Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

COYG !!
1672760189796.jpg
 
Newcastle wanapress 433 narrow block km liverpool ila FBs wao hawaendi kusaidia press wanabaki chini, wings zao zinapress CBs maanake FBs wetu wanabaki free na ndio maana naona Zinny ni vizuri aanze na naamini Eddie howe asipochange approach yake tukiwa na mpira Zinny atacheza sn kwenye midfield kuoverload, sasa Zinny ukimpa time on ball what next?? Newcastle kitachowabail out leo ni physicality yao na Kutegemea Transition km game yetu dhidi ya Man u.
Newcastle lazima akubali leo kukaa nyuma

Ukiwa Emirates ,eneo la kiungo sio Mali yako

Zinny anaanza maana mpira muda mwingi utakuwa wetu
 
Mkuu Aaron Arsenal wewe ni muoga sana mechi zikianza unaogopaga mpaka kuingia kwenye thread yenu hii.

Hapa tutakuona mpira ukiisha kuja na uchambuzi wako maandazi mkifungwa ndo tuta kusaau hapa kama wiki 2 hivi.

Kiufupi wewe ni shabiki kama arsenal ikiwa inafanya vizuri ndo uingia kuchangia hapa.

Anyway karibu sana pale OT Manchester united inacheza leo na arsenal fans wote mna furaha
 
Mkuu Aaron Arsenal wewe ni muoga sana mechi zikianza unaogopaga mpaka kuingia kwenye thread yenu hii.

Hapa tutakuona mpira ukiisha kuja na uchambuzi wako maandazi mkifungwa ndo tuta kusaau hapa kama wiki 2 hivi.

Kiufupi wewe ni shabiki kama arsenal ikiwa inafanya vizuri ndo uingia kuchangia hapa.

Anyway karibu sana pale OT Manchester united inacheza leo na arsenal fans wote mna furaha
Aje United apate furaha ya dhati kutoka ndani kabisa kwenye uvungu wa moyo.
Huyu jamaa Aaron Arsenal siku hizi namuelewa sana, kwanza jamaa yuko very humble hata nikijitahidi kumkera vipi yeye anakuja na maneno matamu tu yenye kulainisha moyo.
Mashabiki wote wa Arsenyani wangekua kama yeye hili chama lao lingekua limefika mbali sana kwenye maendeleo ya soccer, huenda hata FA wangewapandisha daraja wakafikia level ya kuitwa United.
Wangekua sasa hivi wanajidai kwa kuitwa Arsenal United
 
Hizi kima za Arteta mpira umewashinda sasa hivi zimeamua kutembeza kiatu tu, kipindi cha pili wasipochezea umeme basi mechi inayofata kwa hizi njano wanazokula lazima watapigwa shoti.
Kwa mbali naona majira ya roho ya kumtoa nje ya top 4 ikiwadia kwa huyu kiumbe mwenye kimdomo kirefu.
 
Back
Top Bottom