Ipswitch Town.

Ni klabu 5 pekee ambazo zimeshinda Uefa Super Cup nchini Uingereza.
1.Liverpool.
2.Chelsea.
3.Manchester United.
4.Nottingham Forest.
5.Aston Villa.
.
.
.
.
.kama unatafuta klabu ndogo kama Manchester City na Arsenal kwenye orodha hii, samahani huwezi kuzipata[emoji849][emoji849][emoji849]..
[emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958]
images.jpg
 
Hakuna kitu kama hicho.

Hakuna timu ambayo hatuipendi kama Man Utd thus tutakua upande wa City na sababu kubwa ni kwamba mnajiona kama mshakaa vizuri kumbe mna safari ndefu, yani ushindi dhidi ya bottom teams ndo umewapa jeuri.
Tena kwa kuwasifia wachezaji wenu ndo mnaongoza. Leo hii mnakufuru kwa kusema Casemiro ndo best holding midfielder EPL kweli? Eti Rashford ndio top scorer wa mashindano.. dah!

Hii ni kufuru hii.

Na mnaenda mbali zaidi kwa kusema mnataka ubingwa!!

Timu ile ndo ya kugombania ubingwa kweli!
Sababu uliyoitoa ni uongo sababu yenu ya kuto kuipenda man u ni hii acheni janja janja.
20220630_080647.jpg
 
Wa Ukraine ,wanasema hakuna wakumuweka benchi Mudrky pale Arsenal


A new neymar

[emoji2788]| Ukrainian football coach Vyacheslav Hroznyi on Mudryk:

“He will play right away [in the starting XI at Arsenal].

“Now there is no one stronger than Mudryk in this position at Arsenal.” [UA-Football] [emoji1255][emoji837][emoji836]️ #afc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom