King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,314
- 5,988
Wew boya unajua mpira gany! Nyie arsenal mmeshatufunga mzunguko wa kwanza au unota! Kima wew.Hivi watu kama hawa wasiojua mpira wanajibiwa?
Wew boya unajua mpira gany! Nyie arsenal mmeshatufunga mzunguko wa kwanza au unota! Kima wew.Hivi watu kama hawa wasiojua mpira wanajibiwa?
Nitakukumbusha kaka ...ntakupiga goli zaidi ya 3 na mpira mwingi sanaJibu swali msimu huu ushanifunga! au unambwela mbwela tu.
Sawa kaka tusubirie game ya mrudiano Kaka.Nitakukumbusha kaka ...ntakupiga goli zaidi ya 3 na mpira mwingi sana
Kwani huu mzozo una muda basi, si ni baada ya siku 20 tu tutakuwa tumepata majibu. Wewe pamoja na samadi wenzako hatutawaona tena humu maana mtakuwa mnachungulia tu na vidole vitakuwa vizito kutype utumbo kama huu.Wew boya unajua mpira gany! Nyie arsenal mmeshatufunga mzunguko wa kwanza au unota! Kima wew.
Sawa chiefSawa kaka tusubirie game ya mrudiano Kaka.
Kama ndio unavyodanganywa na hilo dishi lako lililoyumba, basi wew ni zaidi ya kituko na baada ya hizo siku 20,matokeo yake yatakufanya ubadilishe housing ya dishi lako.Kwani huu mzozo una muda basi, si ni baada ya siku 20 tu tutakuwa tumepata majibu. Wewe pamoja na samadi wenzako hatutawaona tena humu maana mtakuwa mnachungulia tu na vidole vitakuwa vizito kutype utumbo kama huu.
Martinelli alikaa misimu mitatu nadhani kabla hajaanza kuwa kikosi cha kwanza. Kipaji sio kigezo kuwika kwenye ligi ndio maana yule dogo Marquinhos bado anakaa nje.Kukiwasha ama kutokukiwasha inategemea na vingi..
Mbona martinelli katokea ituano kipindi hicho inacheza sijui serie D, sijui C na akakiwasha vizuri.
Mudryk ni mchezaji mzuri, martineli itabidi ajichunge saana.
Joao kuna ishu ya pesa tu, ila mpira wa arsenal unaweza ukamrudisha joao yule wa benfica.
Mtaalam wa 3rd man runner, namkubali sana[emoji991]| Smith Rowe training with #Arsenal squad at London Colney today #afcView attachment 2466982
One two kwenye tight space anazijua SanaMtaalam wa 3rd man runner, namkubali sana
Tuwakumbushe tu, hao Brentford tuliwapiga hapo hapo kwao 3-0 tena bila ya Saka.tukiwapiga sisi hao Brentford wanasema average team haya sasa wafungeni na nyinyi[emoji3][emoji3][emoji3]
One among many other easiest fixtures for Arsenal this seasontukiwapiga sisi hao Brentford wanasema average team haya sasa wafungeni na nyinyi[emoji3][emoji3][emoji3]