Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Composure lost, clear chances created, but ball kicked blindly
Sio akianza kuweka hela tayari ameshaweka na wana wachezaji wenye profile nzuri tuAaron Arsenal last week I told you game vs Newcastle haitakuwa nyepesi kabisa ukakataa tuombe Mungu tupate positive results but najua unajionea hawa jamaa walivyochange Newcastle ya sasa sio kama ile uliyokuwa unaifikiria miaka ya zamani na siku wakianza kuweka mpunga inawezekana ikawa team ngumu zaidi kufungika tuendelee kusali tukiomba tupate positive results kwa gap la 10 points
Nilimwambia Aaron Arsenal Newcastle ya sasa ni ngumu kufungika kafungwa na Liverpool tena goal dk ya 98 kwa kweli wajamaa wamestahili kuwepo hapo walipo sema kama ataingia champions league watapata players wazuri zaidi ya hawa Next games Spurs and Manchester United we have to win hizi games naona ligi inaanza kuwa tight zaidi ya janaSio akianza kuweka hela tayari ameshaweka na wana wachezaji wenye profile nzuri tu
Yani mshindwe kumfunga Newcastle mje kusumbua watu tupo serious na mambo yetu!Nilimwambia Aaron Arsenal Newcastle ya sasa ni ngumu kufungika kafungwa na Liverpool tena goal dk ya 98 kwa kweli wajamaa wamestahili kuwepo hapo walipo sema kama ataingia champions league watapata players wazuri zaidi ya hawa Next games Spurs and Manchester United we have to win hizi games naona ligi inaanza kuwa tight zaidi ya jana
Manchester United lazima afe game nyepesi sana hiyoYani mshindwe kumfunga Newcastle mje kusumbua watu tupo serious na mambo yetu!
Yani mshinde London Derby halafu mumfunge na United. Hatugawi points sisi.![]()
Dah na ndo maana deal la mykhailo mudryk linapushiwa kwa nguvu.fulbacks alikuwepe tommy na tierney,kiungo lokonga pekee,kwenye wings marquinhos na viera.sub ya nketiah haikuwepo.holding simuamini hata kidogoArsenal hatuna sub kabisa
Amka wewe,acha ndoto za ajabuArsenal ni mke muaminifu kwa mume wake (Man United) msimu huu kagoma kugawa utamu kwa kila mtu akimsubiria mume wake atoke safari ampe cha 'Happy New Year'
3 points nazichukulia Emirates. EPL haiwezi kutoa bingwa kama Arsenal wakati ambao United tuna uwezo wa kuzuia hilo.![]()
Arsenal ikiwa ya kawaida man u iwejeMkuu Aaron Arsenal a.k.a chambuzi lenye linatokea arsenal ikishinda tu.
Manchester tulivyotoka draw na Newcastle ulidhania sisi wabovu sana na kunukuu.
Kama Newcastle imepelekewa moto na manyumbu hivi sisi arsenal kwa ball letu lile tutapiga goli nyingi sana.
Hivi mkuu ujui Newcastle kapoteza game moja tu dhidi ya Liverpool arsenal ni timu ya kawaida sana.
Man u waliwafanyaje?Mashabiki wa timu pinzani mnafurahi kuona tunashare point..
Hio ndo itakua furaha yenu msimu huu maana kufungwa imeshindikana sasa mnaomba tutoe hata sare.![]()