Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Arsenal Contracts talks with both Saka and Saliba are progressing well(@kayakaynak97
)football.london/arsenal-fc/new…
Arsenal Contracts talks with both Saka and Saliba are progressing well
)
Sioni mchezaji wa kumuweka Martinelli benchi. Mudrky amezoea kucheza farmers league ndio aje kumweka mzoefu wa kazi za epl? Mimi nategemea Mudrky akija ataanza kuwika baada ya misimu miwili.Felix wanataka aje acheze False 9, pia kuongeza depth ya kikosi
Mudrky anakuja kucheza LW , Martinell kazi anayo
Kuna Smith Rowe ameanza Full training tayari , huyu Kule LW ,AM kwa Øde anapaweza vzr tu,
Kuna Fabio Vieira huyu AM kwa Øde anapaweza vzr ,pale kwa Xhaka anacheza ,Kule RW kwa saka anapaweza pia
Nionavyo Usajili wa Mudrky na Kama atakuja Felix ,akifanya vzr ,summer tumchukue jumla ,then Tutafute DM , LCB Basi .
Tutakuwa na kikosi kipana katika Defense, Midfield na Attacking
Mimi namkubali Sana Smith Rowe na Martinell Kule LW , ila nilitenga muda kumfatilia Mudrky kuanzia mechi za UCL , yule mtoto kwenye Speed hawaachani Sana na Martinell ,Sioni mchezaji wa kumuweka Martinelli benchi. Mudrky amezoea kucheza farmers league ndio aje kumweka mzoefu wa kazi za epl? Mimi nategemea Mudrky akija ataanza kuwika baada ya misimu miwili.
Felix namuona mchezaji wa kawaida sana maana kama ligi soft ile ya Spain ameshindwa kuwika ndio ataweza huku epl kwa wavunja kuni? Anyway, ngoja tumuamini arteta na edu kwenye maamuzi yao.
Arsenal wametuma ofa iliyoboreshwa kwa ajili ya Mudryk, sasa Shakhtar wanafikiria kukubali au kuendelea na mazungumzoWaache ujinga wachukue helaArsenal wametuma ofa iliyoboreshwa kwa ajili ya Mudryk, sasa Shakhtar wanafikiria kukubali au kuendelea na mazungumzo
( SportsArena Ukraine )
Ila Chelsea wanazingua Sana aiseeMuda ni mwalimuView attachment 2466805
Wanajichosha tu. Mchezaji mwenyewe kishasema anaitaka ArsenalIla Chelsea wanazingua Sana aisee
Hawapoi hawaboi ,sijui dili gani hawajatia mguuWashatia maguu![]()

Wanakusanya wachezaji alafu wapo ktk relegation zoneHawapoi hawaboi ,sijui dili gani hawajatia mguu
Hendrick waliingilia Kati ,ikabid Madrid akaze
Enzo Fernandes Liverpool walijua wapo peke Yao, Sasa Hivi Liverpool kakimbia
Dili la Gapko nadhani wangepata taarifa mapema , Liverpool angekiona Cha Moto
Bellingham Bado wapo
Kwa Felix wapo







| @sr_collings: “It is understood that Shakhtar are currently only in talks with Arsenal over Mudryk. Kukiwasha ama kutokukiwasha inategemea na vingi..Sioni mchezaji wa kumuweka Martinelli benchi. Mudrky amezoea kucheza farmers league ndio aje kumweka mzoefu wa kazi za epl? Mimi nategemea Mudrky akija ataanza kuwika baada ya misimu miwili.
Felix namuona mchezaji wa kawaida sana maana kama ligi soft ile ya Spain ameshindwa kuwika ndio ataweza huku epl kwa wavunja kuni? Anyway, ngoja tumuamini arteta na edu kwenye maamuzi yao.
Ona bhangi hizi!Yaani ile mechi ya OT imewapa kiburi Sana, japo ile mechi ilikuwa mwanzoni ,sikuondoa matarajio ya kugombea ubingwa
Niliangalia ile performance ,nikasema wengi hawatapona
Sasa pale Emirates Kuna utaratibu upo siku hizi, mashabiki Wana push Sana matokeo ,hivo uwe unajua hujui , Kuanzia Kwa xhaka Ode Martinell saka wanakuja Kama nyuki
Kwasasa ndio uwanja wenye atmosphere hatari ,
Liverpool Ni mbabe Sana ku press ,tulimsaka Lile goli la 3 ,ilipigwa piga nikupige had penalty ikatokea ,then tukatulia tukamaliza mechi
Sasa man u Kama pale OT alipata zari la Lokonga kupiga pass ovyo wakapiga kaunta , Emirates hiyo nafasi haipo , Kama unakumbuka tukiwa 1-1 tuliwasaka Sana wakarudi nyuma , kabla lokonga hajachoma ,Safari Partey Xhaka Zinny ndani
Dah umeongea point SanaKukiwasha ama kutokukiwasha inategemea na vingi..
Mbona martinelli katokea ituano kipindi hicho inacheza sijui serie D, sijui C na akakiwasha vizuri.
Mudryk ni mchezaji mzuri, martineli itabidi ajichunge saana.
Joao kuna ishu ya pesa tu, ila mpira wa arsenal unaweza ukamrudisha joao yule wa benfica.
Shida yenu hii ,mnaangalia mpira matokeo tu,ile mechi ya OT mnaona kama mliikamata ,Ona bhangi hizi!
Kipindi anaanza nilikuwa namuona martinelli kama CF zaidi.Dah umeongea point Sana
Kuna kipind bhana hiyo LW alikuwa anacheza Auba ,sikuwahi kuamini martinel atakuja kuchukua hiyo namba
Nimemuangalia Mudrky ,uzuri anakuja mikononi mwa Arteta ,anajua kukaa na vijana na Ni mwalimu mzuri wa mawinga
Anzia Saka kutoka Beki ,kiungo ,LW no RW hatari Sana, njoo Martinell alikuwa sio huyu ,njoo Smith Rowe toka academy had anaenda loan Ni No.10 ,Ila chini ya Arteta ilionekana ujio wa Øde ,Basi hawataweza kucheza wote, but Arteta alitushangaza aliwatumia wote ,Smith Rowe akitokea LW na akafunga goli 10+
Di Zerbi anasema Mudrky anamtabiria makubwa mbeleni kuchukua hata balloon dor
Kwahiyo nakubaliana na wewe , kwanza Martinell anaweza kupelekwa CF na Mudrky LW
Yah hata Mimi nilimuona hivo na inasemekana ameicheza Sana hiyo nafasi ituano , akifunga Sana ,Kipindi anaanza nilikuwa namuona martinelli kama CF zaidi.
Umenukumbush ishu y ode kumbe nae ligi ya spain ilimshinda kama Joao na kaja kuwaka EPL.
mpira una mambo mengi, joao uchawi hiyo pesa yake ila nina matumaini nae hata mudryk.. Si wachezaji ambao wakija wakifeli nitalalamika kwanini walisajiliwa. Wanaendana na soka la arteta