King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,980
- 4,942
Mkuu ninachokupendea huwa upo confidence na uchambuzi wako uchwara, hata kabla ya ile mechi yetu ya kwanza nanyie uliongea mbwembwe nyingi lakini hukuamini kilichowatokea.Shida yenu hii ,mnaangalia mpira matokeo tu,ile mechi ya OT mnaona kama mliikamata ,
Mpira una vitu vingi , ndio maana walioifatilia Arsenal last season 2nd round , hawapo surprised na anachofanya Sasa.
Totenham alianza anashinda kwa mpira wa ovyo Kama man u Sasa ,mkampa u Title contender ,Sasa Hivi yupo wapi?
Sasa huu ushindi wenu wa 1-0 mpira wakuzuia ,umewapa kibri mnasema mnautaka ubingwa ,
Nawakumbusha Spurs alikuwa zaidi ya nyie Mwanzo wa Ligi , pundits wote mkawapa uningwa
Lakini niseme tu mda mwingine pia hua unaongea ukweli wenye point kubwa mkuu, sasa kwani hujui kuwa ten hag bado anatengeneza timu kidogo kidogo napia nakutengeneza matokeo mazuri bila hivyo achelewi kupugwa, hivyo lazma aendane sawa na presha ya klabu kubwa ya man united.

Arsenal new bid is more than 50m euros guaranteed. Arsenal are moving fast even though Chelsea are trying for the player. The player wants to join Arsenal as a priority.
)
| Smith Rowe training with #Arsenal squad at London Colney today #afc
