Lau Chelsea wangeniomba msaada nikafanya mazoezi wiki 3 tu, basi ningewasaidia saana kwenye nafasi ya Hutchinson.Hutchinson alikua analukaluka tu jana
Arsenyani nasikia wametuma maombi FA ya kusogezwa mbele mechi yao dhidi ya United.Tunawafata huko kwenye ligi kuwashusha..![]()
) Chelsea are not expected to meet Shakhtar's public valuation. They also want to understand if Mudryk is open to joining them. At this stage, and with Arsenal still in active talks, Mudryk has indicated he wants a move to the Emirates Stadium.(@JacobsBen)

Utd wanafanya vizuri kwenye mechi zao zilizopita, ila kipimo kizuri itakuwa ni dhidi ya City na Arsenal pale Emirates. Mpaka sasa mhimili ni Casemiro bado hamjawa na unity as a team. Ila ETG mkipa muda mnaweza kuwa washindani wa kweli na mkiachana na magalasa.Arsenyani nasikia wametuma maombi FA ya kusogezwa mbele mechi yao dhidi ya United.
Hata mashabiki wao hawana raha kabisa wanaishi kwa mashaka mashaka sana kila wakikumbuka jumamosi ndio wanakutana na wanaume wa shoka.
Mkuu Aaron Arsenal ,Arsenal next 2 games
Tottenham vs Arsenal
Arsenal vs Man United
Man City next 2 games
Man United vs Man City
Man City vs Tottenham
Man Utd next 2 games
Man United vs Man City
Arsenal vs Man United
Tottenham next 2 games
Tottenham vs Arsenal
Man City vs Tottenham
![]()
Hapo mbabe wetu ni City tu na safari hii tunamkazia vilevile. SasaUtd wanafanya vizuri kwenye mechi zao zilizopita, ila kipimo kizuri itakuwa ni dhidi ya City na Arsenal pale Emirates. Mpaka sasa mhimili ni Casemiro bado hamjawa na unity as a team. Ila ETG mkipa muda mnaweza kuwa washindani wa kweli na mkiachana na magalasa.
FlanoHapo mbabe wetu ni City tu na safari hii tunamkazia vilevile. Sasa
Nyinyi Arsenyani wala hamtuumizi kichwa, kama tuliwabamiza goli 3 kipindi ambacho timu ilikua ipo hovyo sasa hivi mtegemee kugongwa goli zaidi ya 6 kwenye mechi ijayo.
Fundi Anthony peke yake ana goli zake 3 hapo Emirates.
kinachofuata ni ku handle Transfer Request na kufanya BooycottCrazy that he’s publicly liking all these posts. Times have changedView attachment 2472034
Kwa mbali nikiangalia benc letu na namna tunavyokosa watu wa kubadilisha matokeo na kufanya rotation kuna muda natamani hata €100 kina edu watoe ili tumpate mykhaylo ila kuna sauti ya ndani inaniambia "remember hossam aour wa lyon" jamaa tuliwapa mpaka 40 wakakomaa na sijui 60 msimu mmoja tu akaporomoka balaaa mpaka paund 17m na bado akakosekana potential costomer to benefit club and playerCrazy that he’s publicly liking all these posts. Times have changedView attachment 2472034
na anaondoka bure summer hiiKwa mbali nikiangalia benc letu na namna tunavyokosa watu wa kubadilisha matokeo na kufanya rotation kuna muda natamani hata €100 kina edu watoe ili tumpate mykhaylo ila kuna sauti ya ndani inaniambia "remember hossam aour wa lyon" jamaa tuliwapa mpaka 40 wakakomaa na sijui 60 msimu mmoja tu akaporomoka balaaa mpaka paund 17m na bado akakosekana potential costomer to benefit club and player
Hivi nani anakumbuka kwamba arsenal tulitoa mpaka pauni 75m kwa thomas lemmar? Dogo akaleta dharau na timu yake ikazingua.kilichotokea kila mtu anakijua, hawa farmers league players ni wakununua kwa umakini mnoKwa mbali nikiangalia benc letu na namna tunavyokosa watu wa kubadilisha matokeo na kufanya rotation kuna muda natamani hata €100 kina edu watoe ili tumpate mykhaylo ila kuna sauti ya ndani inaniambia "remember hossam aour wa lyon" jamaa tuliwapa mpaka 40 wakakomaa na sijui 60 msimu mmoja tu akaporomoka balaaa mpaka paund 17m na bado akakosekana potential costomer to benefit club and player
Aje kwetu tuna anaondoka bure summer hii
toobiter kuna interview moja ya Edu alikuwa anasema kitu cha kwanza ilikuwa nikuweka foundation nzuri kwenye timu alafu baadae wataenda kwa kubalance timu kwa kuchukua wachezaji wenye quality kwa maana ya mchezaji ghali kila msimu. Kilichotokea msimu huu mimi na wewe hatukujua kama tungekuwa hapo tulipo.Kwa mbali nikiangalia benc letu na namna tunavyokosa watu wa kubadilisha matokeo na kufanya rotation kuna muda natamani hata €100 kina edu watoe ili tumpate mykhaylo ila kuna sauti ya ndani inaniambia "remember hossam aour wa lyon" jamaa tuliwapa mpaka 40 wakakomaa na sijui 60 msimu mmoja tu akaporomoka balaaa mpaka paund 17m na bado akakosekana potential costomer to benefit club and player