Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Edu Gaspar(Arsenal sporting Director)


alisema mwaka jana

"Tunajenga foundation ya team na kurudisha style yetu ya uchezaji hivyo ni ngumu kununua wachezaji wa bei kubwa kwa dirisha moja ila tukishaweka foundation ya team mbeleni tutakua tunajazia tu kwa mchezaji mmoja au wawili Quality (wa bei kubwa) kila dirisha"
IMG_20221214_131250.jpg
 
USAJILI WA JIA FELIX

Atletico Madrid wanataka package ya €21m (15 loan fee ,6 full salary)

Timu zinazomtaka Arsenal,man u na Chelsea wote wanaona Ni pesa kubwa ,wapo tayari kulipa nusu tu ya gharama

The Ornstein Article mentions that no team is willing to pay the full loan fee and all interested parties willing to pay less than half of the loan fee but will pay the salary. United and Chelsea want more traditional number 9 as per the article.


So let's see what happens.
 
USAJILI WA JIA FELIX

Atletico Madrid wanataka package ya €21m (15 loan fee ,6 full salary)

Timu zinazomtaka Arsenal,man u na Chelsea wote wanaona Ni pesa kubwa ,wapo tayari kulipa nusu tu ya gharama

The Ornstein Article mentions that no team is willing to pay the full loan fee and all interested parties willing to pay less than half of the loan fee but will pay the salary. United and Chelsea want more traditional number 9 as per the article.


So let's see what happens.
joao felix ni mchezaji mzuri lkn sioni kama ni deal ambayo kweli arteta anaitolea sna macho..

gharama itayotumika kwa loan deal ;ni bora ingetumika kuimarisha maeneo mengine..
 
ChelKenge mtoe kabisa hata kugombea top 6,

Amebaki manyumbu Yana mdomo Sana, wanasema wanapigania ubingwa Sasa

Wewe timu inashinda ushindi ambao upo karibu na kufungwa au sare
Sisi Man Utd tunasema kwa huohuo ushindi ambao upo karibu na kufungwa au sare ila tunakuhakikishia mpaka ligi inaisha lazima tuwe juu yenu kwa point kadhaa.

Ni Fedheha na aibu kubwa sana kwa United kumaliza ligi ikiwa ipo chini ya Arsenyani kwenye msimamo wa ligi.

# Kataa wahuni
 
Acha

Acha ulozi Mzee maana huyo unaemuomba sisi twamuomba pia na Dua zetu zamfikia . Hichi kikombe hatujakinyanyua miaka mingi mno Mzee acha tukipate angalau msimu huu. Bado safari ni ndefu na tunaweza kukikosa ila ni Bora kukipata Ili nasi tuvimbe mtaani.
Broo mkibahatika kubeba ndoo sisi huku tutateseka sana mtaani, na kwa jinsi mashabiki wa Arsenyani wanavyojua kutukana wakishakunywa Viroba sijui hali itakuaje.

Ila yote kwa yote pamoja na matokeo mazuri mnayoyapata kipindi hiki ila bado project yenu inahitaji miaka 5 mbele kuweza kubeba kombe kubwa kama Epl au Europa/Uefa.


#Kataa wahuni
 
Broo mkibahatika kubeba ndoo sisi huku tutateseka sana mtaani, na kwa jinsi mashabiki wa Arsenyani wanavyojua kutukana wakishakunywa Viroba sijui hali itakuaje.

Ila yote kwa yote pamoja na matokeo mazuri mnayoyapata kipindi hiki ila bado project yenu inahitaji miaka 5 mbele kuweza kubeba kombe kubwa kama Epl au Europa/Uefa.


#Kataa wahuni
EPL ipi tena na wewe!

Hhm!
Hii ndo shida ya kunywa pombe asubuhi.
 
@FabrizioRomano on Mudryk-

"Arsenal have to be fast, this is really important; talks are still ongoing with Shakhtar to reach an agreement in the next days. "

(@caughtoffside )
 
Zile story kutoka The Athletic kuwa man u hawana pesa kwasasa ,na sajili wanazoweza kufanya Ni loan Zina Ukweli mkubwa

Nao wanataka wapunguziwe loan fee ,manyua Hawa waliotoka kupigwa €100m kwa Anthony,leo wanaomba bargain

Ushindani umebaki Arsenal & man u

Chelsea kajitoa ,anapambania dili la Enzo
Screenshot_20230102-113650~2.jpg
 
USAJILI WA JIA FELIX

Atletico Madrid wanataka package ya €21m (15 loan fee ,6 full salary)

Timu zinazomtaka Arsenal,man u na Chelsea wote wanaona Ni pesa kubwa ,wapo tayari kulipa nusu tu ya gharama

The Ornstein Article mentions that no team is willing to pay the full loan fee and all interested parties willing to pay less than half of the loan fee but will pay the salary. United and Chelsea want more traditional number 9 as per the article.


So let's see what happens.
Yan mkopo tu wa miez minne hadi mitano kias chote icho daah hawa Atletico vipi,
 
Broo mkibahatika kubeba ndoo sisi huku tutateseka sana mtaani, na kwa jinsi mashabiki wa Arsenyani wanavyojua kutukana wakishakunywa Viroba sijui hali itakuaje.

Ila yote kwa yote pamoja na matokeo mazuri mnayoyapata kipindi hiki ila bado project yenu inahitaji miaka 5 mbele kuweza kubeba kombe kubwa kama Epl au Europa/Uefa.


#Kataa wahuni
Hahahahah relax bro sisi ni wastaarabu. Kama ni kelele tutapiga kidogo tu siku ya kwanza na ya pili maana tutakuwa na vibe na wenge kutokana na kukikosa karibia 20 years. Yaani mtoto anazaliwa mpaka anaanza chuo na wengine wamekulana kimasikhara na kuzaa na wao, sisi Bado hatujachukua kikombe. Daah. Lazima pachimbike mzee, it's only natural. Ila wapinzani mtaishi Kwa amani tu baada ya siku mbili
 
USAJILI WA JIA FELIX

Atletico Madrid wanataka package ya €21m (15 loan fee ,6 full salary)

Timu zinazomtaka Arsenal,man u na Chelsea wote wanaona Ni pesa kubwa ,wapo tayari kulipa nusu tu ya gharama

The Ornstein Article mentions that no team is willing to pay the full loan fee and all interested parties willing to pay less than half of the loan fee but will pay the salary. United and Chelsea want more traditional number 9 as per the article.


So let's see what happens.
Ni nyingi mno kwa loan ya 6 months,saraly sio shida ....tatizo utaonekana boya kutoa 21m + saraly of six months wakati Kwa hela hiyo ukiingia chimbo waweza ibuka na mchezaji mzuri tu,

Cz liverpool wametoa 37m kwa Gapko na saraly yake ni normal tu na ni mchezaji mzuri.....

Tusubiri tuone,
 
Ni nyingi mno kwa loan ya 6 months,saraly sio shida ....tatizo utaonekana boya kutoa 21m + saraly of six months wakati Kwa hela hiyo ukiingia chimbo waweza ibuka na mchezaji mzuri tu,

Cz liverpool wametoa 37m kwa Gapko na saraly yake ni normal tu na ni mchezaji mzuri.....

Tusubiri tuone,
Kumbe hiyo 21m imekuwa included na mshahara wake wa miezi 6 humo ndani,ok
But atleast wangefanya 15m ikiwa n8 full package ya fee na saraly
 
Hahahahah relax bro sisi ni wastaarabu. Kama ni kelele tutapiga kidogo tu siku ya kwanza na ya pili maana tutakuwa na vibe na wenge kutokana na kukikosa karibia 20 years. Yaani mtoto anazaliwa mpaka anaanza chuo na wengine wamekulana kimasikhara na kuzaa na wao, sisi Bado hatujachukua kikombe. Daah. Lazima pachimbike mzee, it's only natural. Ila wapinzani mtaishi Kwa amani tu baada ya siku mbili
Hio amani labda tuipate kwa kutumia ncha ya upanga.
Hivi wewe hao mashabiki wa Arsenyani unawajua vizuri au unawasikia tu?
Walivyoshinda FA tu tulikua hatupumui mpaka tukawekewa mitungi ya Oxygen.

Man utd sisi furaha yetu ni kuziona hizi kima kila siku zinakua hivi.
IMG_20230102_141107.jpg
 
|| Arsenal have a secret agent in Thomas Partey, who has remained in constant contact with João Félix, in bringing the Portuguese Forward to the Carpet [Via - @TheAthleticFC].

|| Arsenal really like João Félix and some key, influential figures at the club think he’ll be a great addition, especially on loan [Via - @TheAthleticFC].
 
USAJILI WA JIA FELIX

Atletico Madrid wanataka package ya €21m (15 loan fee ,6 full salary)

Timu zinazomtaka Arsenal,man u na Chelsea wote wanaona Ni pesa kubwa ,wapo tayari kulipa nusu tu ya gharama

The Ornstein Article mentions that no team is willing to pay the full loan fee and all interested parties willing to pay less than half of the loan fee but will pay the salary. United and Chelsea want more traditional number 9 as per the article.


So let's see what happens.
Huyo Felix atakuja kucheza namba ya nani? Mimi ningekuwa mfanya maamuzi labda ningelipa salary pekee na si vinginevyo.

Wanaweka bei kubwa hivyo kwenye loan kwasababu wao walipigwa na benfica. Bora kununua yule dogo kiungo wa Aston villa kwa 35 kuliko kutoa 21 kwa Felix 6months loan.
 
Huyo Felix atakuja kucheza namba ya nani? Mimi ningekuwa mfanya maamuzi labda ningelipa salary pekee na si vinginevyo.

Wanaweka bei kubwa hivyo kwenye loan kwasababu wao walipigwa na benfica. Bora kununua yule dogo kiungo wa Aston villa kwa 35 kuliko kutoa 21 kwa Felix 6months loan.
Lazima uwe na kikosi kipana na uwe na long plan na short plan...kunakipind SAF alimleta Henrik Larson January akamsaidia kutwaa EPL,kwaio kama wachezaji wanapatikana ambao wataingia kwenye mfumo au watasaidia kutwaa taji unachukua hata kwa mkopo
 
Huyo Felix atakuja kucheza namba ya nani? Mimi ningekuwa mfanya maamuzi labda ningelipa salary pekee na si vinginevyo.

Wanaweka bei kubwa hivyo kwenye loan kwasababu wao walipigwa na benfica. Bora kununua yule dogo kiungo wa Aston villa kwa 35 kuliko kutoa 21 kwa Felix 6months loan.
Felix wanataka aje acheze False 9, pia kuongeza depth ya kikosi

Mudrky anakuja kucheza LW , Martinell kazi anayo

Kuna Smith Rowe ameanza Full training tayari , huyu Kule LW ,AM kwa Øde anapaweza vzr tu,

Kuna Fabio Vieira huyu AM kwa Øde anapaweza vzr ,pale kwa Xhaka anacheza ,Kule RW kwa saka anapaweza pia

Nionavyo Usajili wa Mudrky na Kama atakuja Felix ,akifanya vzr ,summer tumchukue jumla ,then Tutafute DM , LCB Basi .

Tutakuwa na kikosi kipana katika Defense, Midfield na Attacking
 
Huyo Felix atakuja kucheza namba ya nani? Mimi ningekuwa mfanya maamuzi labda ningelipa salary pekee na si vinginevyo.

Wanaweka bei kubwa hivyo kwenye loan kwasababu wao walipigwa na benfica. Bora kununua yule dogo kiungo wa Aston villa kwa 35 kuliko kutoa 21 kwa Felix 6months loan.
Hiyo Pesa €21m Timu zote hata wale wapigwaji wamegoma kutoa hiyo Pesa

Kwa miezi 6, Ni kupigwa ,what if akawa flop ,

Timu zinazomtaka wanaona ukiongeza €10m+ unaweza kuvuta Mchezaji mdogo mzuri ukawa uwekezaji hata wa miaka 10
 
Back
Top Bottom