Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

| Smith Rowe training with #Arsenal squad at London Colney today #afcView attachment 2466982
Huyu kama atakuja kupata namba basi ndio ataamua Hatma ya ubingwa kwa Arsenal kutokana na mchango wake wa magoli

Kwanza ana bahati sana na magoli, na pia magoli yake waga ni yale muhimu tu kama vile ilivokuwa kwa bwana Park wa Man u kitambo kile
 
Smith Rowe anaweza kuanza kupata dakika wikiend hii dhidi ya Oxford FA CUP
IMG_20230102_212037.jpg
 
Mwaka Jana Arteta alisema anataka timu ifunge goli 100 , alisema hatuwezi kupigania mataji Kama hatuwezi kufika goli 100

Pale mbele kila mmoja anatakiwa angalau kuchangia Goli 15

Eddie tunamdai Goli 5 angalau

Gabriel Jesus had anaumia ana G/A 11

SAKA & MARTINELL wanauwezo wakutoa G/A 40

FB_IMG_1672730056429.jpg
 
USARA ZA GWIJI LA HIGHBURY

🤏 Kuna tetesi Ambazo ni Genuine kumuhusu Winger Wa Shaktar huko Ukrane Mykhailo Mudryk Nimeona binafsi kwanini Arsenal wana Pambana kumpata huyu

🤏 Sifa Moja kubwa Arteta anapenda kwa wachezaji wake ni Versatility (ukiraka) yani mchezaji aweze kuoperate kwenye nafasi tofauti tofauti kulingana mahitaji mifano ,White, Zinchenko, Partey, Jesus,Vieira, Martinell, Smith Rowe, nk

🤏 Hivyo basi Arteta anamuhitaji huyu sababu anaweza operate maeneo tofauti moja Mudryk ni both footed player nikimaanisha anaweza kutumia miguu yote kwa usahihi

🤏 Kwa Mazingira haya unaweza kumtumia LW na RW kulingana unachohitaji

🤏 Mudryk ana kasi ( Pace) hivyo anaweza kutupa technical quality endapo tutahitaji kushambulia kupitia pembeni na kutengeneza mazingira 1vs 1 Mudryk anaweza kubeat defender sababu kasi pia dribbling skills

🤏 Ukiacha versatility Mudryk sio winger wa kutengeneza nafasi tu anafunga Pia huyu hivyo basi kama atakuja bado atatusaidia kwenye attacking threats sababu team yetu haitegemei mtu mmoja kufunga bali System kiufungaji ukitaka kuamini nachozungumza angalia distribution ya ufungaji msimu huu wacheza 3 wana goal 7

Licha kwamba Arsenal hatuchezi Counter muda mrefu ila kuna muda tunacheza counter hapa ndipo tunakuja kumfaidi vizuri kama Atasajiliwa yangu ni hayo

Amigo adios hermanosView attachment 2467611
IMG-20230102-WA0291.jpg
 
Nyie kima msijisahaulishe na kipigo cha Liverpunda jana.
Leo mnacheza na Epl contender 2022/2023 Newcastle United, mjiandae kabisa kuchezea dhakari za kina Bruno Guimaraes, Joelinton, Joe Willock, Allan Saint-Maximin, Miguel Almiron, Callum Willson bila kumsahau macho mlegezo Alexander Isak.
Screenshot_20230103_104130.jpg
Screenshot_20230103_104101.jpg
Screenshot_20230103_104008.jpg
Screenshot_20230103_103942.jpg
 
Nyie kima msijisahaulishe na kipigo cha Liverpunda jana.
Leo mnacheza na Epl contender 2022/2023 Newcastle United, mjiandae kabisa kuchezea dhakari za kina Bruno Guimaraes, Joelinton, Joe Willock, Allan Saint-Maximin, Miguel Almiron, Callum Willson bila kumsahau macho mlegezo Alexander Isak. View attachment 2467615View attachment 2467616View attachment 2467617View attachment 2467618
Flano 😃😃

Newcastle atapigwa kama ngoma anaenda Emirates kupaki bus na kusubiri counter attack hii mechi inapewa uzito na mashabiki wa Utd. Mechi niliyoona ngumu kwa Arsenal msimu huu ilikuwa ni ya Leeds Utd na mechi ya Brighton & Hove Albion.

Ila Newcastle si timu inayocheza kimbinu sana. Mwisho wa siku mpira dkk 90 mkuu lolote linaweza kutokea.
 
Flano

Newcastle atapigwa kama ngoma anaenda Emirates kupaki bus na kusubiri counter attack hii mechi inapewa uzito na mashabiki wa Utd. Mechi niliyoona ngumu kwa Arsenal msimu huu ilikuwa ni ya Leeds Utd na mechi Brighton Holves & Albion.

Ila Newcastle si timu inayocheza kimbinu sana. Mwisho wa siku mpira dkk 90 mkuu lolote linaweza kutokea.
Mumpige Nyukesto Kwa kumtegemea stweka wenu Mkatamiwa (Nketiah)?
Halafu nyuma beki ni Cheupe, Salima, Magalasa na huyo Vicheko sio?
Hivi unamjua vizuri Elmiron kweli wewe?
Screenshot_20230103_110936.jpg
 
Mumpige Nyukesto Kwa kumtegemea stweka wenu Mkatamiwa (Nketiah)?
Halafu nyuma beki ni Cheupe, Salima, Magalasa na huyo Vicheko sio?
Hivi unamjua vizuri Elmiron kweli wewe? View attachment 2467628
Flano 😂😂😂 sasa hao Newcastle hawana upepo wa kucheza na Arsenal dkk zote 90 wawe wanazuia tu. Almiron kwa pressing tutakayofanya mipira itakuwa haimfikii tukianza na Zinny tunakuwa 2-4-4, Tierney akianza tunakuwa 3-2-2-3. Newcastle wana timu nzuri ila Eddie Howie anaelewa balaa lake Emirates game ya mwisho wanashinda 2-0 Arsenal ilikuwa unga.
 
Flano sasa hao Newcastle hawana upepo wa kucheza na Arsenal dkk zote 90 wawe wanazuia tu. Almiron kwa pressing tutakayofanya mipira itakuwa haimfikii tukianza na Zinny tunakuwa 2-4-4, Tierney akianza tunakuwa 3-2-2-3. Newcastle wana timu nzuri ila Eddie Howie anaelewa balaa lake Emirates game ya mwisho wanashinda 2-0 Arsenal ilikuwa unga.
"Emirates game ya mwisho wanashinda 2-0 Arsenal ilikuwa unga."

hapohapo ndio nilikua napataka na uzuri wake mwenyewe umejiwahi.

Haina haja ya kuongea sana, saa nne sio mbali.
Newcastle 3 - 1 Arsenyani
Nimekaa paleee

#Hatucheki na Kima
 
"Emirates game ya mwisho wanashinda 2-0 Arsenal ilikuwa unga."

hapohapo ndio nilikua napataka na uzuri wake mwenyewe umejiwahi.

Haina haja ya kuongea sana, saa nne sio mbali.
Newcastle 3 - 1 Arsenyani
Nimekaa paleee

#Hatucheki na Kima
Acha uzushi Flano ,hao Wana miaka 20+ sijui Kama wamewahi kushinda Emirates

Katika mechi 20

Arsenal WIN 18
 
Back
Top Bottom